Kitabu ni njia ya kutakatisha fedha chafu

Kitabu ni njia ya kutakatisha fedha chafu

Sasa hivi tutaambiwa kitabu kimeuza nakala nyingi na kumuingizia fedha nyingi.
Kumbe huu ni mkakati wa kutaka kutakatisha fedha chafu zenye lengo la uhaini.
Vyombo viendelee kumonitor transactions zake na za wanaomfadhili.
Kamwe fedha hizi zisiingizwe kuja kuchafua uchaguzi 2025.
Mmebanwa kende mijicho imetoka, kabendera endelea kumwaga petrol kwenye kichuguu siafu zimeanza kutoka nje
 
Sasa hivi tutaambiwa kitabu kimeuza nakala nyingi na kumuingizia fedha nyingi.
Kumbe huu ni mkakati wa kutaka kutakatisha fedha chafu zenye lengo la uhaini.
Vyombo viendelee kumonitor transactions zake na za wanaomfadhili.
Kamwe fedha hizi zisiingizwe kuja kuchafua uchaguzi 2025.
Bado hamjasema, na mtasema. Malipo ni hapahapa Duniani.. Karma is bitch and real.
 
Sasa hivi tutaambiwa kitabu kimeuza nakala nyingi na kumuingizia fedha nyingi.
Kumbe huu ni mkakati wa kutaka kutakatisha fedha chafu zenye lengo la uhaini.
Vyombo viendelee kumonitor transactions zake na za wanaomfadhili.
Kamwe fedha hizi zisiingizwe kuja kuchafua uchaguzi 2025.
Upo jingalao? Samaleko!
 
Kitabu kinauzwa mitandaoni, huwezi kuja na hoja ya pesa za kutakatishwa wakati upatikanaji wake hautazami Tanzania peke yake.

Kitabu hiki kitapatikana zaidi online hivyo sioni ni kwa namna gani pesa ya mauzo yake ihusiane na utakatishaji.
 
Sasa hivi tutaambiwa kitabu kimeuza nakala nyingi na kumuingizia fedha nyingi.
Kumbe huu ni mkakati wa kutaka kutakatisha fedha chafu zenye lengo la uhaini.
Vyombo viendelee kumonitor transactions zake na za wanaomfadhili.
Kamwe fedha hizi zisiingizwe kuja kuchafua uchaguzi 2025.
Acha woga wa kitoto huo...jipange ujibu hoja....kitabu kina trend jibu hoja......
 
Back
Top Bottom