Kitakachomfanya mwanamke malaya atulie kwenye ndoa yake ni dhiki pekee. Siku akiwa na uwezo wa kujinunulia angalau chupi ndoa itaanza kuzama

Kitakachomfanya mwanamke malaya atulie kwenye ndoa yake ni dhiki pekee. Siku akiwa na uwezo wa kujinunulia angalau chupi ndoa itaanza kuzama

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Hello!
Kama kawaida siachi kuwasanua wanaume wenzangu. Inaumiza sana kuoa malaya. Usithubutu kuoa malaya.
Jana nilileta Uzi uutafute upate kumjua mwanamke malaya na ujinasue usije kuingia kwenye kimbwini ukamwoa.
Kuna wanaume wanalaumu eeehh nimemfungulia duka sasa limekua anaanza jeuri. My friend, ulioa malaya, shida ndo zilimtuliza sasa vichenji anapata anarudi kwenye status yake.
Wanaume wengine wanalaumu eeh nimemtafutia kazi , sijui kapata ajira amebadilika. Ahahahahh 🤣 🤣 🤣 kwisha habari zako. Ulioa malaya.
Ni shida pekee itamfanya mwanamke malaya atulie kwa mume wake.
 
Hello!
Kama kawaida siachi kiwasanua wanaume wenzangu. Inaumiza sana kuoa malaya. Usithubutu kuoa malaya.
Jana nilileta Uzi uutafute upate kumjua mwanamke malaya na ujinasue usije kuingia kwenye kimbwini ukamwoa.
Kuna wanaume wanalaumu eeehh nimemfungulia duka sasa limekua anaanza jeuri. My friend, ulioa malaya, shida ndo zilimtuliza sasa vichenji anapata anarudi kwenye status yake.
Wanaume wengine wanalaumu eeh nimemtafutia kazi , sijui kapata ajira amebadilika. Ahahahahh 🤣 🤣 🤣 kwisha habari zako. Ulioa malaya.
Ni shida pekee itamfanya mwanamke malaya atulie kwa mume wake.
Na Sisi wanaume ambao tunatafuta pesa Kwa shida Ila tukizipata tunaenda kuchepuka na wanawake wazuri inakuwaje hapo????
 
Hello!
Kama kawaida siachi kiwasanua wanaume wenzangu. Inaumiza sana kuoa malaya. Usithubutu kuoa malaya.
Jana nilileta Uzi uutafute upate kumjua mwanamke malaya na ujinasue usije kuingia kwenye kimbwini ukamwoa.
Kuna wanaume wanalaumu eeehh nimemfungulia duka sasa limekua anaanza jeuri. My friend, ulioa malaya, shida ndo zilimtuliza sasa vichenji anapata anarudi kwenye status yake.
Wanaume wengine wanalaumu eeh nimemtafutia kazi , sijui kapata ajira amebadilika. Ahahahahh 🤣 🤣 🤣 kwisha habari zako. Ulioa malaya.
Ni shida pekee itamfanya mwanamke malaya atulie kwa mume wake.
Ukweli mchungu wasiotaka kuusikia ila huo ndo ukweli
 
Kwa asilia mwanamke anatakiwa ahudumiwe na mme wake, ikitokea mme wake hahudumii kisa mke wake anakipato au biashara lazima atahongwa na kuanzisha mahusiano yakupatiwa fetha nje ya ndoa
Hapa unamuongelea Mwanamke malaya,Mwanamke aliyelelewa kwenye maadili mema,atavuka na mumewe milima na mabonde kwa heshima na utii.
 
Umalaya ni tabia,kama ilivyo tabia ya wizi,malaya ni malaya tu,awe na kipato au asiwe na kipato,

Pia Mwizi ni Mwizi tu,awe na mali au asiwe na mali ila ataiba tu,

Ni wanawake wangapi waume zao wana vipato au wao wenyewe wana vipato ila ni malaya? Tena wao ndio wanawahonga wanaume,

Ni watu wangapi wana vipato na wanaposition nzuri tu ila bado wanaliibia taifa mamilioni?

Nakamilisha kwa kusema,Umalaya ni tabia kama ilivyo kua Mwizi,zote hizo ni tabia.
 
Hapa unamuongelea Mwanamke malaya,Mwanamke aliyelelewa kwenye maadili mema,atavuka na mumewe milima na mabonde kwa heshima na utii.
Mkuu kwa sasa wanawake karibia wote hawaeleweki. Kama unafikiri ni utani fanya masihara kwa unaemuheshimu kweli kweli utaona, ila usisahau kuna kupakwa mafuta 😀
 
Hello!
Kama kawaida siachi kiwasanua wanaume wenzangu. Inaumiza sana kuoa malaya. Usithubutu kuoa malaya.
Jana nilileta Uzi uutafute upate kumjua mwanamke malaya na ujinasue usije kuingia kwenye kimbwini ukamwoa.
Kuna wanaume wanalaumu eeehh nimemfungulia duka sasa limekua anaanza jeuri. My friend, ulioa malaya, shida ndo zilimtuliza sasa vichenji anapata anarudi kwenye status yake.
Wanaume wengine wanalaumu eeh nimemtafutia kazi , sijui kapata ajira amebadilika. Ahahahahh 🤣 🤣 🤣 kwisha habari zako. Ulioa malaya.
Ni shida pekee itamfanya mwanamke malaya atulie kwa mume wake.
Wewe jamaa inabidi kila jumapili utume fungu la kumi kwa JF kwa kukusaidia kupunguza stress unazopata kutoka kwa mkeo. Unaandika kwa uchungu sana jomba. Pambana na hali yako bro.
 
Hello!
Kama kawaida siachi kiwasanua wanaume wenzangu. Inaumiza sana kuoa malaya. Usithubutu kuoa malaya.
Jana nilileta Uzi uutafute upate kumjua mwanamke malaya na ujinasue usije kuingia kwenye kimbwini ukamwoa.
Kuna wanaume wanalaumu eeehh nimemfungulia duka sasa limekua anaanza jeuri. My friend, ulioa malaya, shida ndo zilimtuliza sasa vichenji anapata anarudi kwenye status yake.
Wanaume wengine wanalaumu eeh nimemtafutia kazi , sijui kapata ajira amebadilika. Ahahahahh 🤣 🤣 🤣 kwisha habari zako. Ulioa malaya.
Ni shida pekee itamfanya mwanamke malaya atulie kwa mume wake.
Sio mwanamke malaya, hata yule ambae hajakupenda au umevuta kwa pesa. Akipata uwezo kidogo umeenda
 
Back
Top Bottom