Kitakachowafanya CHADEMA kukubalika kwa wananchi ni kufuata sera za Magufuli

Kitakachowafanya CHADEMA kukubalika kwa wananchi ni kufuata sera za Magufuli

Meneja Wa Makampuni

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2020
Posts
7,899
Reaction score
10,415
Kitakacho wafanya CDM waweze kukubalika kwa wananchi ni kufuata sera za JPM.

Kwenye hotuba zenu ni nzuri sana ila mnakosea sehemu moja na hapo ndio mnapata negative feedback kutoka kwa kundi kubwa la watanzania.

Badirikeni, kama hamkumpenda JPM subirini mpaka muichukue hii nchi.
Saivi nendeni na upepo unakoelekea.

Vitu vitano CDM wanahitaji kuviangalia
1. Mapenzi ya wananchi yapo kwa kiongozi gani.
2. Sera za huyo kiongozi ni zipi
3. Kupinga miradi ya JPM kutawaletea migogoro na watanzania
4. Katiba
5. Focus, plan
6. Right direction.

Hotuba za CDM zilenge zaidi kuleta positive feedback kwenye hitaji la watanzania wasasa.
 
Mimi kama nitapata nafasi ya kugombea hata udiwani tu kwa upande wa CCM, basi nitaiomba halimashauri kuu ya CCM waniachie mm peke yangu nifanye kampeni, ikiwa CDM watafanya kosa hilo. Mm CCM ila nilijikuta CDM ghafla kimtazamo kutokana na utawala wake. Hatujawahi kuwa na mwenyekiti wa hovyo kiwango kile since 1977. Ushamba na umalaya wa siasa ulijaa labda kutokana na ugeni katika siasa na ulimbukeni wa kiti. Nauchukia utawala ule, chama kilikuwa toothless mbele ya serikali.
 
Kitakacho wafanya CDM waweze kukubalika kwa wananchi ni kufuata sera za JPM.

Kwenye hotuba zenu ni nzuri sana ila mnakosea sehemu moja na hapo ndio mnapata negative feedback kutoka kwa kundi kubwa la watanzania.

Badirikeni, kama hamkumpenda JPM subirini mpaka muichukue hii nchi.
Saivi nendeni na upepo unakoelekea.

Aliyekosea Ni Magufuri, yeye alidhani CHADEMA Ni adui zake kumbe CHADEMA walikuwa washindani wake. Alipokuwa amefichwa kitandani ni CHADEMA ndio waliopiga kelele Rais haonekani.

Kwa ushauri tu CHADEMA wajisimamie kwenye Sera yao waachane na Mambo ya Magufuri. Watu wa Magufuri walionesha chuki kubwa kwa CHADEMA kumbe adui alikuwa mwingine.
 
Kitakacho wafanya CDM waweze kukubalika kwa wananchi ni kufuata sera za JPM.

Kwenye hotuba zenu ni nzuri sana ila mnakosea sehemu moja na hapo ndio mnapata negative feedback kutoka kwa kundi kubwa la watanzania.

Badirikeni, kama hamkumpenda JPM subirini mpaka muichukue hii nchi.
Saivi nendeni na upepo unakoelekea.
2025 kete ni JPM tu
 
Kitakacho wafanya CDM waweze kukubalika kwa wananchi ni kufuata sera za JPM.

Kwenye hotuba zenu ni nzuri sana ila mnakosea sehemu moja na hapo ndio mnapata negative feedback kutoka kwa kundi kubwa la watanzania.

Badirikeni, kama hamkumpenda JPM subirini mpaka muichukue hii nchi.
Saivi nendeni na upepo unakoelekea.
Ikifika 2025 hotuba za Nyerere na Magufuli ndizo zitakuwa zinafanyiwa reference kuwahukumu waliopo! Usishangae eti Chadema watashindwa kutumia jina la Magufuli! Watakuja kutumia tu maana siasa zao leo wanakuambia huu Mkojo kesho watakuambia haya maji we kunywa tu japo sitowa mmoja wao. Refer 2015

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ushauri mzuri nadhani Bavicha wataufanyia Kazi.
 
Kitakacho wafanya CDM waweze kukubalika kwa wananchi ni kufuata sera za JPM.

Kwenye hotuba zenu ni nzuri sana ila mnakosea sehemu moja na hapo ndio mnapata negative feedback kutoka kwa kundi kubwa la watanzania.

Badirikeni, kama hamkumpenda JPM subirini mpaka muichukue hii nchi.
Saivi nendeni na upepo unakoelekea.
Umerogwa wewe na sukuma gang wenzako
 
Sera za JPM za kuteka, kuua na kutupa maiti kwenye viroba?
Umesahau Sera za kushusha umeme mpaka 27,000/=, internet ya bei chee, kuzuia mfumuko wa bei, kurekebisha mikataba ya madini, ujenzi wa miundombinu mikubwa ya kihistoria . Waliotekwa na kuweka ni wale waliokuwa wanajimilikisha nchi . Wale walioonekana wasaliti wakati nchi ipo kwenye vita wote adhabu Yao ni kifo

Sent from my CPH1937 using JamiiForums mobile app
 
Kitakacho wafanya CDM waweze kukubalika kwa wananchi ni kufuata sera za JPM.

Kwenye hotuba zenu ni nzuri sana ila mnakosea sehemu moja na hapo ndio mnapata negative feedback kutoka kwa kundi kubwa la watanzania.

Badirikeni, kama hamkumpenda JPM subirini mpaka muichukue hii nchi.
Saivi nendeni na upepo unakoelekea.
Hakuna wa kuchagua cdm,ila tunapanga kuwaachia viti kadhaa vya ubunge,wao pamoja na baadhi ya vyama vya siasa.

Sera zipi,za Lisu kutupilia mbali mamiradi ya JPM?
 
I'm very seriously mkuu. Technical CDM hawako vizuri hata kidogo. Mbona mambo yako wazi yanayoweza kufanya CDM wawe popular hata saivi.
Wao ndio wanafeli hicho tu.
 
Aliyekosea Ni Magufuri, yeye alidhani CHADEMA Ni adui zake kumbe CHADEMA walikuwa washindani wake. Alipokuwa amefichwa kitandani ni CHADEMA ndio waliopiga kelele Rais haonekani.

Kwa ushauri tu CHADEMA wajisimamie kwenye Sera yao waachane na Mambo ya Magufuri. Watu wa Magufuri walionesha chuki kubwa kwa CHADEMA kumbe adui alikuwa mwingine.
Wafuasi wa ccm ya sukuma gang wanaiogopa sana cdm kwani cdm walikuwa wanasimamia uhuru na haki.
 
Hata hivyo mlishajipanga kuwa wapiga kelele mpka mtakapofutika katika nchi hii bila kupata utawala.
Ipo siku mtakuta kuna chama kingine na nyie kubaki kama chama cha Dovutwa.
Kafutika jiwe na sasa ni mavumbi itakuwa cdm?
 
Back
Top Bottom