Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Haya Mamba.Sio hapa tu, ni formula ya siasa Duniani kote hata upande ulio wewe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya Mamba.Sio hapa tu, ni formula ya siasa Duniani kote hata upande ulio wewe.
Usimlaumu magufuli laumu vyeti fekero vyako.Hayo mazuri mlifanyiwa nyie,
sisi tulifanyiwa mabaya tena nyie praise team mlishangilia kweri-kweri.
Vipi legacy mmefikia wapi kuitetea ?😂Usimlaumu magufuli laumu vyeti fekero vyako.
Mkuu hauko serious kabisa. Una maana kwamba tufate sera za kuua,kutesa na kunyanyasa eti ndo wananchi wanazipenda?Kitakacho wafanya CDM waweze kukubalika kwa wananchi ni kufuata sera za JPM.
Kwenye hotuba zenu ni nzuri sana ila mnakosea sehemu moja na hapo ndio mnapata negative feedback kutoka kwa kundi kubwa la watanzania.
Badirikeni, kama hamkumpenda JPM subirini mpaka muichukue hii nchi.
Saivi nendeni na upepo unakoelekea.
Vitu vitano CDM wanahitaji kuviangalia
1. Mapenzi ya wananchi yapo kwa kiongozi gani.
2. Sera za huyo kiongozi ni zipi
3. Kupinga miradi ya JPM kutawaletea migogoro na watanzania
4. Katiba
5. Focus, plan
6. Right direction.
Hotuba za CDM zilenge zaidi kuleta positive feedback kwenye hitaji la watanzania wasasa.
Nyerere Hakuwa mwizi na fisadi,watu wema ukumbwa,wabaya na waovu usahauliwa mapema maana kumbukumbu lao ni chukizo kwa jamii.Nyerere Mbona mnamsifia???