Kitanda, godoro na meza vinauzwa. Shule ya udsm imeshaisha hivyo ndio tunarudi kijijini kwetu

Kitanda, godoro na meza vinauzwa. Shule ya udsm imeshaisha hivyo ndio tunarudi kijijini kwetu

MELEKAHE

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2023
Posts
1,340
Reaction score
5,588
Habari wadau.

Nauza kitanda cha chuma 5 x 6 na godoro lake.

Kwa kitanda peke yake bei 130,000

Godoro bei 80,000

Meza bei 50,000


Namba ya simu 0754 003 715
Kitanda 2.jpg
 
Sasa kwanini umepoteza mda kuja kusoma vitu ambavyo havitakusaidia katika kuendesha maisha yako huo mda wako unge tumia kwenye shamba unģekua mbali

Kwa fani za STEM(science, tech, engineering, math) elimu ni ufunguo aisee....

Kichwa changu kimepata maarifa ambayo nitayatumia mpaka mwisho wa uhai wangu
 
Back
Top Bottom