Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hutarudi tena town? Tatizo vitanda vya wana chuo vina mikosi mingi vimelaliwa na demu mbalimbali huenda akakosa fursa za kutoboa maisha bureHabari wadau.
Nauza kitanda cha chuma 5 x 6 na godoro lake.
Kwa kitanda peke yake bei 130,000
Godoro bei 80,000
Meza bei 50,000
Mkuu hutarudi tena town? Tatizo vitanda vya wana chuo vina mikosi mingi vimelaliwa na demu mbalimbali huenda akakosa fursa za kutoboa maisha bure
Kitanda 5x6 mwanafunzi...!? Ulienda kusoma au kulala?Habari wadau.
Nauza kitanda cha chuma 5 x 6 na godoro lake.
Kwa kitanda peke yake bei 130,000
Godoro bei 80,000
Meza bei 50,000
Namba ya simu 0754 003 715View attachment 3095464
Usisahau home kuna ngozi. Komaa navyo viende home .
Atakua social scienceKitanda 5x6 mwanafunzi...ulikuwa unasoma au kulala?
Walikuwa wanalala pair 2/3... kiddingKitanda 5x6 mwanafunzi...ulikuwa unasoma au kulala?
Atakua social science
Hii kauli inatia huruma fulani hivi.Town kurudi inategemea na fursa . Ila kwa sasa geto linarudishwa naenda shambani kuliponikuza
Sasa kwanini umepoteza mda kuja kusoma vitu ambavyo havitakusaidia katika kuendesha maisha yako huo mda wako unge tumia kwenye shamba unģekua mbaliTown kurudi inategemea na fursa . Ila kwa sasa geto linarudishwa naenda shambani kuliponikuza
Kitanda 5x6 mwanafunzi...ulikuwa unasoma au kulala?
Sasa kwanini umepoteza mda kuja kusoma vitu ambavyo havitakusaidia katika kuendesha maisha yako huo mda wako unge tumia kwenye shamba unģekua mbali
Umesomea Actuarial science ambao ni kwa lugha nyingine Risk analysis ila umeshidwa kujifanyia risk analysis mwenyewe.Nimesoma BSc in Actuarial Science
Nakushauri kwa kua geto unalo bora ungekomaa town na biashara hata ya matunda usiangalie mtu usoni kisa umesoma kuliko kwenda bushi kulima wakat kilimo pia kinahitaji capital ili uvune mazao mengi kwa biashara.Town kurudi inategemea na fursa . Ila kwa sasa geto linarudishwa naenda shambani kuliponikuza
Umesomea Actuarial science ambao ni kwa lugha nyingine Risk analysis ila umeshidwa kujifanyia risk analysis mwenyewe.Nimesoma BSc in Actuarial Science
si bora yeye ss kuna mmoja alikujaga na TV na friji kabisaMwanafunzi unalalia 5×6 au unajiandaa kuwa fisadi