Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
bora urudi kwenu mjini waachie wenyewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakumbuka miaka hiyo nikiwa 2nd year zile side rooms za Hall 2 tulikuwa tunalala mtu 8.Walikuwa wanalala pair 2/3... kidding
Ndio course gani hii,mwisho wa siku inakua nani sasaNimesoma BSc in Actuarial Science
Yale sasa ndio yalikua maisha,kwa mabibo ilikua mateso kipindi cha jotoNakumbuka miaka hiyo nikiwa 2nd year zile side rooms za Hall 2 tulikuwa tunalala mtu 8.
Wataalamu wa hesabu na takwimu kwenye mifuko ya bima, uwekezaji taasisi za fedha na mifuko ya ifadhi ya jamii wakijikita zaidi katika kupambanua hatari na vizingiti katika shughuli za kila siku za kampuni zinazofanya shughuli nilizotaja hapo juu.Ndio course gani hii,mwisho wa siku inakua nani sasa
Hiyo net unatoa kama nyongeza au utaenda kuvulia perege na kambale kijijini?Habari wadau.
Nauza kitanda cha chuma 5 x 6 na godoro lake.
Kwa kitanda peke yake bei 130,000
Godoro bei 80,000
Meza bei 50,000
Namba ya simu 0754 003 715View attachment 3095464
Hiyo net unatoa kama nyongeza au utaenda kuvulia perege na kambale kijijini?
Hatari saana....na fursa zina macho + connection iliyotukuka.Hii kauli inatia huruma fulani hivi.
Karibu mtaaani! Na kila la heri katika biashara yako. Sema siku hiz watu wanaogopa vitu used....cha kukushauri mauziano yenu muandikishane hata kwa mwenyekiti/mtendaji.Habari wadau.
Nauza kitanda cha chuma 5 x 6 na godoro lake.
Kwa kitanda peke yake bei 130,000
Godoro bei 80,000
Meza bei 50,000
Namba ya simu 0754 003 715View attachment 3095464
Atakuwa alikuwa anawapangisha wenzie kwa buku 3.Hiko kitanda wanafunzi walikifanya ndio uwanja wa michuano mbalimbali ya kitaifa na kimataifa!
Sent from my SM-A325N using JamiiForums mobile app
Ni kile kisichozaa haramu?Habari wadau.
Nauza kitanda cha chuma 5 x 6 na godoro lake.
Kwa kitanda peke yake bei 130,00o
Karibu mtaaani! Na kila la heri katika biashara yako. Sema siku hiz watu wanaogopa vitu used....cha kukushauri mauziano yenu muandikishane hata kwa mwenyekiti/mtendaji.
Kumiliki kitanda cha 5×6 au 6×6, fridge, tv, n.k. shule kuna shida gani? Ufukara na umasikini siyo sifa njema. Badilikeni.
Watanzania wanapenda shida sana!Upo sahihi sana. Nimeshangaa watu wanaosema kitanda cha 5 x 6 ni haramu kwa mwanafunzi