Kitanda, godoro na meza vinauzwa. Shule ya udsm imeshaisha hivyo ndio tunarudi kijijini kwetu

Kitanda, godoro na meza vinauzwa. Shule ya udsm imeshaisha hivyo ndio tunarudi kijijini kwetu

Dah nasikitika Sana ,pale ukifika kijijini watakupokea kwa bashasha hasa Kama ulikuwa una utaratibu wa kutuma hela za hapa na pale ,bad enough wao uwa wanaamini ukifika chuo umetoboa ,ni hapo nakuona ukiwa very stressed .

Aisee Kaka rudi nyumbani ila kapige jembe haswa bila kutizama watanionaje .

Ningenunua vitu vyako ili nikuongezee hela ya kwenda kujianza ila Kaka yako niko juu ya mawe ,hela ya vikoba niliyokopa imenitokea puani silali usiku na mchana nimekuwa Kama digidigi ,nenda kapambane mdogo wangu nikiaaliwa kulimaliza hili la mikopo ya vikoba salama bila kufa Wala kukimbia nchi basi nitakutafuta walau tupige hata story .

Kwaheri ,nenda mdogo wangu

maneno matamu sana haya
 
Mkuu pole
Tumia elimu ya chuoo huko bushi.
Nina amini kwamba vijijini kuna fursa NYINGI Sana Kwa kijana msomi kama wewe. Mana kule wenye elimu kubwa Kama wewe ni wachache.....kakomae kaka YANGU
 
Back
Top Bottom