Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
VP Mallya, Kimambo, Massawe, Makoi na Mushi?Majina Kayanda huwa waaminifu na wa kweli sana kama Yohana the rhino!
Poa mkuuYeyote atakayetaka kununua awe makini, usitume pesa kwa njia yeyote ile, nenda kacheki mzigo onana na muuzaji, akuuzie kwa maandishi, hakikisha unakuwa na ulinzi pembeni usiwe peke yako, Ni hayo tu, mtu akija analalamika ameibiwa atakua amenitafutia ban ya Bila kutarajia, najua taishia kumtukana tu. Ni hayo.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hahahaa Mkuu, hela yako tu. Nitavipandisha bombadia vitue hapo mwanza. lol
DuhYes Mkuu, bado vipo. ila kuna mdau kaahidi kuja kuvicheki vyote kesho asubuhi
Yeyote atakayetaka kununua awe makini, usitume pesa kwa njia yeyote ile, nenda kacheki mzigo onana na muuzaji, akuuzie kwa maandishi, hakikisha unakuwa na ulinzi pembeni usiwe peke yako, Ni hayo tu, mtu akija analalamika ameibiwa atakua amenitafutia ban ya Bila kutarajia, najua taishia kumtukana tu. Ni hayo.
weka no ya simu ili iwe rshisi kwa wale walioserious kukutafuta,maana humu kuna wanunuzi wa kweli na wababaishaji