INAUZWA Kitanda, godoro, Sofa, Pasi, Feni, king'amuzi DStv

Nahitaji jumamosi nitalipa cash ila niko safari narudi na ndege ya jmosi mchana. Nipe simu tuwasiliane direct
 
Mkuu dstv pamoja na waya na dish lake inatokaje?
 
Wadau wananiPM kuuliza je hizo ni sofa mbili au ni moja?

Hiyo ni sofa MOJA. Ni sofa moja ya kukaa watu wawili. So hiyo ni sofa moja ila nilipiga picha kwa angle tofauti.

Pia na kitanda ni kimoja.
 
Jielimishe maana sahihi ya asset. Hizi sio assets
Kwan alimaanisha fixed assets... Asset ni chochote unachoweza kuliqudate ukapata mpunga ila fixed ni ardhi na vilivyokuwa attached juu yake kama majengo, petrol stations n.k
 
Mbona umekuwa mgumu kutoa namba ya simu? Au vya wizi?
Yaani katika hali ya kawida hata kama vya wizi huwezi uza kwa bei hiyo labda atuambie alikuwa house maid kwa wazungu kule masaki wameondoka wamemwachia na hana sehemu ya kuviweka maana yake hana uchungu wala hasara navyo. Ila ninashaka na mmiliki labda atakaye nunua aombe risiti ya awali.
 
Kwan alimaanisha fixed assets... Asset ni chochote unachoweza kuliqudate ukapata mpunga ila fixed ni ardhi na vilivyokuwa attached juu yake kama majengo, petrol stations n.k

Ahsante mkuu
 
This is dumping not selling.

And still bidders are hardly bargaining for discount. hahahaa kweli Bongo balaa

From my end, no way I can quench their thirsty by suppressing the mentioned price tag.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…