INAUZWA Kitanda, godoro, Sofa, Pasi, Feni, king'amuzi DStv

INAUZWA Kitanda, godoro, Sofa, Pasi, Feni, king'amuzi DStv

Nahitaji jumamosi nitalipa cash ila niko safari narudi na ndege ya jmosi mchana. Nipe simu tuwasiliane direct
 
Salaamu wanaJF, na kheri ya mwaka mpya.

Nauza vitu vyangu vya ndani, kwa bei nafuu kabisa:

1. Kitanda (5x6) na Godoro
2. Sofa moja (ya siti mbili)
3. King'amuzi Dstv + dish + waya
4. Pasi
5. Feni.

PICHA halisi...

View attachment 453744

View attachment 453751 HITILAFU: Sofa imechanika kidoogo (kama sentimita mbili hivi) kwa mbele, hapo nilipozungushia kwa rangi.

View attachment 453764

  • Vitu vyote bado vipo katika hali nzuri.
  • BEI ni Tsh 470,000 (laki nne na elfu sabini) kwa vitu vyote kwa pamoja.
Nipo Dar, maeneo ya Mbagala - Zakiem.

Kwa yeyote anayehitaji, karibu sana PM kwa mazungumzo na mawasiliano zaidi.

Natanguliza shukrani.
Amani kwenu. Barikiwa sana wote.
Mkuu dstv pamoja na waya na dish lake inatokaje?
 
Wadau wananiPM kuuliza je hizo ni sofa mbili au ni moja?

Hiyo ni sofa MOJA. Ni sofa moja ya kukaa watu wawili. So hiyo ni sofa moja ila nilipiga picha kwa angle tofauti.

Pia na kitanda ni kimoja.
 
Jielimishe maana sahihi ya asset. Hizi sio assets
Kwan alimaanisha fixed assets... Asset ni chochote unachoweza kuliqudate ukapata mpunga ila fixed ni ardhi na vilivyokuwa attached juu yake kama majengo, petrol stations n.k
 
Mbona umekuwa mgumu kutoa namba ya simu? Au vya wizi?
Yaani katika hali ya kawida hata kama vya wizi huwezi uza kwa bei hiyo labda atuambie alikuwa house maid kwa wazungu kule masaki wameondoka wamemwachia na hana sehemu ya kuviweka maana yake hana uchungu wala hasara navyo. Ila ninashaka na mmiliki labda atakaye nunua aombe risiti ya awali.
 
Kwan alimaanisha fixed assets... Asset ni chochote unachoweza kuliqudate ukapata mpunga ila fixed ni ardhi na vilivyokuwa attached juu yake kama majengo, petrol stations n.k

Ahsante mkuu
 
This is dumping not selling.

And still bidders are hardly bargaining for discount. hahahaa kweli Bongo balaa

From my end, no way I can quench their thirsty by suppressing the mentioned price tag.
 
Back
Top Bottom