Uchaguzi 2020 Kitanzi cha CCM Kawe: Watia nia 176 wa ubunge dhidi ya Halima Mdee CHADEMA

.
Your browser is not able to display this video.
 
Dah...kibongobongo...kazi ya ubunge ndiyo kazi rahisi kukiko zote ....inahitaji sifa mbili tu ..kujua kusoma na kuandika...wakati Konda wa daladala lazima ajue na kuhesabu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hii kali nimecheka kwa nguvu
 
Yupo mtu huko anaitwa poti 0713942322 yeye kapita kwa watia nia wote kawachukulia pesa kawambia yupo nao bega kwa bega ebu fikiria watu 176 achukue milion moja moja tu tayari katengeneza pesa, wamejitokeza wengi lakini madalali wa siasa huko nao wanawapiga kwa kwenda mbele wanapigwa vibaya mpaka mchujo kufika top 3 watakuwa wameliwa pesa nyingi sana
 
Unaweza kuwa sahihi maana halima 2010 aliupata baada ya Katibu wa Mkoa wa CCM kuingiza jina la Kizigha kinyemela wanaCCM wakanuna na kumpa mdee.
Sasa watia nia wengi wanaibiwa na kundi la wajanja wachache waliojipenyeza humo usiku na mchana
 
Halima itabaki stori aliwahi kuwa mbunge machachari wa Kawe!! hawezi kushinda by any means and she should start to prepare to face that reality and get used to it!!
And you are the dispenser of that reality?
Which makes you an ignominious.
 
And you are the dispenser of that reality?
Which makes you an ignominious.

Mkuu mimi kuamini Mdee is no more as mbunge wa Kawe hakunijengei aibu yoyote kwenye jamii!! kwani kosa langu ni lipi na kura zitapigwa kujua ni Mdee au Paskal Mayalla?

Mkuu siku zote kuna stages za kuukubali ukweli naelewa ni ngumu kumeza na ni lazima chadema mzipitie stages zote, stage namba moja ni Information!! namba mbili ni DENIAL , mkijikwamua toka hapo DENIAL mlipokwamia miaka yote hii huko mbele kwenye CONSCIOUSNESS and Reality ni mteremko!

Halima, DJ , Sugu , Prof J ,wote kwishney nawashauri watunze vizuri kiinua mgongo chao bunge lijalo hawana siti tena za kwenda kuzipasha joto!!

mimi ni sisiem najua what we kijani think and do kwa watu dizaini ya Mdee! sisiem hatupendi kulea wanaotukera na kukwamisha juhudi, Magufuli the Black White man aka Bulldozer aka Mubashara hahitaji kina Halima na kelele zao wanatuchelewesha kufikia uchumi wa juu, bao la mkono ni halali yake Halima kama akisumbua kwenye kura!!!
 
Unaweza kuwa sahihi maana halima 2010 aliupata baada ya Katibu wa Mkoa wa CCM kuingiza jina la Kizigha kinyemela wanaCCM wakanuna na kumpa mdee.
Sasa safari hii Angela kizigha yuko moto anapambana na Yusuph Mwenda .. Muda huu wajumbe wapiga kura baadhi wanakutana sehemu kupanga yao

Uchaguzi ni Leo ukumbi wa mbezi beach huko
 
Sasa safari hii Angela kizigha yuko moto anapambana na Yusuph Mwenda .. Muda huu wajumbe wapiga kura baadhi wanakutana sehemu kupanga yao

Uchaguzi ni Leo ukumbi wa mbezi beach huko
Mie Naona halima keshapita maana huku si kujichanganya, maskini CCM Kawe
 
Mie Naona halima keshapita maana huku si kujichanganya, maskini CCM Kawe
2010-2015 Ccm wakawe walijichanganya kumleta Angela kazigha ,wakasalitiana

2015-2020 Ccm walirudia kosa lile lile kwa kumleta Kipi Warioba ,na ule upepo wa EL ,wakasalitiana zaidi ( kiasi viongozi wengi wa Ccm mkoa na wilaya walipoteza nafasi zao

2020-2025 , wakibugi tena imekula kwao
 
Hata Kigamboni kama wataforce kuliingiza lishenzi Bashite jua upinzani utachukua. Inabidi intelligensia ya chama ifanyekazi haswa kujua nani Kawe anapendwa maana halima has to go kwa kweli
 
Hata Kigamboni kama wataforce kuliingiza lishenzi Bashite jua upinzani utachukua. Inabidi intelligensia ya chama ifanyekazi haswa kujua nani Kawe anapendwa maana halima has to go kwa kweli
Kama kawe watapita Hawa halima kutusua ni ngumu

1.Angela kazigha , safari hii ccm kawe wake nae
2.Yusuph Mwenda yule meya wa kino zamani
3.Kuna jamaa anaitwa bulldozer

Gwajima huyu anafaa kupiga debe nchi nzima ,muhimu waumini wake wapewe maelekezo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…