Uchaguzi 2020 Kitanzi cha CCM Kawe: Watia nia 176 wa ubunge dhidi ya Halima Mdee CHADEMA

Majimbo yote ya Dar yanarudi CCM.ndo maana kwa Dar watiania wa CCM ni wengi.kwa kila jimbo.maana yake CCM ikikupitisha tyr wewe ni mbunge.
 
Kwanza nikusahihishe, Fomu zinazonunuliwa ni za CCM siyo za Tume. Hivyo wanaofaidika na huo utitiri wa wagombea ni CCM siyo Tume ya Uchaguzi.

Pili, kujitokeza kwa watia nia wengi ni ishara ya kuimarika kwa demokrasia ndani ya chama lakini pia ni imani kubwa waliyonayo watanzania kwa CCM kuliko vyama vingine. Na jambo kubwa ni kupungua kwa vitendo vya rushwa. Sasa hivi kila mmoja ana nafasi ya kuweza kuwa mgombea haijalishi una pesa ama la. Ili mradi tu ukubalike.

Tatu, Jimbo la Kawe lilikua lirudi CCM toka 2015. Lakini upepo wa Lowassa ulilinusuru Jimbo hilo pamoja na majimbo mengine ya Dar kubaki upinzani. Ndo maana Halima Mdee, kipindi kile alipewa Uenyekiti wa BAWACHA ili akilikosa jimbo hilo basi aingie Bungeni kwa mgongo wa BAWACHA kama Viti Maalum.

Mwisho, Halima Mdee hawezi kupanga himaya yake kwa wakati huu, halafu akashinda Uchaguzi. Kama hakuweza kuipanga kwa miaka 5 akiwa mbunge hawezi kuipanga kwa hii miezi miwili iliyobakia kuelekea uchaguzi Mkuu.
 
Bashite ana machale sana kakimbia zake Kigamboni...Kwa Halima hata Magu akigombea Kawe hawezi kushinda
 
Dah...kibongobongo...kazi ya ubunge ndiyo kazi rahisi kukiko zote ....inahitaji sifa mbili tu ..kujua kusoma na kuandika...wakati Konda wa daladala lazima ajue na kuhesabu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Asante kwa masahihisho
 
Labda sijaelewa mada, yaani watu 80 wanashindanishwa na mtu mmoja.
 
Mshana Jr kwa Maandalizi na Mikakati niliyoiona na ninayoiona kwa 2020 hii, Afe Mmaasai au Mmang'ati CCM analichukua Jimbo la Kawe rasmi.
 
Inawezekana umeshindwa kuelewa,walochukua fomu hao 80,hawaendi kupambana na Halima Mdee,atakae pambana na Halima Mdee hapo ni mtu mmoja tu,yani ni kama leo Usemi wingi wa wachukua fomu za uraisi chadema wanataka kupambana na Magufuli wakati atakaepanda jukwaani na Mgaufuli ni mmoja tu.
Ila wasowajanja wataelewa kweli watu 80 wanataka kupambana na Mdee,hili nalo ni ajabu la wasiofikiria.
 
Mshana update taarifa mpaka jana usiku kulikuwa na wagombea 137 wa CCM jimbo la kawe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…