Uchaguzi 2020 Kitanzi cha CCM Kawe: Watia nia 176 wa ubunge dhidi ya Halima Mdee CHADEMA

mie hatra waweke jiwe na mdee jamani yule dada mshenzi sana bora ccm tu tujue moja hakuna alichofanya kwa 5 years
 
Dah...kibongobongo...kazi ya ubunge ndiyo kazi rahisi kukiko zote ....inahitaji sifa mbili tu ..kujua kusoma na kuandika...wakati Konda wa daladala lazima ajue na kuhesabu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
umemsahau beki tatu anatakiwa ajue na kuosha vyombo pia
 
Hii inaonyesha jinsi mpasuko ulivyo ndani ya CCM. Pamoja na mkwara wa M/Kiti kuwaonya wale aliyewateua katika nafasi mbali mbali kuchukua fomu, lakini ndio utitiri wa waliochaguliwa naye M/k. Hii inamaanisha wanaotaka kuleta siasa tofauti na zile zinazoendeshwa sasa hivi ni wengi.

Kumbuka kwamba wakati huu ndio wakati pekee na nyeti kwa kipindi cha miaka 4 na nusu mbwa kufunguliwa kamba yake. Na hakuna hakika kama kesho nafasi hiyo itatolewa tena, kwa hiyo kila mmoja anataka kuonyesha kaliona jua. Du, kumbe CCM ni wahanga wakubwa wa umwinywaji wa demokrasia.
 
Fomu ya juu kuliko zote imetoka, ikawa nongwa kwa majority. Form za watia nia ubunge zimekuwa utitiri, imekuwa nongwa pia. BTW, hiki ni chanzo kizuri cha mapato kwa hao CCM, mbona ya upande wa pili yanaumiza wengi? This is why huwa nasema kuitoa CCM madarakani inaweza kuwa ngumu kuliko, coz hata tunaosema tuko nje bado tunaiabudu na kuisujudia kwa maandiko na mabandiko yetu.
 
Mdee angefanya kama Mnyika na Kubenea tu. Kawe na majimbo mengine ya Dar yapo kimkakati, hata kwa faulu tatanishi lazima mengi yaende kwa mataga.
Jitahidi kujipa moyo kwani hautakuja amini.
 
Chadema Safari wawape kipaumbele wanawake wengi kuliko wanaume,ni rahisi kumnunua Malaya wa kiume kuliko wa kike.Pia wanawake ni strong kwenye mapambano ya kupinga unyanyasaji na udhalimu kuliko wanaume.
Wanaume watanunulika
 
 
Ungwana ni kukubali kukosea, sikuwahi fikiri unafikra za kitoto namna hii. Good day.
Hapana hii ni mara ya nne unakosoa heading za mada zangu.. Na wewe peke yako.. Sasa unataka kunikosoa ila nikijaribu kukuweka sawa unamaind duu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…