Uchaguzi 2020 Kitanzi cha CCM Kawe: Watia nia 176 wa ubunge dhidi ya Halima Mdee CHADEMA

Uchaguzi 2020 Kitanzi cha CCM Kawe: Watia nia 176 wa ubunge dhidi ya Halima Mdee CHADEMA

Hiyo namba nne yako ndio inakwenda kutokea, watashindwa na mwanamke halafu hawataweza hata kuangaliana usoni. Huo wingi wa waliochukua fomu hautawaacha salama, lazima wapasuke makundi.

Japo wao wanaona sifa wengi kujitokeza kwenda kuchukua fomu, utadhani hizo fomu wanazichukulia mwezini.

Ndugu, lengo lao sio ubunge

Wengi ni CV zao zifike kwa wakubwa waonekane teuzi za baadae
 
Hivi kawe cdm kura za maoni tayari ?

Sent using Jamii Forums mobile app
yes, Halima kashinda by 67%?? or so! mesema kama haki itatendeka, hana shida na mtu, lkn ikiwa watatumia kauli ya Jiwe: 'Haiwezekani Mkurugenzi nikuteue mimi, nikulipe mshahara,nikupe gari na kukujazi mafuta halafu umtangaze mpinzani.' hili katu hatalikubali!
 
yes, Halima kashinda by 67%?? or so! mesema kama haki itatendeka, hana shida na mtu, lkn ikiwa watatumia kauli ya Jiwe: 'Haiwezekani Mkurugenzi nikuteue mimi, nikulipe mshahara,nikupe gari na kukujazi mafuta halafu umtangaze mpinzani.' hili katu hatalikubali!
Hahahaha ni kweli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani Jumla ya Wajumbe waliomchagua Mdee si ni 63 kati ya kura 71. Ona Sasa CCM Wagombea tu Wapo Wengi kuliko wapiga kura wa Chadema huko Kawe. Kimahesabu huko kawa CCM inawapiga kura wengi na wamejiandaa kisaikolojia atakayepenya kati yao huyo ndiye atakuwa Mbunge wa Kawe.
CCM kumeonekana ni Kuzuri sana sasa hivi.
Kweli ni kuzuri sana sasa hivi
 
Mimi mtazamo wangu ni tofauti,nadhani wingi wa watia nia ni advantage kwa CCM,maana watia nia 80 mpaka hapo kila mtia nia kisaikolojia ameshakata tamaa! Hata watakaoshindwa wataona ni kawaida tu,labda kama kutakuwa na mizengwe ya waziwazi.Hatari ingekuwa kama wagombea wangekuwa wachache,labda 4 hivi hapo kila mmoja angekuwa anaona chance ya kupata uteuzi ni kubwa kuliko hali ilivyo sasa.Kisaikolojia wote wameshakata tamaa,hata wasipoteuliwa "reaction" yao sio kubwa kihivyo.
Nimesema watabaki walau 20 wenye nguvu na shida halisi itaonekana kwenye tano bora
 
yes, Halima kashinda by 67%?? or so! mesema kama haki itatendeka, hana shida na mtu, lkn ikiwa watatumia kauli ya Jiwe: 'Haiwezekani Mkurugenzi nikuteue mimi, nikulipe mshahara,nikupe gari na kukujazi mafuta halafu umtangaze mpinzani.' hili katu hatalikubali!
Ila mkuu uchaguzi wa 2015 ccm dar walisalitiana sana kuanzia mkoa hadi katani , but this time kawe uchaguzi mtamu sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wasije wakanyukana tu mangumi wenyewe kwa wenyewe...

Ova
 
Hizi ramli huwa zinadanganya sana wandugu, huu uzi usifutwe ili tuje tuufukue hapa October 26
 
Vita vya panzi furaha kwa kunguru,wewe una beki kama Gwajiboy umpe namba amzuie mshambuliaji hatari kama Mdee .
Kitachotokea ni beki kujifunga goal mwenyewe.
 
Hahahahaha maccm yakigombania buku 7. Kikwete hakukosea aliposema ccm kuna MAFISI. Yanavyochapana hapa ni sawa kabisa na mafisi ya Serengeti yanapogombania kitoweo.
Kaa mambwaa kabisa haya matakata.
 
Back
Top Bottom