Kiteknolojia China iko sawa na nchi za Marekani na Ulaya

Kiteknolojia China iko sawa na nchi za Marekani na Ulaya

Njoo kiwanja ule mema ya dunia, braza. Huko China ni Ileje iliyochangamka tu. Maza mwenyewe kacheza DV green card lottery 🤣

I rest my case.
Kusanya virago vyako DT kasema hana utani hataki mazoea na nyie utarudi ileje
 
Kusanya virago vyako DT kasema hana utani hataki mazoea na nyie utarudi ileje

Napata mawazo sana, mkuu. Nitakua mgeni wa nani kule Ileje na sijajenga hata choo? Au nizamie China? Mtu anaweza kuzamia China, kuna makaratasi ya kuishi China permanently kama GC au kupata uraia wao kabisa?
 
China itaipita Marekani. Halafu China nayo itapitwa na India.
India haitaweza kufikia level za China

India ilikuwa imeizidi China kiuchumi miaka ya 1970 na 1980

Miaka ya 1990 China ikaanza kuipiga gap India

Mwaka 2022 India ilikuwa na uchumi sawa na iliokuwa nao China 2006 kutoka hapo angalia gap hilo

downloadfile.png

Hata wachumi hawajawahi kutabiri kuwa India itakuja kuizidi China

The rising dragon is spitting fire

The next China is China
 
Kiwanja hawana uwezo wa kuzalisha kama China.

Upande wa graduates wa STEM (Science, Technology, Engineering, Maths) China ndiyo inaongoza duniani

Mwezi June China imezalisha engineers 1,700,000 wakati Marekani ni 120,000 tu

Mind the gap
Usisahau pia kuwa population ya china ni kubwa hivyo ni lazima tu namba zake za graduates zitakuwa juu.
 
India haitaweza kufikia level za China

India ilikuwa imeizidi China kiuchumi miaka ya 1970 na 1980

Miaka ya 1990 China ikaanza kuipiga gap India

Mwaka 2022 India ilikuwa na uchumi sawa na iliokuwa nao China 2006 kutoka hapo angalia gap hilo

View attachment 3153881
Hata wachumi hawajawahi kutabiri kuwa India itakuja kuizidi China

The rising dragon is spitting fire

The next China is China

Walikuwa wanasema hivyohivyo kuhusu China. Lakini sasa hivi wako wapi?
 
Walikuwa wanasema hivyohivyo kuhusu China. Lakini sasa hivi wako wapi?
Wahindi hawana potential yoyote ya kuizidi China. Hata Wahindi wenyewe huwa wanakiri hilo.

Bado wana akili za kitumwa na kunyenyekea West kwao bado ni ufahari kuwa chini ya West kama vile kuwa CEOs wa kampuni kubwa

Mpaka leo wameshindwa kuwa na brands zao kimataifa pili infrastructure bado sana

Halafu kingine sera za India kwa makampuni ya kigeni ni kandamizi sana. India known as the graveyard of foreign companies
 
Wahindi hawana potential yoyote ya kuizidi China. Hata Wahindi wenyewe huwa wanakiri hilo.

Bado wana akili za kitumwa na kunyenyekea West kwao bado ni ufahari kuwa chini ya West kama vile kuwa CEOs wa kampuni kubwa

Mpaka leo wameshindwa kuwa na brands zao kimataifa pili infrastructure bado sana

Halafu kingine sera za India kwa makampuni ya kigeni ni kandamizi sana. India known as the graveyard of foreign companies

China imeshafika kileleni kuwa superpower. India sasa ndio iko moto na yenyewe inakua kuelekea kuwa superpower.
 
Mkimaliza kutifuana kuhusu Ubora kati ya Beberu marekani na Tapeli Janjaruko China, mje sasa tujadili kuhusu our third world developing country Tanzania, nchi ambayo kwa zaidi ya miaka na miaka tumebaki ktk siasa za ugomvi, maendeleo ya kibaguzi, miaka nenda rudi wenzetu wanagundua na kuvumbua mambo sisi bado tupo kujenga matundu ya vyoo vya shule zenye wanafunzi zaidi ya 400, walimu 10, mazingira mabovu ya kujifunzia, uhaba wa walimu, uhaba wa nyumba za walimu, mishahara mibovo, siasa mbovu, viongozi wanafiki walafi, washenzi na wavivu.

Anyway kuhusu USA na washirika wake hao zama zao zishakwisha hao kiufupi muda wao wa kuanguka ndio huu, watasumbuana sana baadhi ya mataifa yanayowazidi maendeleo&ushawishi kwa muda tu lkn haitisaidia kitu, kuanguka kupo pale pale.

Kuanguka kwao kuna sababu ambazo walizisababisha wao wenyewe na wanaendelea kuzisababisha.

Mfano issue ya maendeleo ya China kwa ukubwa wao wamechangia kwa sehemu kubwa, yaani nyoka unayemfuga leo, kesho anakugeuka kukushambulia.

Pili hao USA na baadhi ya washirika wao ktk masuala ya kuijenga future yao na race yao wameshafeli pakubwa mpaka sasa, wamebaki kupitisha masheria ya ajabu ajabu ya kuharibu uzao wao wenyewe na nguvu kazi ya taifa kwa kuruhusu baadhi ya sheria pinzani kwa Asili ya uzazi kama vile homosexual, malezi mabovu kwa watoto, utoaji mimba&uzazi wa mpango uliopitiliza, Uhuru uliopitiliza, kwa aina hii ya taratibu mbovu, imekuwa ikikimaliza kizazi chao taratibu, japo wengi hawaoni, lkn mtoto wa leo ndie kijana wa kesho, na mzee wa leo ndie kijana wa jana na mtoto wa juzi, hivyo Kuharibu Uzao ni kuiharibu Future ya wazao, kuharibu kizazi cha leo ni kuiharibu kesho ya hao wazao.

Pia aina ya siasa za hao wamarekani na nduguzo zimeshawachosha wengi dunian, yaani zile siasa za kupangiana na kutishana kuhusu mambo ya nchi yako mwenyewe zimeshafika mwisho, sikuhizi si maajabu mpaka baadhi ya nchi hoehae za huku Afrika zinavimbiana sauti na hao wamagharibi, mfano Niger, Burkina Faso, mpaka Uganda hapo nao wanampandishia sauti Beberu na washirika wake, kiufupi ushawishi na hilo taifa umeshajifia.

Kuna sababu nyingi sana zinazopelekea hilo taifa la USA kufeli duniani kiitikadi&kisiasa, kimaendeleo&kitechnolojia mpaka kijamii wanazidi kufeli pakubwa sana dhidi ya China na baadhi ya nchi za Asia.

Baadae sana kama China nae atazubaa basi tutegemee Super power mkubwa kuliko yeyote aliyewai kuwepo kama Afrika itaamka na kujifunza ujinga ilioufanya na kuchukua hatua basi kuna uwezekano Kukatokea Taifa jipya kutoka Afrika ama Muungano wa nchi za Afrika kuleta Taifa moja powerfull.

Suala la muda tu siasa za dunia zishaonesha
 
Back
Top Bottom