Kitendo cha aliyekuwa CEO wa Simba SC Barbara kum 'Unfollow' Tajiri Mo Dewji na Kumfollow Rais wa Yanga Injinia Hersi sasa Moto utawaka

Alikutapeli nini? Kama utapeli ni njia mojawapo ya kufikia mafanikio aliyonayo Mo bora nawe uwe tapeli ili utajirike.

Huwa mnapenda kuhangaika na watu waliombele maili nyingi sijui kwanini.

Tutafuteni maisha tuache kujifariji.
Mo siyo tajiri, anasimamia Mali za ukoo,alipomaliza chuo huko marekani,alikua akifanya kazi sheli,wazee walipoona wanataka kupumzika,wakamwita akae dukani
 
Kuna kila dalili Yanga akaendelea kulitawala soka la bongo [emoji2]
Popoma on his prime
 
kumbe adui yake MO injinia!!!ndo naskia kwako
 
Aliyekwambia Mo na Hersi maadui ni nani?

Unakwama sometimes
 
Alooooooooo.
madunduka yameanza kukanyagana.
 
Ukweli uko wazi Babra kutoka Simba kwa position ya CEO aliyokuwa nayo na labda akahamia Yanga hata akawa mshabiki tu kuna athari kubwa kwa Simba, huyu mdada anajua Siri zote za Simba na akiamua kuihujumu timu akavujisha Siri kwa Yanga atafanikiwa pakubwa! Mf akimtaja mganga wa Simba alieko Pemba au marefa wanaopewa bahasha na Simba au wachezaji wenye njaa!

Simba wote kasoro Rage tu ni mbumbumbu huwa hawaoni janga mpaka msimu ukiisha hawana hata kombe la kuku ndo wanashtuka!

Yanga ni kidume kwa sasa kwa soka la bongo, daima mbele , mpira unapigwa dimbani na fitna za nje ya uwanja grade one! Ukibahatika kuongea na Eng Hersi ofisini kwake kama Mimi nilivyoongea nae one day utajionea jinsi alivyo genius! Huyu Hersi hakuna Rais wa Klabu hapa bongo atamfikia kwa akili ya kuendesha klabu ya mpira, ni mzungu mweusi! Hana chawa wa kumharibia plans zake. Hazunguki, hataki Siasa, ni logic tu ukiongea nae! Ataifikisha Yanga mbali sana!
 
Uko sahihi....[emoji1787]
 
Karibu Barbara
 
Kula like...
 
hata mie sijajua ni ni nini

Sent from my CPH2371 using JamiiForums mobile app
 
kwa jinsi Mo alivyokuwa na mihemko atatoka na kurusha kijembe mtandaoni... [emoji1][emoji1]
Tajiri mswahili yule ,kuna muda anaweza kupost kitu hadi unahisi labda si akaunti yake ni parody[emoji23]
 
Halafu wewe Genta kuna muda naanza kukuelewa kuna vitu uliandika huko nyuma vinaanza kutumia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…