Kitendo cha aliyekuwa CEO wa Simba SC Barbara kum 'Unfollow' Tajiri Mo Dewji na Kumfollow Rais wa Yanga Injinia Hersi sasa Moto utawaka

Sasa naanza kuelewa,😂
 
Huyu ana mademu wengi sana huko Yanga hamuishi kumtaja taja
 
Ninachoamini hujawahi kuwa Mnafiki.
 
Sope anajisikiaje kuingiliwa himaya take na hasimu wake?
 
Kuna sheria za biashara duniani zinazolinda the so called trade secret!

Hata akihujumu, basi ni kwa nidhamu chinichini usifikiri ataitisha press aanze kusema simba walikuwa wanahonga marefa Mara vile, iko kitu hakiwezekani maana hapo atakuwa ana attack taasisi! Kitu ambacho bilashaka ni kosa
 
Wanawake ndo walivyo, mfano mzuri Haji Manara.
Akiacha kupenda kwenda nao Wake zake Makao Makuu zao zilizotukuka za Makumbusho tabia aliyoianzia Kwao Buguruni Malapa na Ilala Bungoni Mtaa wa Kwao Ibrahim Ajib Migomba huku Dada zake wakitumika Kumtafutia Wanawake wanaopenda huko kisha anawapa Pesa ya maana hawatokuwa Wanamkimbia tena.
 
Weka hisia mbali na mambo ya kibiashara '' kasema sauti ya Mombe''
 
Mwache kabisa Barbara. Wewe ni kinara wa kumbagaza hapa jukwaani. Na ulimpinga vita haswa! Sijui unalalamika nini. Inaonekana hujui utakalo wewe.
 
Hersi ni genius na ni muumini mkubwa wa muda ndio utaongea ndio maana unaona hata waandishi wa kutegemea bahasha ndio waandike mazuri ya Yanga wote ni maadui wake maana hana ujinga wa kuhonga waandishi,yeye ni mtu wa mipango endelevu na kufanya kile anachoamini
 
Mmeshazoea kula matapishi

Uongozi wa Simba Sc umemtangaza mtendaji mkuu mpya wa klabu yao(CEO), Barbara Gonzalez ambaye atakuwa mrithi katika kiti cha Senzo Mbatha ambaye alijiuzulu na kuibukia Yanga Sc.
 
Mo siyo tajiri, anasimamia Mali za ukoo,alipomaliza chuo huko marekani,alikua akifanya kazi sheli,wazee walipoona wanataka kupumzika,wakamwita akae dukani
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…