Gift mzalendo
JF-Expert Member
- Dec 13, 2019
- 1,856
- 2,417
Kwa hiyo unaunga mkono Roketi kuua kuku mkuu ππWw Sema yanapiga kuku wakti wenzako wamejazana uwanja ndege wanakimbia nchiView attachment 3079986
Hizi propaganda za kuchukua video za mchongo haziwapeleki popote.Nafikiri hata sponsor wao ajitafakari misaada anayowapa Kama inafikia lengo, unalengaje Banda la kuku
Wakati adui wako anaua viongozi wa rank za juu Kila siku.
Hadi second commander KUTOKA kwa first commender anayeongeaga kwa tahadhari akiwa zake shimoni Kama kuku aliona mwewe πππ
View attachment 3079965
Hao jamaa wanatumia nguvu zaidi kuliko akiliUshindi wa kuua kuku mkuu,
Ndo maana nashangaa inakuwaje rocket 320 lakini madhara yake ni kidogo sana
Kumbe ndo hizo za kwenye Banda hapo πππ
Kama wamezuia taarifa zisitoke wewe umejuaje kuna Kambi za jeshi zimechakazwa?!Bahati mbaya sana mmejaa kwenye mtego wa zayuni mpaka sasa kazuia taarifa zote kutoka kambi zilizochakazwa anaonyesha sehem dhaifu tu hakuna aliyeruhusiwa kupiga picha na gaidi netanyau
Endelea kuongelea kuku. Wenzako hii Leo hawajalala kumewaka moto huko