Kitendo Cha Hezbollah kushambulia kuku wa Israel kwa Roketi za mamilion sio poa

Kitendo Cha Hezbollah kushambulia kuku wa Israel kwa Roketi za mamilion sio poa

Kuwa gaidi lenye mlengo wa kidini SHARTI kwanza uwe hamnazo kichwani. Jiulize Hezbollah anapigana na Israel kisa Hamas, sasa wote tujiulize ni Kweli Hamas alipovamia Israel tarehe 7/10/2023 alikuwa hataki vita? Je yanayoendelea huko Gaza Hamas hakuyatarajia( haku foresee consequences)? Yaaaani urushe rockets zaidi ya elfu 5 kwa jirani,uvuke mpaka ukawachinje raia kama kuku, watoto kwa wanawake tena wengine wakiwa kwenye matamasha ya mziki!!! Imagine kunakucha watu wanakuta maiti zaidi ya 1200 zimetapakaa halafu eti Hezbollah anaingilia kati mgogoro eti mpaka Israel iache kushambulia Gaza...HIZI NI AKILI AU MATOPE
We unaangalia tukiona Moja badala ya kuangalia series ya matukio Israel imeua wapalestina wangapi.
 
Kuwa gaidi lenye mlengo wa kidini SHARTI kwanza uwe hamnazo kichwani. Jiulize Hezbollah anapigana na Israel kisa Hamas, sasa wote tujiulize ni Kweli Hamas alipovamia Israel tarehe 7/10/2023 alikuwa hataki vita? Je yanayoendelea huko Gaza Hamas hakuyatarajia( haku foresee consequences)? Yaaaani urushe rockets zaidi ya elfu 5 kwa jirani,uvuke mpaka ukawachinje raia kama kuku, watoto kwa wanawake tena wengine wakiwa kwenye matamasha ya mziki!!! Imagine kunakucha watu wanakuta maiti zaidi ya 1200 zimetapakaa halafu eti Hezbollah anaingilia kati mgogoro eti mpaka Israel iache kushambulia Gaza...HIZI NI AKILI AU MATOPE
Nilijua huyu atakua wewe umeropoka hivi.
Kabla hujaropoka huu utumbo ulitakiwa ujue kuwa mwaka 2023 August 23 Israel ilianza ukorofi kwa kutoa idhini ya mahakama ya kuvunja nyumba za makazi na makanisa Jenin ili wafanye upanuzi wa makazi ya walowezi wa kiyahudi.
Na ukae utambue kuwa Jenin ipo ndani ya mamlaka ya Palestina.
Tarehe hiyo hiyo Israel IDF walivamia mashamba huko Khani Younis na kuharibu mazao na kukanyaga wakulima kwa vifaru.
Hapo hapo Israel hiyo hiyo imekua ikipuliza dawa za sumu kwenye mazao ya wapalestina na wakisingizia ni dawa za kudhibiti wadudu.
Kwa huu UPUMBAVU wako ulitarajia Palestina wakae kimya!?
*Je alichofanya Israel August kuvunja makazi ya Jenin sio kosa??
*Je alichofanya Israel kuvamia mashamba Khan Younis kuharibu mazao na kukanyaga wakulima kwa vifaru sio kosa!??
Au wale wakulima sio binadamu wakifa damu zao hazina thamani???

Ulitakiwa ujiulize haya kwanza kabla hujaja na kuropoka hapa.
Haijatosha USA ametuma manowari za kivita na askari maji 2000 na shehena za silaha kupeleka Israel kupambana na kundi dogo Hamas.
Na ukitizama ugomvi haukuanzia Oktoba bali ulianzia Agosti,ulitaka Hizbollah wakae wakimuona mwenzao anaonewa wazi wazi!??

Hao Israel unaowashabikia hapa wametoa idhini YA KUVUNJA MAKANISA YENU NINYI WAKRISTO ILI ZIJENGWE NYUMBA ZAO.
Tena bora ingekua makanisa yapo ndani ya Israel laa hasha yapo ndani ya mamlaka ya Palestina Jenin!!

Hujakua tu kiakili aiseee!!
 
Kwamba nibadilike ni support magaidi yalioua Watanzania wenzetu wawili vijana wadogo wasiokua na hatia.?!

Kwahiyo umeona ya watanzania tu, ila ya wamama na watoto wa kipalestina hujaona wala kuumia sio!

Na una uhakika gani wameuawa na hamas!
 
Kwahiyo umeona ya watanzania tu, ila ya wamama na watoto wa kipalestina hujaona wala kuumia sio!

Na una uhakika gani wameuawa na hamas!
Hamas ndio waliua Watanzania wenzetu wasiokua na hatia Oct 7 na pia kutumia akina mama na watoto wa kipalestina kama ngao kwenye uwanja wa mapambano.
Watu makatili kama hawa siwezi kuwaunga mkono
 
Back
Top Bottom