Mzee Kigogo
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 9,968
- 16,680
Ww Sema yanapiga kuku wakti wenzako wamejazana uwanja ndege wanakimbia nchiView attachment 3079986
View: https://youtube.com/shorts/bpWMplWWVPg?si=VlVbmEualDeCg--L
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ww Sema yanapiga kuku wakti wenzako wamejazana uwanja ndege wanakimbia nchiView attachment 3079986
Sawa wameuwa kuku sa jiulize vitu vilipita au havikupita mpaa kwenye banda la kuku 😄
Tumeisha zowea mkipigwa lazima mje na nyimbo, mara zimeland kwenye empty spaces sa zimeland kwenye banda la kuku.
Sawa wacha nikaote kwenye mti uliopo pale njia panda, kati ya Jerusalem na Damascus, ili nije na 3=1 na 340=Kuku 😅
View: https://youtu.be/mpgbbySmd6Y?si=uYRKCAVB-EXXRkst
Ww Sema yanapiga kuku wakti wenzako wamejazana uwanja ndege wanakimbia nchiView attachment 3079986
Kuwa gaidi lenye mlengo wa kidini SHARTI kwanza uwe hamnazo kichwani. Jiulize Hezbollah anapigana na Israel kisa Hamas, sasa wote tujiulize ni Kweli Hamas alipovamia Israel tarehe 7/10/2023 alikuwa hataki vita? Je yanayoendelea huko Gaza Hamas hakuyatarajia( haku foresee consequences)? Yaaaani urushe rockets zaidi ya elfu 5 kwa jirani,uvuke mpaka ukawachinje raia kama kuku, watoto kwa wanawake tena wengine wakiwa kwenye matamasha ya mziki!!! Imagine kunakucha watu wanakuta maiti zaidi ya 1200 zimetapakaa halafu eti Hezbollah anaingilia kati mgogoro eti mpaka Israel iache kushambulia Gaza...HIZI NI AKILI AU MATOPENafikiri hata sponsor wao ajitafakari misaada anayowapa Kama inafikia lengo, unalengaje Banda la kuku
Wakati adui wako anaua viongozi wa rank za juu Kila siku.
Hadi second commander KUTOKA kwa first commender anayeongeaga kwa tahadhari akiwa zake shimoni Kama kuku aliona mwewe 😀😀😀
View attachment 3079965
Yaani kilichotokea ni Vifaranga kupatishwa Stress tu na kupata Mshtuko wa MoyoFaizaFoxy hili limejaaje wavaa makobazi wenzio wataiita ushindi
Akili za madrasa mwaka wa kwanzaKama wamezuia taarifa zisitoke wewe umejuaje kama kuna Kambi za jeshi zimechakazwa?!
Au mnapiga ramli huko msikitini
Kikundi cha kigaidi chenye mlengo wa kidini hakuna hata kimoja chenye akili. Kuanzia Boko Haram, alqaida, alshabab, Houthi, Hezbollah, Islamic jihad and the like. Yaaaani mfano wale waliovamia Israel na kuuwa watu 1200 kwa masaa tu, wanaamini wataenda peponi kwa Allah kufanya ngonoYaani kilichotokea ni Vifaranga kupatishwa Stress tu na kupata Mshtuko wa Moyo
Kuku wakubwa hasa Majogoo wamebaki kucheka tu na kutingisha vichwa
Wakati Israel inanyofoa vichwa vya Viongozi wakuu wa Hizbollah na kuangamiza kabisa maeneo yao
Hawa Makobazi hamnaga akili kabisa 🤣🤣🤣🤣
Hezbollah drome ya ghali waitowe wapi?Nafikiri hata sponsor wao ajitafakari misaada anayowapa Kama inafikia lengo, unalengaje Banda la kuku
Wakati adui wako anaua viongozi wa rank za juu Kila siku.
Hadi second commander KUTOKA kwa first commender anayeongeaga kwa tahadhari akiwa zake shimoni Kama kuku aliona mwewe 😀😀😀
View attachment 3079965
Wewe si uonyeshe au huna bundle la kutosha ku upload video?Israel's preemptive strikes 'not end of story', Netanyahu warns
Kwenye hii makala kuna ramani ya mashambulizi ya hizbullah ndani ya israel,hayo yote ni mabanda ya kuku!?..cheap propaganda,kule telaviv kimeshambuliwa nini,watuoneshe,nasrallah kasema kambi ya jeshi na mossad hq pamechakaa
Weka ushahidi. Maneno Mengi ya nini?!Hizi propaganda za kuchukua video za mchongo haziwapeleki popote.
Kambi 11 za Israel ikiwemo ya Galilee zimeshambuliwa kikamilifu.
Na makamanda huko wameitisha wito wa dharura.
Kama ingekua waliolipuliwa ni kuku tu Israel ingeitisha hali ya hatari!??
Weka ushahidi. Maneno Mengi ya nini?!
Kabisa kabisaHezbollah hapo wamewaumiza sana mazayuni mpaka wamelalamikia na kulilia kuku? Ujuwe kulikua na intelijensia imewafikia Hezbollah, hao kuku lazima wameficha kitu.
Hiyo ni mojawapo ya war strategies. Hata Israel walipotungua Helicopter ya Rais wa Iran hawakusema hadharani ili iwe rahisi kuwashughulikia wengine!Bahati mbaya sana mmejaa kwenye mtego wa zayuni mpaka sasa kazuia taarifa zote kutoka kambi zilizochakazwa anaonyesha sehem dhaifu tu hakuna aliyeruhusiwa kupiga picha na gaidi netanyau
Video na article za reuters ziliwekwa humu.Weka ushahidi. Maneno Mengi ya nini?!
Watu wanakula bata Jerusalem wewe unazungumzia article uchwara za juzi?!Video na article za reuters ziliwekwa humu.
Pia juzi si nilikurushia article ya reuters wewe??
Au sio wewe!?