Mr passion
JF-Expert Member
- Nov 1, 2023
- 202
- 282
Israel inaelewa hezbollah mara mwisho ilimfanya nini xo hizi story tu apa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukisoma maandiko kutoka itikaf alkatun, yanasema ikitokea shaheed akakosea shabaha badala ya kuua kafir akaua viumbe wengine wa mola kama vile kuku au kondoo wa makafir halafu na yeye akauawa, basi shaheed huyo hatapewa mabikira 72, huyo atapewa wakane wawili na makahaba watatu نظرة عشاق الرطوبةNafikiri hata sponsor wao ajitafakari misaada anayowapa Kama inafikia lengo, unalengaje Banda la kuku
Wakati adui wako anaua viongozi wa rank za juu Kila siku.
Hadi second commander KUTOKA kwa first commender anayeongeaga kwa tahadhari akiwa zake shimoni Kama kuku aliona mwewe 😀😀😀
View attachment 3079965
Huwa uko inept kichwani,ila unapenda kuchangia issue za maana,changia kwanza mmu na sportsWewe si uonyeshe au huna bundle la kutosha ku upload video?
Hamna lolote hao kuku wamekiri wenyewe ni kuku. We beach za Israeli zilikuwa zimejazana watu wako nusu uchi mashoga na maesbian leo wako kwenye shelter na ma bunker huko 😄 Eti wanakula life hawa kuku noma sana.Watu wanakula bata Jerusalem wewe unazungumzia article uchwara za juzi?!
View: https://youtu.be/bpWMplWWVPg?si=YkfSy7Vsi_EaTx0f
Siku hizi Mossad hq wanafuga kukuIsrael wazee wa propaganda,waoneshe mossad hq tuone
duh vita vya waarabu vibaya mno hawachagui pa kupigaNafikiri hata sponsor wao ajitafakari misaada anayowapa Kama inafikia lengo, unalengaje Banda la kuku
Wakati adui wako anaua viongozi wa rank za juu Kila siku.
Hadi second commander KUTOKA kwa first commender anayeongeaga kwa tahadhari akiwa zake shimoni Kama kuku aliona mwewe 😀😀😀
View attachment 3079965
HahahaahaSiku hizi Mossad hq wanafuga kuku
HahahhahaYaani kilichotokea ni Vifaranga kupatishwa Stress tu na kupata Mshtuko wa Moyo
Kuku wakubwa hasa Majogoo wamebaki kucheka tu na kutingisha vichwa
Wakati Israel inanyofoa vichwa vya Viongozi wakuu wa Hizbollah na kuangamiza kabisa maeneo yao
Hawa Makobazi hamnaga akili kabisa 🤣🤣🤣🤣
Cha msingi kaliwa,sijui alikua ofisini,kaliwa,huu mchezo mzuriMwendazake hakuwa mentally stable na hata hivyo hakuwapig vifaranga kwa kombora ila moto
Israel's preemptive strikes 'not end of story', Netanyahu warns.Siku hizi Mossad hq wanafuga kuku
Watu wanakula bata Jerusalem wewe unazungumzia article uchwara za juzi?!
View: https://youtu.be/bpWMplWWVPg?si=YkfSy7Vsi_EaTx0f
Watu wanakula bata Jerusalem wewe unazungumzia article uchwara za juzi?!
View: https://youtu.be/bpWMplWWVPg?si=YkfSy7Vsi_EaTx0f
Watu wanakula bata kama kawa.. Gaidi Nasra na wenzake walishtukiwa mapema wakadhibitiwaKwa hiyo video peke yake inakuaminisha raia hawajawa traumatized!??
Pole wee!
Hiyo taarifa kawaambie reuters walioleta taarifa ya maafa Israel.Watu wanakula bata kama kawa.. Gaidi Nasra na wenzake walishtukiwa mapema wakadhibitiwa
Wavaa madela tangu lini wakawa na akili🤣🤣🤣
Huyu jamaa huwa ni mbishi sana, hataki kujua ukweli, kinachomsumbua ni chuki.Hiyo taarifa kawaambie reuters walioleta taarifa ya maafa Israel.
Hahaa haya bhana 🤣🤣Hata yesu alivaa kanzu na kusujudu, ni vazi bora kuliko vazi lolote ewe myahudi, olenimala??
Kinachonisumbua ni chuki dhidi ya ugaidi.