Kitendo Cha Hezbollah kushambulia kuku wa Israel kwa Roketi za mamilion sio poa

Israel inaelewa hezbollah mara mwisho ilimfanya nini xo hizi story tu apa
 
Ukisoma maandiko kutoka itikaf alkatun, yanasema ikitokea shaheed akakosea shabaha badala ya kuua kafir akaua viumbe wengine wa mola kama vile kuku au kondoo wa makafir halafu na yeye akauawa, basi shaheed huyo hatapewa mabikira 72, huyo atapewa wakane wawili na makahaba watatu نظرة عشاق الرطوبة
 
duh vita vya waarabu vibaya mno hawachagui pa kupiga
 
Mwendazake hakuwa mentally stable na hata hivyo hakuwapig vifaranga kwa kombora ila moto
 
Hahahhaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…