Gift mzalendo
JF-Expert Member
- Dec 13, 2019
- 1,856
- 2,417
Kweli vita sio manguvu Ila ni akili alizokujalia Mwenyenzi Mungu unavyozitumia. Kuna tofauti kubwa ya MTU anayegundua Tech mpya na anayesubiri auziwe Tech mpya.
Kuna Tofauti ya MTU anayetumia Mfumo na aliyegundua na kutengeneza Mifumo.
MTU akikuwahi kwenye control ya mifumo yako kubali tu yaishe. Maana anaweza kutumia Mifumo yako mwenyewe kukumaliza.
Soma Pia: Israel yashambulia Syria na kusambaratisha kituo cha kijeshi cha kutengeneza silaha za kemilali Mali ya Iran huko Syria
Kuna Tofauti ya MTU anayetumia Mfumo na aliyegundua na kutengeneza Mifumo.
MTU akikuwahi kwenye control ya mifumo yako kubali tu yaishe. Maana anaweza kutumia Mifumo yako mwenyewe kukumaliza.
Soma Pia: Israel yashambulia Syria na kusambaratisha kituo cha kijeshi cha kutengeneza silaha za kemilali Mali ya Iran huko Syria