Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lakini mbona hiyo video inaonesha Jaji kaanza kusema hivyo tangu Magufuli akiwa rais?Wewe unaona Rais Samia anavyopora vyeo na kuwapa wazanzibar wenzake unaona ni sawa? Acha uchochezi mkuu.
Makamu wa rahis ni mumewe na mkweweNaingia kwenye mada moja kwa moja bila kuwachosha. Kuna tetesi huenda Makamu wa Rais wa JMT ni Rais wa Zanzibar lakini wakubwa hawataki kutuambia ukweli. Hebu sikiliza mwenyewe hapo chini utafakari.
View attachment 3260960
MAONI YANGU
Rais Samia ameibinafsisha Tanganyika anataka kuigeuza kuwa koloni la Zanzibar. Tazama ameamua kuchukua cheo cha umakamu wa Rais na kumpa ndugu yake (Rais Mwinyi) kimyakimya. Huyu mama inatakiwa mwaka huu tumpumzishe uongozi arudi nchini kwao Zanzibar atuachie nchi yetu.
Barua ya kujiuzulu umeiona? Tarehe ya kujiuzulu katika barua hiyo ni tarehe ngapi?Hii nchi kwa kweli haieleweki hivi karibuni pia tuliambiwa Dr Philip Mpango amejiuzulu kwamba kamuandikia Rais barua ya kujiuzulu na rais amemkubaliani.
Kwa sasa hii Nchi haina makamu wa rais kwa mujibu wa katiba
Barua ya kujiuzulu umeiona? Tarehe ya kujiuzulu katika barua hiyo ni tarehe ngapi?
Hii Katiba inashidaNaingia kwenye mada moja kwa moja bila kuwachosha. Kuna tetesi huenda Makamu wa Rais wa JMT ni Rais wa Zanzibar lakini wakubwa hawataki kutuambia ukweli. Hebu sikiliza mwenyewe hapo chini utafakari.
View attachment 3260960
MAONI YANGU
Rais Samia ameibinafsisha Tanganyika anataka kuigeuza kuwa koloni la Zanzibar. Tazama ameamua kuchukua cheo cha umakamu wa Rais na kumpa ndugu yake (Rais Mwinyi) kimyakimya. Huyu mama inatakiwa mwaka huu tumpumzishe uongozi arudi nchini kwao Zanzibar atuachie nchi yetu.
Nimesikiliza.
Mbona kama clip imekatwa!!!Mkuu wewe unaona mambo yanafanyika deliberately halafu unataka kuomba ufafanuzi kwa CJ? Kusoma hujui hata picha hujui kusoma?
Ameibinafsisha Tanganyika kivipi ilihali yeye pia kaikuta hii Katiba iliyopo kama ilivyo ??!Naingia kwenye mada moja kwa moja bila kuwachosha. Kuna tetesi huenda Makamu wa Rais wa JMT ni Rais wa Zanzibar lakini wakubwa hawataki kutuambia ukweli. Hebu sikiliza mwenyewe hapo chini utafakari.
View attachment 3260960
MAONI YANGU
Rais Samia ameibinafsisha Tanganyika anataka kuigeuza kuwa koloni la Zanzibar. Tazama ameamua kuchukua cheo cha umakamu wa Rais na kumpa ndugu yake (Rais Mwinyi) kimyakimya. Huyu mama inatakiwa mwaka huu tumpumzishe uongozi arudi nchini kwao Zanzibar atuachie nchi yetu.
Mpaka tutakapoimba wimbo mmoja na watoto wa wakulima wote Nchini ndipo Katiba mpya bora itakapopatikana !Hii Katiba inashida
Jaji hawezi kukosea kosea mara zote hizo tena kwa nyakati tofauti tofauti !Mimi sio ccm lakini ni muumini wa ukweli;
1.. Iweje umsingizie Samia kuwa ndiye aliyebuni hiyo nafasi ya makamu wa pili ilhali inaonyesha wazi ni makosa ya jaji mkuu tena aliyaanza tangu enzi za Magufuli?
Ukijibu hili swali nitakuuliza la pili
Huo ni Utatanishi !Kwa maana hiyo kuna makamu wawili, kama ni kukosea sio mara nyingi kiasi hicho.
Sina uhakika kama umeelewa ulichojibuRaisi vipi wakati raisi ni mwinyi. Usituchoshe.
Hiyo ilikua issue ya utambuzi na hiyo ni bara. Nothing else.