Kitendo cha Jaji Mkuu kutambua nafasi ya Makamu wa Rais Bara kama Makamu wa Pili; Je, ni bahati mbaya ama?

this is not fair, CJ kote huko ni ameteleza tuu ulimi!。
P
Hajateleza alikua anatoa alarm kuwa mambo ndivyo yalivyo ili tuonee ndan ya makosa hayo

1. Hamadi masauni
2. Makame mbarawa
Manaibu wa wa wizara na makatibu wakuu pia wapo kutoka zanzibar kwa wingi.

Hizi nafasi zingeshikwa na watanganyika ingeongeza maendeleo kwenye majimbo, mikoa na kanda kwa ujumla zanzibar ni ndogo kieneo alikuwa anatosha yeye peke yake kuwa raisi kutoka zanzibar.

Watanfanyika nafazi zote za mawaziri manaibu waziri na makatibu wakuu angeacha wawe ni wa TANGANYIKA TU.

lakini huu ni mwanzo ngoja apate mitano tena itakuwa nusu wanzanzibar kwenye nafasi za mamlaka na maamuzi
 
Mimi sio ccm lakini ni muumini wa ukweli;
1.. Iweje umsingizie Samia kuwa ndiye aliyebuni hiyo nafasi ya makamu wa pili ilhali inaonyesha wazi ni makosa ya jaji mkuu tena aliyaanza tangu enzi za Magufuli?

Ukijibu hili swali nitakuuliza la pili
Hawezi kosea marambili mbili!hiyo kitu no Rasmi kabisa japo wametuficha sana!
Naamini The state wanalijua hili na limetokea sio kwa bahati mbaya!
Sass:-

Kwakua Mpango ameshajiuzulu umakam!serikali itakapovunjwa mpango anakua mstaafu na nchimbi ndio mgombea mwenza!ikitokea hilo ambalo naogopa kuliandika labda tuseme hawezi Tena Kwa changamoto mficho!that means Dr. Mwinyi ata step up kama Namba Moja coz nchimbi bado hajapigiwa kura na mpango keshajiuzulu Sasa Mwinyi atapewa chapuo kama mgombea na nchimbi kuwa makam wake au!!?

Najiuliza tu!
 
CHeo Cha naibu waziri mkuu kipo!!?
Cha
 
Makamu wa kwanza ni nani? Na kwanini hatokei kwenye matukio hayo?
 
Makamu wa kwanza ni nani? Na kwanini hatokei kwenye matukio hayo?
Inasemekana makamu wa kwanza wa Rais ni Dr Mwinyi. Wazanzibar wamejimilikisha sehemu kubwa ya ardhi ya Tanganyika na sehemu ndogo iliyobaki wamewauzia waarabu wenzao. Hawa akina yakhe sio watu wazuri.

Watanganyika yatupasa tuikomboe nchi yetu ya Tanganyika kutoka kwa wakoloni wa Zanzibar. Tumelala sana ndio maana tumeruhusu hawa wageni kujimilikisha nchi yetu watakavyo.
 
Mkuu wakati huo Raisi alikuwa Magufuli Mama Samia alikuwa Makamu wa Raisi.
Umesikiliza hiyo clip hapo juu mkuu? Usikurupuke kujibu hoja sikiliza hiyo klipu kwanza.
 
Mkuu hebu soma kipande cha katiba pale juu kabisa kwenye ukurasa wa kwanza kuna mtu kaweka kipande pale. Jaji mkuu anajua anachofanya baada ya kupokea maelekezo kutoka kwa Samia. Nchi ya Tanganyika imeuzwa kwa wazanzibar.
 
Hii si kwa bahati mbaya. Jaji Mkuu anajua anachoongea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…