Basima Ogenze
JF-Expert Member
- Aug 14, 2015
- 786
- 881
Sioni uhuni wowote hapo,huo mnyoo Ndio unaofanya aishi hapa mjini kwa kipato halali,Ndio muonekano wake yeye kama msanii. Kama ni kosa basi hata wale wanajeshi wanaovaa mavazi ya kijeshi kanisani siku ya ndoa wanafanya makosa.