Kitendo cha kumpa Mbowe privilege kuwa hastahili kushtakiwa kwa ugaidi si sawa kisheria na ni kinyume na dhana ya "Equality before the law"

Kitendo cha kumpa Mbowe privilege kuwa hastahili kushtakiwa kwa ugaidi si sawa kisheria na ni kinyume na dhana ya "Equality before the law"

Sijaongelea Criminal Procedures mkuu.

Nimebaki na kesi Mahakamani. Sijataka kudeal na PGO walah!

Utaratibu kama haukufuatwa wakati wa ukamataji, ni "ni sehemu ya Reasonable Doubts" zitamsaidia yeye wakati wa utetezi.

Tumefika hapa wapi?.. Mtuhumiwa wa ugaidi anaweza kuwa yeyote yaani Kiongozi wa dini, Waziri, Mfanyabiashara, Mwanasiasa na yeyote yule. NO EXCUSES. Lakini je CDM mnapaswa kuipangia polisi nani wamtuhumu na nani wasimtuhumu?

Time of arrest nayo inaondoa Criminality ya Mbowe?. Kama inaondoa basi iende mahakamani mkuu.

Kupekuliwa upo sawa, wakikokosea kumpekua si ushahidi utakuwa batili, shida iko wap?

Nachopinga ni hizi Stunts na Mmemes za "SIYOGAIDI" na kuchorachora Mali za watu.

NI UTOTO, UJINGA NA UPUMBAVU
Tonatofautiana katika mstari mwembamba sana.Unakereka na watu kusema "Mbowe sio gaidi".Ungetumia muda kidogo kutafakari kwa nini watu waseme hivyo.Kwanza,huyu ni public figure ana wapenzi na wafuasi na huwezi kuzuia mapenzi yao.Kama unaamini katika kila mtu hasa kosa mpaka itakapothibitishwa basi ungekaa kimya tu.Hiki kitendo cha kuwaona wapenzi wake wana makosa ni tayari umeshachukua upande.All in all nimefurahi kwa uandishi wako!
 
Kwa elimu yetu ndogo ya uraia tulisomasoma kidogo kuhusu Equality Before the Law (The principle which requires a systematic rule of law that observes due process to provide equal justice, and requires equal protection ensuring that no individual nor group of individuals be privileged over others by the law.). Sitaki kwenda mbali nabaki hapo kwenye Rule of Law na pia kwenye "nor group of individuals be privileged over others"

Si kwamba nami matohibitisha kuwa Mbowe ni gaidi La hasha lakini hizi harakati za vyuoni ambazo mnazileta mpaka ukubwani siyo sawa na mnasumbua Taifa. Ni wazi kuwa hata ninyi hamuheshimu utawala wa Sheria . Utawala gani wa Sheria ambao mnaulilia sasa? Sote tunatambua kuwa "no one is guilty unless proven by the court" . Sasa mnasema yeye siyo Guilty tujiulize je ninyi ni mahakama? . Lakini mnavyokazania kwamba Mbowe si gaidi kwani nani amesema Mbowe ni gaidi ?.

Kitendo ch kumpa Mbowe privilege kuwa hastahili kushtakiwa kwa ugaidi si sawa kisheria na ni kinyume na dhana ya "Equality before the law" lakini pia tujiulize nani anajua Nyendo zote za Mbowe kiasi cha kumtetea namna hii. Ni kweli inafikirisha kuwa ukaribu wa Mbowe (kutokana na nafasi yake) kwa Viongozi mbalimbali na tuhuma zake ni kama haziingii akilini lakini kwani treason cases nyingi zinatokea mbali?, masterminds wa ugaidi na treasons wanatokaga mbali?

Kuchafua Kuta za watu haiwezi kuwa ushaidi wa Makosa ya Mbowe, Mpaka anashutumiwa na kukamatwa manake kuna Dalili za Makosa ya Ugaidi. Mnapaswa kutafuta Ushaidi wakisheria utkaaomtoa kwenye makosa au kusubiri ushahidi wa upande wa mashtake ili mpate kutengeneza hizo reasonable doubts na kumnasua. Lakini si kwa huu utopolo wakuchafua Kuta za Watu na Kuandamana kwenda Mahakamani huku mkichafua mitandao ya kijamii kwa jambo ambalo liko kwenye meza za kisheria.

Mnapaswa kuwa mfano wa vita ya katiba mnayopigania kwa maana ya kuwa "All people are equal under the law" . Kwani Freeman ni mtu wa kwanza kushtakiwa kwa makosa hayo au kwamba watanzania wengine wanaoshtakiwa ni wapumbavu?. Je Mnatufundisha nini mkishika dola. Viongozi wenu wa Chama wataguswa kweli na sheria?. Mbowe akiwa waziri mkuu akifanya kosa ataguswa kweli?. Mnawasema CCM kila siku kuwa hawaheshimu sheria lakini nanyi mnaonesha kuwa ni walewale. What went wrong?, sasa si ni bora hata ya ACT mnaowadharau!

Mnalaumu viongozi kuwa wanaingilia uhuru wa mahakama, Vipi hiki mnachokifanya ninyi siyo kuingilia uhuru wa mahakama?. Mlipaswa kupiga kelele za "JUSICE FOR MBOWE" na si kelele za "MBOWE SIYO GAIDI" na kuchorachora kuta za watu ambapo ni makosa pia kisheria.

Kesi ya Mbowe ni sensitive ndo maana mawakili waki HAWALIPUKI NA KAULI za hovyohovyo bali wanasubiri facts waanza kucounter na wala hakuwaambia mchorechore nyumba za na kuta za watu.

GROW UP CDM
View attachment 1899796
Shujaa mwendazako embu tutolee chuki zako hapa kwani ni mmoja wa timu bambikizi na kila mara unakuja kuhubiri chuki zako dhidi ya wale mnaowanyanyasa.
 
Kwa elimu yetu ndogo ya uraia tulisomasoma kidogo kuhusu Equality Before the Law (The principle which requires a systematic rule of law that observes due process to provide equal justice, and requires equal protection ensuring that no individual nor group of individuals be privileged over others by the law.). Sitaki kwenda mbali nabaki hapo kwenye Rule of Law na pia kwenye "nor group of individuals be privileged over others"

Si kwamba nami mathibitisha kuwa Mbowe ni gaidi La hasha lakini hizi harakati za vyuoni ambazo mnazileta mpaka ukubwani siyo sawa na mnasumbua Taifa. Ni wazi kuwa hata ninyi hamuheshimu utawala wa Sheria . Utawala gani wa Sheria ambao mnaulilia sasa? Sote tunatambua kuwa "no one is guilty unless proven by the court" . Sasa mnasema yeye siyo Guilty tujiulize je ninyi ni mahakama? . Lakini mnavyokazania kwamba Mbowe si gaidi kwani nani amesema Mbowe ni gaidi ?.

Kitendo ch kumpa Mbowe privilege kuwa hastahili kushtakiwa kwa ugaidi si sawa kisheria na ni kinyume na dhana ya "Equality before the law" lakini pia tujiulize nani anajua Nyendo zote za Mbowe kiasi cha kumtetea namna hii. Ni kweli inafikirisha kuwa ukaribu wa Mbowe (kutokana na nafasi yake) kwa Viongozi mbalimbali na tuhuma zake ni kama haziingii akilini lakini kwani treason cases nyingi zinatokea mbali?, masterminds wa ugaidi na treasons wanatokaga mbali?

Kuchafua Kuta za watu haiwezi kuwa ushaidi wa Makosa ya Mbowe, Mpaka anashutumiwa na kukamatwa manake kuna Dalili za Makosa ya Ugaidi. Mnapaswa kutafuta Ushaidi wakisheria utkaaomtoa kwenye makosa au kusubiri ushahidi wa upande wa mashtake ili mpate kutengeneza hizo reasonable doubts na kumnasua. Lakini si kwa huu utopolo wakuchafua Kuta za Watu na Kuandamana kwenda Mahakamani huku mkichafua mitandao ya kijamii kwa jambo ambalo liko kwenye meza za kisheria.

Mnapaswa kuwa mfano wa vita ya katiba mnayopigania kwa maana ya kuwa "All people are equal under the law" . Kwani Freeman ni mtu wa kwanza kushtakiwa kwa makosa hayo au kwamba watanzania wengine wanaoshtakiwa ni wapumbavu?. Je Mnatufundisha nini mkishika dola. Viongozi wenu wa Chama wataguswa kweli na sheria?. Mbowe akiwa waziri mkuu akifanya kosa ataguswa kweli?. Mnawasema CCM kila siku kuwa hawaheshimu sheria lakini nanyi mnaonesha kuwa ni walewale. What went wrong?, sasa si ni bora hata ya ACT mnaowadharau!

Mnalaumu viongozi kuwa wanaingilia uhuru wa mahakama, Vipi hiki mnachokifanya ninyi siyo kuingilia uhuru wa mahakama?. Mlipaswa kupiga kelele za "JUSICE FOR MBOWE" na si kelele za "MBOWE SIYO GAIDI" na kuchorachora kuta za watu ambapo ni makosa pia kisheria.

Kesi ya Mbowe ni sensitive ndo maana mawakili waki HAWALIPUKI NA KAULI za hovyohovyo bali wanasubiri facts waanza kucounter na wala hakuwaambia mchorechore nyumba za na kuta za watu.

GROW UP CDM
View attachment 1899796
Hapo Moshi mjini kwenye kuta za hospitali ya Mawezi kuna maandishi makubwa mekundu "Mbowe Sio Gadi" na umbali mchache tu kutoka makao makuu ya polisi mkoa, hakuna anayesumbukliwa kuhusu maandishi yale, yamedharauliwa na watu wake wa damu kabisa huku wakiendelea na shughuli za kiuchumi pembeni mwa barabara kama kawaida.

Kitendo cha kuweka maandishi hayo hadharani huku wahusika wakijua kesi ya msingi iko mahakamani ni kuingilia na kuielekeza mahakama cha kufanya kinyume na sheria.
 
Hapo Moshi mjini kwenye kuta za hospitali ya Mawezi kuna maandishi makubwa mekundu "Mbowe Sio Gadi" na umbali mchache tu kutoka makao makuu ya polisi mkoa, hakuna anayesumbukliwa kuhusu maandishi yale, yamedharauliwa na watu wake wa damu kabisa huku wakiendelea na shughuli za kiuchumi pembeni mwa barabara kama kawaida.

Kitendo cha kuweka maandishi hayo hadharani huku wahusika wakijua kesi ya msingi iko mahakamani ni kuingilia na kuielekeza mahakama cha kufanya kinyume na sheria.
Sasa ndugu intel justice,mbona hakuna uwiano wa uyaaminiyo ,mawazo yako na uhalisia wa jina na matendo yenu.
 
Kwa elimu yetu ndogo ya uraia tulisomasoma kidogo kuhusu Equality Before the Law (The principle which requires a systematic rule of law that observes due process to provide equal justice, and requires equal protection ensuring that no individual nor group of individuals be privileged over others by the law.). Sitaki kwenda mbali nabaki hapo kwenye Rule of Law na pia kwenye "nor group of individuals be privileged over others"
Bro ila hata Equality Before the Law definition yake lazima unakili Wikipedia?
 
Kama wote ni sawa mbele ya sheria sasa kwa nini tumemuacha Magufuli amekufa bila kupelekwa mahakamani akajibu tuhuma za mauaji, dhuluma na utekaji?

Kuna watu hadi leo hakuna ajuaye waliko, mara inasemekana aliamuru wauwawe kisha wakatupwa baharini. Ila yake tunamuachia Mungu atamalizana naye.
 
Kesi ya Kijinga mahakama wanaijuaje. Kwani kesi ngapi CHADEMA wameshinda?

Jaji/Hakimu anareject vip kesi iliyoletwa kwake?

Kwa nini wareject kesi ya mbowe na si ya babu seya?
Rais aliwaambia polisi wafute kesi za kubambika na wamefuta.

Huu ni udhaifu mkubwa kisheria mpaka walinda haki za watu ndio wanakuwa wa kwanza kuzivunja.

Tafakari kama kuna maboresho yoyote , zaidi ya kauli za kisiasa
 
..Na kitendo cha kuwashtaki Chadema, huku Polisi wakiwavumilia CCM kwa makosa hayohayo, ni kinyume na dhana ya " equality before the law. "
CCM kuna aliyetuhumiwa kwa ugaidi mkuu ?

Usitoke nje ya Mada, mfano huwezi kuhalalisha jinai kwa hoja yako
 
Equality before the law? jee wewe na Majaliwa, Ndugai au Tulia unadhani mko equal?
Ukilipatia jibu sahihi swali hilo utagundua kuwa mada yako imepotea mazima

Waambie wafanye jinai wagundulike waone.
 
Kama wapinzani hawaruhusiwi kukusanyika kuelezea hisia zao, mbadala wake ni pamoja na kuandika ukutani. Wewe unaona ni utoto/ujinga/upumbavu lakini kumbuka wamezibwa midomo ili hali katiba / sheria za vyama vya siasa inaruhusu mikusanyiko. Viongozi wa CCM wanazunguka kona zote za nchi na kukusanyika ila wengine ni haramu. Huu uminywaji wa haki ni sawa?

Unataka wakusanyike kuelezea kuwa Mbowe siyo Gaidi au unamaanisha nini?

Usije ukawa unatoka nje ya Hoja
 
CCM kuna aliyetuhumiwa kwa ugaidi mkuu ?

Usitoke nje ya Mada, mfano huwezi kuhalalisha jinai kwa hoja yako

..wanaokamatwa ni wapinzani peke yao, CCM huwa hawakamatwi.

..Na wewe usihalalishe dhuluma na double standards kwa hoja yako.
 
Hiyo ni kwa Mbowe je kuna watanzania wangapi wako mahabusu aua jela kwa kesi za kusingiziwa, kukamatwa kwao hakukufuata sheria na taratibu

Kina nani hao, unawajua au unasema kwa hisia...

Kesi ya kusingiziwa , unamaanisha mahakama inawahukumu huku wamesingiziwa?

Siyo mahakama ilimuachia huru MDUDE CHADEMA NA KUSEMA ALIKUWA FABRICATED NA JINAI ?

Au leo mnakosa imani na mahakama tena?
 
Back
Top Bottom