Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmisri alicheua mabilioni mahakamani kama unakumbuka alipigwa figisu mpaka akawa chanzo cha mapato., Ila mwendazake alikuwa na fitina sana hasa linapokuja suala la hela.hujaelewa, kampuni ya VODACOM ndio ilimchagua mkenya awe mkurugenzi wa VODACOM TANZANIA , Serikali ya tanzania ikamnyima kibali, kampuni ya vodacom ikamchagua tena mmisri awe mkurugenzi wa vodacom tanzania, serikali ikampa kibali, hiyo ndio hoja ya mleta mada