Kitendo cha kuwakatalia Wakurugenzi wa Kenya na kuruhusu wengine ni ubaguzi

Kitendo cha kuwakatalia Wakurugenzi wa Kenya na kuruhusu wengine ni ubaguzi

Hapa ndio ninapowakubaligi Uhamiaji sometime wana ujinga mwingi, sometime wanakuwa wafia nchi safi sana hiyo nafasi apewe mdengereko mtani wangu
 
Suala lako kubisha tu au huna hoja?

1. Kwanini kama watanzania wapo wenye uwezo hawapewi?

2. Nini maana ya watanzania wenye uwezo huo wapo? Sasa huyo mmisri wa Vodacom ndio mtanzania?

3. Kweli hiyo sababu ndio root cause au kisingizio? Tuone basi wanapewa watanzania lakini sio wageni or else ni chuki zisizo na msingi.
Argument yako ni ya kitoto sana. Unachosema ni kwamba akikosekana mtanzania basi lazima apewe mkenya, akipewa mmisri, mnyarwanda, mganda, ni nongwa! Huo ndio utoto ninaoupinga. Tanzania ina uhuru wa kumpa mtu kutoka nchi yoyote. Nyie pambaneni na hali zenu, whining won't help you.
 
Kuna wakati mtu una kasirika kwa sababu tu mchangiaji wa mada iliyomezani anajifanya hamnazo kwa makusudi
Mimi nimemuelewa vema mleta mada kuwa kama tunaamua kuwakataa wageni kufanya kazi Fulani kazi hizo wapewe wazawa
Kwa mantiki yake ukienda mbali ni kuwa Kenya na Misri Kenya ni jirani yetu na mwanajumuia mwenzetu wa EAC na kwa vyovyote vile na haki kuliko mmisri vinginevyo kuwe na kitokuelewa

Sent using Jamii Forums mobile app
Issue hapa siyo mchangiaji, issue ni hii tabia ya wakenya kujiona wao wanastahili zaidi kuliko watu wengine. Kuna wakenya wengi tu wanafanya kazi nchini kwenye sekta mbali mbali; ikitokea mmoja anakosa nafasi fulani, basi wanakimbia kuja jukwaani ku-whine na kulalamika kana kwamba wao wanastahili zaidi kuliko watu wengine. Waache huo utoto.
 
Kwanini wakenya mnalialia,Nyinyi si mnajigamba ni kila kitu,kaeni kwenu tutakaa kwetu
 
Wajuaji,wamezoea ukabila na wanadharau.lakini pia wanamentality kua watanzania wamelala na hawana uwezo kuchakalika na hivo hua wanatoa maneno ya kashfa kwa wa tz.

Binafsi sipend mentality yao na sidhani kama tunawahitaji.
 
Inaitwa political game changer, umewah kusikia mTz amekuwa mkurugenz ama kushika nafasi za juu kwenye mashirika ya kenya?
 
Inaitwa political game changer, umewah kusikia mTz amekuwa mkurugenz ama kushika nafasi za juu kwenye mashirika ya kenya?

Je uko Misri au China kuna Watanzania?
 
Je uko Misri au China kuna Watanzania?
Ww umeona tukio moja tu la nafasi, umewah kufuatilia njama za kenya kuhujumu ama kudhoofisha mashirika ya Tz?
Utakuwa mgeni Yerusalem, tafuta uenyeji kwanza
 
Wewe ni Mkenya au Mtanzania uliyetumwa kuandika haya na wakenya??? Basi sawa umeeleweka. Lakini sisi Watanzania watoto wa Baba yetu Mpendwa Dr.John Pombe Joseph Magufuli tunamkubali yeye,maono aliyokuwa nayo pamoja na sera zake.Hata hilo unalolalama hapa wasaidizi wake wenye ueledi wameliona na hivyo ndivyo inatakiwa kuwa maana ninyi hamueleweki.Kwanini mnapenda kuhoji yale maamuzi tunayoamua ndani ya nchi yetu ? Yaani kila tufanyacho mnataka kiwafurahishe ninyi na siyo sisi.Endeleeni na mambo yenu tutaamua mambo yetu kadili tuonavyo na si kadili mtakavyo.
 
Tanzania ni mjumbe kwenye sehem nyingi ikiwemo Sadc Au na Eac...
Hivyo tanzania km nchi huru ina uwezo wa kumkubali yeyote au kumkataa yeyote kufanya kanzi nchini.
Kenya wakati moto unawaka mlima kilimanjsro walipofuatwa kukodishwa helikopta yao walikataa..TANZANIA haiku lalamika kokote..
Kila nyumba ina taratibu zake..si busara kupeleka utatatibu wako kwenye nyumba ya mwingine
 
Ishu ni kwamba wananyimwa wa Kenya kwa kusema hata watanzania wapo wenye sifa matokeo yke hawapewi watanzania wanapewa watu wamataifa mengine tena ya mbali.
Tuna maslahi mapana na Egypt, kwa sasa tunajenga Stieglers George pamoja.

Hii ndio economic diplomacy, hao waKenya tayari wako wengi sana hapa kwetu mpaka wanajisahau na kudai Mlima Kilimanjaro uko Kenya.
 
Kuna mambo mengine yana security concerns. Msikimbilie kuropoka ropoka tu.
 
hujaelewa, kampuni ya VODACOM ndio ilimchagua mkenya awe mkurugenzi wa VODACOM TANZANIA , Serikali ya tanzania ikamnyima kibali, kampuni ya vodacom ikamchagua tena mmisri awe mkurugenzi wa vodacom tanzania, serikali ikampa kibali, hiyo ndio hoja ya mleta mada
Unajua nani mwenye hisa kubwa VODACOM basi ujue ndio mwenye kauli
 
Akili yako ndogo, huwezi kuelewa makubwa. Hata kama ana element ya ujasusi apewe tu?
 
Kenya haukujui

Haujui wao wana sheria gani?

Haujui wanawakataa wangapi?


Nyie ndio maana mnafinywa tu
 
Back
Top Bottom