Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna wakati mtu una kasirika kwa sababu tu mchangiaji wa mada iliyomezani anajifanya hamnazo kwa makusudiUna maana gani? Una maana wakenya ni bora kuliko wamisri? Una maana ni lazima wakenya wawe considered kwanza kabla ya watu wa mataifa mengine? Una maana hatuna uhuru wa kumpa mtu mwingine kabla ya wakenya? Huu ni ujinga wa aina fulani. Tanzania is a sovereign state.
Waende na Pepsi kuna wahindi ndio mabosi wahindi wenyewe vilaza tu tenda zote wanwapa wahindi wenzaoWaende na viwandani
Kuna wahindi weng wameshikilia nafasi ambazo watanzania wanaweza fanyia kazi
Wale wahindi ni watanzania wamezaliwa hapa pili ni Viwanda vyaoWaende na viwandani
Kuna wahindi weng wameshikilia nafasi ambazo watanzania wanaweza fanyia kazi
Mbona huyu hakuzuiwa? Pia, wahindi na wachina hawazuiwi?ni baaada ya raia wa Afrika kusini Ndugu Basil Gadzios kumaliza muda wake nchini Tanzania na kuhamia Zambia kwa majukumu mengine.