Kitendo cha kuwakatalia Wakurugenzi wa Kenya na kuruhusu wengine ni ubaguzi

Kitendo cha kuwakatalia Wakurugenzi wa Kenya na kuruhusu wengine ni ubaguzi

Kwetu wako watatu walishafukuzwa[emoji1787]
Yaan ni wajuaji balaa. Balaa balaa. Me nimetooka huko. Hakuna rangi wanaacha ona. Wapuuzi sana. Wakielekezwa hawasikii. Kila siku na saa ni meeting. Watu hawaendi field wale product managers. Vikao vya kijinga tu. Halaf wanabana masilahi wao wanajijazia
Alaaa...
 
Cha kushangaza ukiwa Mchina hapa ukisema wewe ni fundi seremala unapewa kibali. Wachina ni mpaka pale mradi uwe mbaya sana ndiyo utasikia kibali kikiisha hawataongeza muda lakini Wachina wanapewa vibali kama pipi wakati kazi zao na utaalamu wao kuna Watanzania kibao wanao.

Hivyo ukweli hapa kuna jambo la kibaguzi. Watu Watanzania tunapenda sana kujiangalia badala ya kuangalia matokeo. Yaani voda walimkatalia Mkenya wakamleta mwingine kitoka Misri ambaye hakuna ushahidi kwa kuwa na uwezo zaidi!
Tafuta CV ya Silvia huyo demu wa alietakiwa awe MD wa voda alafu uje ucoment Tena hapa kwenye Uzi huu
 
Wanafanya Nini hapo juu yako? Nyie mnao amini Kenya wapo juu yetu ni wehu fulani hivi. Naunga mkono kunyima wakenya vibali
Una compare education level ya Tanzania na Kenya?
Infrastructure ya Tanzania na Kenya?
To mention just a few.
Babadua mwenyewe from now on.
Uki reply hii post sitakujibu coz unaonekana you are one of those sifia sufia zuri baya twende kazi. Piga makofi ya yes kinda dude.
Kwa kumalizia hata confidence level ya individual Kenyan ni hali ya juu compared to us. Nimeshawah kuishi ughaibuni sehem kadhaa wakenya they are all over the place with top positions.
Unafiki tuache. Wabongo tumekua watu wa kujifungia fungia. Tukitoka sana kwenda ku work tumejazana Oman.
 
Wakenya wako kibao hapa AR, na wanapiga Mishe kama kawa, MIe mwenyewe nimeajiri wawili wananisukumia issue zangu mdogo mdogo.
Yaani wanasukuma issue hawana soon hata kidogo, ni kama mbogo akiwa sauzi anasukuma issue yoyote ili akiwa bongo anaringa. Acha tuwape ajira wakenya tu wabongo wanadengua sana
 
Kwa mtanzania kama mimi niliefanya kazi na wakenya kusikia kuwa mkenya kanyimwa kubali lazima nifurahi na ni shake body kidogo.

Mkenya ni mjanja mjanja tuu Pili ni watu wakujivutia kamba wao tuu huwez kuta kwenye kampuni mkenya akamsikiliza mtanzania mkiwa Meeting wanaongea kikwao then conclusion inakuja kwa kiingereza Yan ujue ushaonekana fala pia Jambo likienda fresh wao ndio wamefanya likienda baya wewe ndo umefanya.

Mkiwa na kikao anakupigia simu anakuchota akili mkiingia Yale uliokuwa unayasema yeye ndo anaeenda kuyapresent nikawajua nikawa nawaingiza Chaka.

Fuatilia uchumi supermarket ilikuja kwa kishindo walikopa pesa kwenye benk na masupply jiulize saiz wapo wap?

Nakumatt hii ilkua mixer wahindi na wakenya jiulize saiz wapo wapi?

Kuna kampuni moja kubwa hapa bongo iliongozwa na watu wa mataifa mbalimbali alipokuja mkenya Mambo yalienda chali saiz wamemuamini mbongo.

MKENYA Hana jipya lolote kwenye maamuzi ya kitaaluma compare na Mtanzania Bali mkenya n mzee wa magumashi mengi kuunga unga mwingi na kuvutia kamba upande wake.

Ila sie wabongo tunakaujinga flani hivi Yan hatuna nidhamu ya kazi, ubunifu Kazin tukishasain mkataba tunaamini hyo Kaz haiwez kukuponyoka.
 
Nimekaa Nairobi, Wasomali na Waganda ni wengi kupita watanzania lakini hakuna mkenya anaewalalamikia, kila mtu anaendelea na maisha yake hakuna kufuatiliana, al shabaab walivamia kenya na kuua lakini bado wasomali wamejaa kenya na wanaishi vizur kwa amani, sipati picha ingekuwa tanzania hali ingekuwaje, tatizo watanzania hatujiamini mbele ya wageni, tuna inferior complex mbaya sana. tena wageni wanaoongea kiingereza tunawaogopa sana.
 
Sababu ni rahisi sana, ni rahisi kwa Mkenya ambaye ni jirani yetu kutuhujumu kuliko Mmisri anayetoka mbali kutufanyia hujuma kwa sababu Kenya ni mshindani wetu wa kibiashara; mfano Kenya wanatabia ya kujaza ndugu zao kwenye vitengo vyote, na hii ni kwa sababu wapo karibu na sisi hivyo wanapenyezwa tu. Ila mtu wa Misri ni ngumu kujaza ndugu zake maana kwanza hata muonekano wao ni tofauti na watu watashtuka kuina waarabu wamejazana, ila waKenya ni weusi kama sisi na hakuna atakaeshtuka akiwaona. Kikibwa, Kenya ni mshindani wetu kiuchumi, na lazima tu watatufanyia hujuma kama za General Tyre
 
Huu ndo mfano kwanini viwanda vingi vimekufa hapa Tanzania na Makampuni mengi kufunga ofisi za uwakilishi hapa Tanzania

South African CEO to quit Haco Tiger Brands​

BUSINESS TODAY
BUSINESS TODAY
5 years ago
Tiger Brands chief executive Peter Matlare (above) is set to leave the South African company, which is majority shareholder of Kenya’s Haco Tiger Brands.
Mr Matlare on Friday announced that he is leaving the company at the end of the year, but did not give reasons for his exit. The company said the process of appointing a new group CEO had started.
He leaves four months after revealing that the Kenyan subsidiary, Haco Tiger, had falsified operating profits for the full-year ended September 31, 2014 by up to Ksh879 million. “The board has agreed that Matlare will remain in his position until December 31 and wish him fulfilment and success as he undertakes new challenges and opportunities,” the company said in a filing to Johannesburg Securities Exchange (JSE).
The Kenyan firm sacked its managing director Geoffrey Mwathi Kiarie in May following the accusations of cooking books. Mr Matlare was appointed to the group in April 2008. South Africa’s Tiger Brands bought a 51 per cent stake in Haco Industries from billionaire Kenyan businessman Chris Kirubi in 2008 for an undisclosed amount, leaving him with a 49 per cent stake.
The JSE-listed Tiger Brands revealed that executives at its Kenyan unit altered financial statements and engaged in pre-invoicing to reach their performance targets.
NEXT SEE: HACO MANAGERS GET AWAY WITH COOKING BOOKS
 
UHURU KENYATTA analipiziwa kwakuwa alikataa KUJA KWENYE KUJIAPISHA , alitambua dhulma kwenye uchaguzi ndio maana aligoma.

sasa analipiziwa.
 
Sababu ni rahisi sana, ni rahisi kwa Mkenya ambaye ni jirani yetu kutuhujumu kuliko Mmisri anayetoka mbali kutufanyia hujuma kwa sababu Kenya ni mshindani wetu wa kibiashara; mfano Kenya wanatabia ya kujaza ndugu zao kwenye vitengo vyote, na hii ni kwa sababu wapo karibu na sisi hivyo wanapenyezwa tu. Ila mtu wa Misri ni ngumu kujaza ndugu zake maana kwanza hata muonekano wao ni tofauti na watu watashtuka kuina waarabu wamejazana, ila waKenya ni weusi kama sisi na hakuna atakaeshtuka akiwaona. Kikibwa, Kenya ni mshindani wetu kiuchumi, na lazima tu watatufanyia hujuma kama za General Tyre
so in short na wao watufurushe huko kwako kwakuwa watanzania , wasukuma wana tabia ya kujazana serikalini?
 
Soko la Gakomba Nairobi wamejaa wachaga, Mombasa wadigo na wabondei wa Tanga wako wengi sana, nimeishi nairobi sijawahi kubaguliwa hata mara moja na wakenya, tena wanawake wa kikenya wanawapenda watanzania balaa, tatizo ni tamaduni tofauti, mnakaa nyumba moja hamjuani kila mtu yuko bize na mambo yake hakuna kusalimiana hata na jirani, kama huwajui, unaweza dhani wanakuchukia au dharau, kumbe ndio maisha yao hayo waliyoyazoea
 
Kwahiyo tuna amua kuwa nafasi hii ambayo Mkenya aliqualify hatumpi kwa vigezo kuwa tuna Watanzania ambao wanaweza fanya kazi hiyo, halafu baadaye kazi ile ile aliyo nyimwa Mkenya kwa kigezo cha kulinda ajira za wazawa anapewa Raia wa Misri?

Huu ndio Usovereignty?
Tuna 'jumuia ya Africa mashariki', siyo 'nchi ya Africa mashariki'. Kuwa na jumuiya haituondolei uhuru wa kuamua.
 
Aliyekwambia kuwa lazima wapewe wakenya ni nani? Hata tukikosa watanzania, kwani ni lazima wapewe wakenya? Acheni kujifanya kama nyie ni bora kuliko watu toka nchi zingine. Hide your stupidity by arguing like an intelligent person.

Suala lako kubisha tu au huna hoja?

1. Kwanini kama watanzania wapo wenye uwezo hawapewi?

2. Nini maana ya watanzania wenye uwezo huo wapo? Sasa huyo mmisri wa Vodacom ndio mtanzania?

3. Kweli hiyo sababu ndio root cause au kisingizio? Tuone basi wanapewa watanzania lakini sio wageni or else ni chuki zisizo na msingi.
 
Mkenya ni janga kubwa kwa usalama na afya ya mtanzania Yan unaeza kimbia mshahara wa 3m na kwenda 700k kiss mkenya tuu Kama huwez kumudu michezo yao
Yaan kama C.E.O akiendelea kuwa nao kampun inaenda kufa mazima na mavifaa yote yale ya hospital na madaws
 
Back
Top Bottom