Kitendo cha kuwakatalia Wakurugenzi wa Kenya na kuruhusu wengine ni ubaguzi

Kitendo cha kuwakatalia Wakurugenzi wa Kenya na kuruhusu wengine ni ubaguzi

Tafuta CV ya Silvia huyo demu wa alietakiwa awe MD wa voda alafu uje ucoment Tena hapa kwenye Uzi huu
CV bongo?

Tuangalie utendaji
Hata kwetu wapo wakiwezeshwa. Kwani lazima afanye yeye? Mimi najua wako wabongo wengi tu waanaweza. Hebu tusijishushe hivi
 
Umenikumbushia uchumi supermarket by that time nimemaliza form six nafanya tempo samsung. Aisee... wamepiga watu balaa. Sitali ongea. Kina mama nilimsaidia mawakili ila sasa gharama zikawa kubwa. Yaan changamoto. Mpk leo hawajalipwa kimi wanazungushwa. Mpk huruma
 
Fanya utafiti vzr mkuu, angalia makampuni ya kenya yaliyopo tanzania kisha fatilia makampuni za kitanzania zilizopo kenya, ukianzia mabank nk kisha urudi tena na uchochezi wako.
 
mbaya zaidi wahindi mnawashobokea zaidi.
Nani anawashobokea? I worked na wahindi twice. Wa kwanza walikua waswahili so haikinipa shida. Hawa wa pili niliona kila kufokewa kama mtoto. Hata kosa hulijui. Yaan wanatorture. Akiwa anagomba nikaenda kwenye printer nikaandika resignation letter nikamcoppy na director. Anaendelsa kuongea nikampa barua yake anashangaa ananambia come and we talk like a brother and sister nikamjibu tu my mom do not own such a big boy like you sir, am sorry. Good luck. And i walked away just like that. Yaan kila akiingia ofisini nilikia najikuta nashiver kwa kufokewa na sababu huioni na hata yeye hajui anagomba nn. Kuna mwingine akawa nae ananifokea hapohapo. Nikamwambia young man, u came from india all the way to here to be the store manager and yet yelling at me? Are you forgetting that you are an employee just like me? I demand my respect. Aliogopa maana hakuelewa napata wapi hiyo confidence. Basi tukaishia hivyo. Heshma ikawepo na akawa ananisalimia. By the way... mada haiwahusu wahindi. Hapa tunajadili wakenya.
 
"Tanzania is a sovereign state"🙇
Hiki kibwagizo mpk kinachosha.

Namsaidia mleta mada.
Reasons zinazowekwa public kukatalia wakenya ni kua kwani sisi hatuna mtu wa kujaza hizi positions mpk aje mkenya?
Then hizo hizo position tunakuja skia kapewa mtu mwingine mgeni.
NB: sitakujibu hata ukiijibu hii post sema nita like post yako. Maana nimehisi ni mmoja wa wale mtu akisema anything against mawazo ya wale anatazamwa kwa jicho la tatu wakati kiuhalisia facts ndio mpango mzima especially Karne hii.
Walichofanya voda ni kumpa cheo Hendi ambaye tayari alikua Tanzania hapa hapa. Wakati mwingine serikali inapunguza wageni kuja huku kula bata bila sababu za msingi. Mbona Voda walimuweka Hendi? Yule Mkenye alikua wa kazi gani sasa?
Hao Coca waambieni watafute muhindi au mzungu mmoja ambaye yuko pale biashara iendelee. Sio kutujazia wapuuzi toka Kenya ambao hujiona bora kuliko sisi. Au wampe mbongo kwani kuuza soda kuna ufundi gani?
 
Kwetu wako watatu walishafukuzwa[emoji1787]
Yaan ni wajuaji balaa. Balaa balaa. Me nimetooka huko. Hakuna rangi wanaacha ona. Wapuuzi sana. Wakielekezwa hawasikii. Kila siku na saa ni meeting. Watu hawaendi field wale product managers. Vikao vya kijinga tu. Halaf wanabana masilahi wao wanajijazia
yana roho mbaya
 
hujaelewa, kampuni ya VODACOM ndio ilimchagua mkenya awe mkurugenzi wa VODACOM TANZANIA , Serikali ya tanzania ikamnyima kibali, kampuni ya vodacom ikamchagua tena mmisri awe mkurugenzi wa vodacom tanzania, serikali ikampa kibali, hiyo ndio hoja ya mleta mada
Mmisri yule alikua hapa hapa bongo. Hakuwa nje
 
Sikulazimishi uiamini au uniamini ila nimeishi na hadi Kusoma na Wakenya ni Watu Wachoyo, Wabaguzi, wana Dharau na Roho Mbaya ya Kuzaliwa.
 
Wanini Wakenya wakataliwe?
Wakenya ni wahujumu sana. Angalia waliochoifanya Serengeti Breweries miaka ile. Baada ya kuinunua SBL kupitia EABL wale jamaa wakaanza kujaza watu wao pale Chang'ombe.

Mission yao ya kwanza ikawa kuifanya bia ya Tusker iwe juu kwenye soko la Tanzania kama ilivyo kwao. Kumbuka kampuni inaitwa Serengeti Breweries na bia yao iloyobeba jina ni Serengeti. Mission ikaanza, ikatangazwa sana Tusker, wakatengeza magazebo mengi kwenye bars (yale mavibanda kama maturubai), wakagawa viti na meza vingi tusker branded, coolers (mafriji) kila kona ya bars. Billboards mitaani ni tusker......kilichotokea. Market response ya Tusker haikuwa positive na watu wakaanza kuisahau bia ya Serengeti, as the result, market share ya SBL ikaporomoka kwa kiasi kikubwa sana.

Kulikua na haja gani ya kuifanya Tusker ndio bia yao namba 1 hapa Tz wakati tayari kuna bia mbeba jina la kampuni? Au ingefika kipindi tungekuwa tunaagiza Tusker Kenya ili wao wapate exports nyingi? Walipoona mporomoko wa kuzidi.....wakarudisha Serengeti tena. Lakini nawaambia, Wakenya sio watu wazuri hata kidogo.....

Mi nilikua nachukia tangu nipo mdogo, naona home kuna vyombo ya plastic vimeandikwa made in Kenya!! Ina maana Tz hatuna kiwanda cha kutengeneza haya maplastic! Baadae nikawa naona chumvi (table salt) fulani eti inatoka Mombasa Kenya....bulshit. Mi nashukuru yule mhindi wa Neel chumvi toka Mkuranga, kaja kateka soko sasa hivi. Hata zile sabuni za Jamaa........Mo sijui anashindwa nini kucopy na kupaste tumalize shughuli.
Ifike mahali tuuziane vitu vyenye tija, sio chumvi na sahani ya plastic eti nazo ni imports toka Kenya.

Wakenya sio watu.
 
Huwenda ata hajaangaliwa wa ukenya wake huwenda kaambia kama mwafrika yoyote uwezo na qualification alizokuwa nazo hata watz wapo wenye uwezo huo wa kufanya na sera za ajira zinasema first priority ni mtanzania kwanza. Kwahyo vida wakaona ili kumuajiri mkubwa wa nje inabidi watafute mtu mweny uwezo mkubwa zaidi ambae hapa tz hapatikani. Ila wakenya nyinyi kama watoto wa kambo mnalalamika sana
Ninachojiuliza ni hiki:
Kama Vodacom walimchagua mkenya na serikali ikakataa kutoa kibali kwa madai kwamba hata watanzania wapo wanaoweza kushika nafasi hiyo, iweje Vodacom wakamtafuta mtu mwingine kutoka nje tena (Misri) badala ya kumtafuta hapo hapo kwetu Tanzania na bado serikali ikampa kibali? Ina maana hiyo sababu iliyotolewa na serikali ya kumnyima kibali mkenya ilikuwa ni geresha tu kwa umma.
 
Bila sababu kivipi wakati, imeelezwa uwezo na vigezo alichonacho huyo mkenya wapo watz wenye uwezo kama huo kwahyo sera ya ajira na kipaumbele lazma izingatiwe
Mmisri ana sifa ambazo watanzania hawana?
 
Una compare education level ya Tanzania na Kenya?
Infrastructure ya Tanzania na Kenya?
To mention just a few.
Babadua mwenyewe from now on.
Uki reply hii post sitakujibu coz unaonekana you are one of those sifia sufia zuri baya twende kazi. Piga makofi ya yes kinda dude.
Kwa kumalizia hata confidence level ya individual Kenyan ni hali ya juu compared to us. Nimeshawah kuishi ughaibuni sehem kadhaa wakenya they are all over the place with top positions.
Unafiki tuache. Wabongo tumekua watu wa kujifungia fungia. Tukitoka sana kwenda ku work tumejazana Oman.
Elimu gani waliyonayo kila siku wakijenga madaraja na majeno yanabomoka?
 
Pia masilahi nayo yanachangia, na kulinda ajira Hilo ni kweli, Hapo Kenya nikaribu na tunachukuliana Kama ndugu hivyo akiajiliwa mkenya nirahisi kupenyeza wenzake kwenye nafasi zingine na malipo ya permit na vibali vya kazi mara nyingi wanalipa mwanzo baada ya hapo ujanja na undugu wa ukaribu ndo unaendelea kwenye kazi sikatai kwamba hawana mchezo na uzembe, haya ukiajili Mmisiri au Mzungu kwao ni mbali atalipa vibali vyote bila shida na muda wote atahakikisha malipo yamelipwa maana kwao ni mbali ni kuleta wengine wengi pia inakuwa ngumu kwasababu ya malipo ya vibali na pesa ya likizo ya Kila mwaka ya kwenda kwao nikubwa.
 
Sijawahi kusikia Mkenya amemtetea Mtz

Ila hapa sasa kujifanya kujua kwingi

Ndo maana wanatuita mapopoma
 
Ishu ni kwamba wananyimwa wa Kenya kwa kusema hata watanzania wapo wenye sifa matokeo yke hawapewi watanzania wanapewa watu wamataifa mengine tena ya mbali.
Sasa unatupangia?

Tunaweza kusema tu hatutaki kuwapa wakenya
 
Back
Top Bottom