Kitendo cha kuwakatalia Wakurugenzi wa Kenya na kuruhusu wengine ni ubaguzi

Kitendo cha kuwakatalia Wakurugenzi wa Kenya na kuruhusu wengine ni ubaguzi

Looh kumbee eee?!!

Hayaa ndugu yangu Wairimu Mathenge...
Wewe Kiranja Wesika.....
Nawe Kariuki Lemono....

Njoo hapa nawe Kipkoetch John....

Njooni mujibu HOJA HII[emoji1787]
Wajuaji mno. Kublock ovyo account ya xa wateja. Mwisho mambo yameharibika. Kelele na kingereza kingi ila sifuri. Sisi waswahili tunajuana biashara zetu. Unaelekezwa unajifanya me nafanya hivi matokeo yake lawama. Watu salary zinacheleweshwa kama nn
 
Think deep bro,usikurupuke,there is more than what meets the eyes,
Ebu fikiria,mchina apate nafasi ya Ukurugenzi katika Microsoft,google,general motors,MacDonald's,makampuni makubwa ya USA!
Hajiulizi kwanini wachina waliambiwa wawauzie TikTok wamarekani?
 
Mtoa mada nakushukuru sana kwa kuwa macho kwa jambo hiii
Though yapo mambo nataka kukuambia au kuelewesha mkuuu
vodacom wana watu wengi tuu wanaofanyaa kazi kabla ya utawala wa Magufuli ambayo walipewa vibali vya kufanya kazi mda mrefuuu.

Mkurugenzi aliyependekezwa na Vodafone awe CEO humu kwetu ni mpya hakuwai fanya kazi nchi mwetuu kabla ya uteuzi wake naa baada ya kuteuliwa tayari uongozi wa Serikalii imeanza kusimamia sera za kufanya kazi kwa ambayo hapo mwanzo zilikuwa hazisimamiwi ipasavyo kwa kutoa kipaumbelee kwa wazawaaa hivyo Silvia akawa hana sifa kulingana na sera mpya/Muongozo mpyaaa.

@Kuhusu Ndugu Hashimi Hendi aliyekuwa anakaimuu nafasi hiyo Mmisiri hyoo
Tayari alishakuwa na kibali cha kufanya kazi kabla ya sera kusimamiwa ipasavyo za kufanya kazi humu nchiniii.
Hivyo ikawa rahisi kwa Vodacom kumteuwa yeye .
Kataeuliwaje vigezo vyao sivijuiii

Uandishi wangu sio nzuri sanaa ila ujumbe umekufikiaa mkuuu

LA MWISHO TAFUTA SERA YA VIBALI VYA KUFANYA KAZI ZA KABLA YA SERIKALI YA awamu ya Tano
Serikali ya Awamu ya tano haijabatilisha chochote la Hasha imesimamia sharia ambazo zilikuwa hazijasimamiwa ipasavyooo
Naa
 
hujaelewa, kampuni ya VODACOM ndio ilimchagua mkenya awe mkurugenzi wa VODACOM TANZANIA , Serikali ya tanzania ikamnyima kibali, kampuni ya vodacom ikamchagua tena mmisri awe mkurugenzi wa vodacom tanzania, serikali ikampa kibali, hiyo ndio hoja ya mleta mada
Ninachojiuliza ni hiki:
Kama Vodacom walimchagua mkenya na serikali ikakataa kutoa kibali kwa madai kwamba hata watanzania wapo wanaoweza kushika nafasi hiyo, iweje Vodacom wakamtafuta mtu mwingine kutoka nje tena (Misri) badala ya kumtafuta hapo hapo kwetu Tanzania na bado serikali ikampa kibali? Ina maana hiyo sababu iliyotolewa na serikali ya kumnyima kibali mkenya ilikuwa ni geresha tu kwa umma.
 
Mleta uzi idara ya uhamiaji haiusiki na kazi.inachofanya uhamiaji ni kutoa resident permit baada ya mhusika kupata work permit.kwa kuongezea hapa ni kwa ajili ya usalama tu wa nchi yetu.wakenya na wahindi ndo jamii zinazoongoza nchini mwetu kuishi kiujanja ujanja.mkenya na mhndi anaweza akakaa hata miaka kumi akifanya kaz akijifanya mtz,kwa inshu inawezekana huyo jamaa angeigeuza coca cola kwanza kwa kujaza wakenya wenzake wengi tu
 
Una maana gani? Una maana wakenya ni bora kuliko wamisri? Una maana ni lazima wakenya wawe considered kwanza kabla ya watu wa mataifa mengine? Una maana hatuna uhuru wa kumpa mtu mwingine kabla ya wakenya? Huu ni ujinga wa aina fulani. Tanzania is a sovereign state.
Sio wakenya wala wamisri ambao ni Bora kuliko wengine ila kwa hii mada hapa juu
Wenye mamlaka ni kama wameona wamisri Ni bora kuliko wengine kwa kuwa wakenya wamenyimwa nafasi bila sababu za msingi
 
Rais ameharibu nchi kwa ubaguzi mbaya zaidi anatubagua mpaka sisi watanzania wenzake.
 
Nilibahatika kufanya kazi sehemu flani ikiongozwa na Mkenya,hakuna rangi Watanzania hawajaona. (Mwendo wa kufire and hire)
Jambo la kwanza anaangalia fursa ya kujaza Wakenya (Wa kabila lake) kwenye vacancy zote zitakazo jitokeza za kazi,kihalali na kimagumashi.
Nisiseme sana.Ila naunga mkono Uhamiaji.
Nashukuru uneliona hili mkuu. Kwetu kichefuchefu. Yaan kampun ninkama imekufa
 
I hate kenyans kwakwel for no reason, niliwahi kufanya kazi na kampuni moja na mkenya mkikuyu huyo alikuwa boss wng yule mzee hashauriki yey ndio anajiona anaakili kupita wote dharau, ubaguzi si unajua tena wabongo walivyo tukishakujua hutupi tabu, tukawa tunamwangalia tuu akikosea tunakula buyu aliingiza kampuni kweny hasara haijawahi kutokea mpaka alifukuzwa akaletwa mganda mbona mambo yalienda sawa tena alikuwa friendly kinoma.

Mpaka anaondoka muda wake umeisha wafanya kaz tulikuwa roho zinatuuma
Kwetu wako watatu walishafukuzwa[emoji1787]
Yaan ni wajuaji balaa. Balaa balaa. Me nimetooka huko. Hakuna rangi wanaacha ona. Wapuuzi sana. Wakielekezwa hawasikii. Kila siku na saa ni meeting. Watu hawaendi field wale product managers. Vikao vya kijinga tu. Halaf wanabana masilahi wao wanajijazia
 
Ninachojiuliza ni hiki:
Kama Vodacom walimchagua mkenya na serikali ikakataa kutoa kibali kwa madai kwamba hata watanzania wapo wanaoweza kushika nafasi hiyo, iweje Vodacom wakamtafuta mtu mwingine kutoka nje tena (Misri) badala ya kumtafuta hapo hapo kwetu Tanzania na bado serikali ikampa kibali? Ina maana hiyo sababu iliyotolewa na serikali ya kumnyima kibali mkenya ilikuwa ni geresha tu kwa umma.
Mkuu huyo Mmisri tayari alishakuwepo pale Voda na alikuwa anakaimu hiyo nafasi. Ni rahisi sana kwa anayekaimu nafasi kupewa kuliko aje mtu mpya, isitoshe huyo Mmisri tayari alishakuwa na vibali
 
Ninachojiuliza ni hiki:
Kama Vodacom walimchagua mkenya na serikali ikakataa kutoa kibali kwa madai kwamba hata watanzania wapo wanaoweza kushika nafasi hiyo, iweje Vodacom wakamtafuta mtu mwingine kutoka nje tena (Misri) badala ya kumtafuta hapo hapo kwetu Tanzania na bado serikali ikampa kibali? Ina maana hiyo sababu iliyotolewa na serikali ya kumnyima kibali mkenya ilikuwa ni geresha tu kwa umma.
We nawe uwe unaelewa kwa haraka, ushaambiwa wakenya matapeli, wezi, wahujumu uchumi wanafki na taifa ambalo kila siku lina kazi ya kuichafulia TZ huko nje kwa manufaa yao binafsi. Kiufupi wanaroho mbayaaaa, wabaguzi hata wenyewe kwa wenyewe seuze kwetu sisi wabongo? Hawa ndo kila kitu kizuri cha TZ wanajitangazia ni cha kwao huko duniani, yaani wanyimwe milele.

Mbona sisi hatupewi nafasi kwao ila wao wakinyimwa ndo uje kufungulia uzi humu, mxiuuu. Ina maana wabongo hatuna vigezo vya kufanya kazi kenya ila wao ndo wanavigezo vya kufanya kwetu? wao si wanasema kwao ndo kunamakampuni mengi? wakafanye kazi kwao hatutaki shobo, eti sisi wazembe wao ndo wachapa kazi; watuache na uzembe wetu hatujawahi kuwaomba msaada hata siku moja.

kwakweli hata mburundi apewe tu ila sio mkenya, wakija huku mission zao ni kuharibu makampuni yetu ili wao waendelee kutuuzia bidhaa zao, tumeshtuka hatutaki tena kupandwa kichwani. Wakaongee kingereza chao cha kijaruo na kikuyu kwao huko huku hatuwataki matapeli sisi. Maguli timua hata amabao wapo huku, vibali vyao vikiisha usiwaongezee tena, haiwezekani waje kutuonesha dharau nchini kwetu, mbona watu wa mataifa mengine hawajawahi kulalamikiwa? Coz wako humble ila hao mungiki wao ndo kutwa kujiona bora, wapite vile.
 
Back
Top Bottom