Kitendo cha kuwakatalia Wakurugenzi wa Kenya na kuruhusu wengine ni ubaguzi

Kitendo cha kuwakatalia Wakurugenzi wa Kenya na kuruhusu wengine ni ubaguzi

Una maana gani? Una maana wakenya ni bora kuliko wamisri? Una maana ni lazima wakenya wawe considered kwanza kabla ya watu wa mataifa mengine? Una maana hatuna uhuru wa kumpa mtu mwingine kabla ya wakenya? Huu ni ujinga wa aina fulani. Tanzania is a sovereign state.
Mkuu utakuta huyu aliyeleta hii habari ni Mkenya,na Wakenya ni wabinafsi sana , sijui analia nini wakati tuna Wakenya kibao hapa Tanzania na wengine wana vikampuni vyao vya mikobani,analia sababu anajua kwa ubinfsi wao vile vitenda vyote vingekuwa vyao, Ni afadhari mara mia huyo Mmisiri kuliko Wakenya,
 
Tanzania tumekuwa na tabia ya kuwakatalia Wakenya kwenye nafasi za juu vibali vya kazi huku tukiwapa wale wengine ambao sio Wakenya bila sababu ya Msingi.

Nimesikia Mkurugenzi wa Cocacola Kwanza kakataliwa kibali wakidai kuna Watanzania wenye uwezo lakini vilevile Mkurugenzi wa Voda naye wa Kenya alikataliwa kwa sababu hizohizo.

Cha ajabu mfano Voda hiyo nafasi hajapewa Mtanzania badala yake idara hiyo hiyo ya uhamiaji imempa kibali Hisham Hendi ambaye katokea Misri.

Sasa Tanzania ina vigezo gani vya kutoa vibali? Hii inashangaza sana. Lakini ukienda kwenye viwanda vingi kuna wahindi wengi tu wana vibali ambavyo wenzetu wa EAC hatuwezi kuwapa.

Hii inaonyesha sio sera bali ni chuki binafsi kama tunanyima tunyime wote lakini isifikie mahali kujidharau wenyewe maana kumuona mtu kutoka Misri ni bora kuliko Mkenya ni sawa na sisi kujibagua wenyewe.

Hii haiko sawa maana haitasaidia Watanzania kujiamini wala kusaidia kampuni za nje kuamini watu weusi kama wenyewe tunajibagua bila sababu za msingi.
Hujuitabia za wakenya hivyo acha watu wafanye kazi zao na wewe fanya kazi yako
 
Unamaana gani? Una maana wakenya ni bora kuliko wamisri? Una maana ni lazima wakenya wawe considered kwanza kabla ya watu wa mataifa mengine? Una maana hatuna uhuru wa kumpa mtu mwingine kabla ya wakenya? Huu ni ujinga wa aina fulani. Tanzania is a sovereign state.
Mbona ame-build case yake vizuri tu?? Hii Tanzania is a sovereign state imeingiaje kwenye hii hoja??
 
Tanzania tumekuwa na tabia ya kuwakatalia Wakenya kwenye nafasi za juu vibali vya kazi huku tukiwapa wale wengine ambao sio Wakenya bila sababu ya Msingi.

Nimesikia Mkurugenzi wa Cocacola Kwanza kakataliwa kibali wakidai kuna Watanzania wenye uwezo lakini vilevile Mkurugenzi wa Voda naye wa Kenya alikataliwa kwa sababu hizohizo.

Cha ajabu mfano Voda hiyo nafasi hajapewa Mtanzania badala yake idara hiyo hiyo ya uhamiaji imempa kibali Hisham Hendi ambaye katokea Misri.

Sasa Tanzania ina vigezo gani vya kutoa vibali? Hii inashangaza sana. Lakini ukienda kwenye viwanda vingi kuna wahindi wengi tu wana vibali ambavyo wenzetu wa EAC hatuwezi kuwapa.

Hii inaonyesha sio sera bali ni chuki binafsi kama tunanyima tunyime wote lakini isifikie mahali kujidharau wenyewe maana kumuona mtu kutoka Misri ni bora kuliko Mkenya ni sawa na sisi kujibagua wenyewe.

Hii haiko sawa maana haitasaidia Watanzania kujiamini wala kusaidia kampuni za nje kuamini watu weusi kama wenyewe tunajibagua bila sababu za msingi.
Wahindi, wachina na waarabu wamejazana hapa huku ndugu zetu tukiwakatalia
 
hujaelewa, kampuni ya VODACOM ndio ilimchagua mkenya awe mkurugenzi wa VODACOM TANZANIA , Serikali ya tanzania ikamnyima kibali, kampuni ya vodacom ikamchagua tena mmisri awe mkurugenzi wa vodacom tanzania, serikali ikampa kibali, hiyo ndio hoja ya mleta mada
Mkuu ni visasi vya kuachwa nyuma kimaendeleo
 
Tanzania tumekuwa na tabia ya kuwakatalia Wakenya kwenye nafasi za juu vibali vya kazi huku tukiwapa wale wengine ambao sio Wakenya bila sababu ya Msingi.

Nimesikia Mkurugenzi wa Cocacola Kwanza kakataliwa kibali wakidai kuna Watanzania wenye uwezo lakini vilevile Mkurugenzi wa Voda naye wa Kenya alikataliwa kwa sababu hizohizo.

Cha ajabu mfano Voda hiyo nafasi hajapewa Mtanzania badala yake idara hiyo hiyo ya uhamiaji imempa kibali Hisham Hendi ambaye katokea Misri.

Sasa Tanzania ina vigezo gani vya kutoa vibali? Hii inashangaza sana. Lakini ukienda kwenye viwanda vingi kuna wahindi wengi tu wana vibali ambavyo wenzetu wa EAC hatuwezi kuwapa.

Hii inaonyesha sio sera bali ni chuki binafsi kama tunanyima tunyime wote lakini isifikie mahali kujidharau wenyewe maana kumuona mtu kutoka Misri ni bora kuliko Mkenya ni sawa na sisi kujibagua wenyewe.

Hii haiko sawa maana haitasaidia Watanzania kujiamini wala kusaidia kampuni za nje kuamini watu weusi kama wenyewe tunajibagua bila sababu za msingi.
Hatuhitaji majasusi na wahujumu wa uchumi wa nchi yetu. Bado somo la pression air na meneja wake mkenya tunalo kichwani. Wenye kufikiri na kuona kwa undani tulielewa jinsi pression air na meneja wake walihusika kuhujumu air tanzania.
 
Kama hao Wakenya wana uwezo mkubwa sana katika utendaji waende wakaajiriwe Uganda, Rwanda n.k

Afrika mashariki ni kubwa sana, mbonaTanzania huwahailalamiki kicha ya wabongo kunyimwa fursa huko Kenya.
Mbona huko Rwanda na Uganda pia wapo .... Elimu ya Kenya iko juu kulinganisha na nchi zote za Africa Mashariki!!
 
I
Ishu ni kwamba wananyimwa wa Kenya kwa kusema hata watanzania wapo wenye sifa matokeo yke hawapewi watanzania wanapewa watu wamataifa mengine tena ya mbali.
Inaelekea kuna bifu kubwa sana kati ya hizi mamlaka mbili ambapo sisi raia hatuzijui. Hapa Tz kuna makampuni mengi sana wakurugenzi na watendaji ni wageni na tena wanabadilishana wao kwa wao for years. Kwanini shida inakuka kwa wakenya tu. Labda usalama wa taifa wana taarifa mbaya na hao watu.
 
Mtachoka ninyi wakenya mnaodhani kuwa tanzania ni shamba la bibi. Sisi wenye nchi hatutachoka kuwaambia mpaka mtakapoelewa.
Kwa hiyo shamba lako kuliwa na Wa-Misri na Wahindi sawa, lakini sio Wakenya?

NI watu walio na raisi wa aina fulani ndio wanakuwa na mawazo kama haya
 
Unamaana gani? Una maana wakenya ni bora kuliko wamisri? Una maana ni lazima wakenya wawe considered kwanza kabla ya watu wa mataifa mengine? Una maana hatuna uhuru wa kumpa mtu mwingine kabla ya wakenya? Huu ni ujinga wa aina fulani. Tanzania is a sovereign state.
Huyo anajibainisha ni raia mTanzania mhamiaji toka Kenya. Inaonyesha uKenya haukumtoka, bado anapenda sana nchi yake ya asili.
 
Mleta mada angeweka sifa za hao waliokataliwa na hao ambao wamekubaliwa. Haitoshi tu kusema waKenya wamekataliwa hata bila kuonyesha 'qualifications' walizokuwa nazo kulinganisha na za hao waliokubaliwa.
 
Issue kubwa siyo wakenya tu hata hao wengine wawekwe pembeni, utaratibu uwekwe wa kupeleka mtaalamu wa kiwanda chako kwenda huko Kenya kujifunza au aje mtaalamu kufundisha jinsi ya kuiongoza hiyo nafasi then alipwe arudi kwao ili kuinua watu wetu wa ndani na kweli hawana skills na ujanja nje ya elimu ya darasani wakikabiziwa kampuni wanaiporomosha chini, wenzetu wapo juu hilo tusikatae imagine tu wanamakanisa mengi lakini huwezi kukuta wanafanya mikutano na kwenda kanisani katikati ya wiki na Kama ni msikiti wanatenga ofisi moja ya kuswalia yaani hakuna kupoteza muda weekdays ni kazi na kuheshimu kazi, ikija kwenye skills wapo mbele hivyo kampuni vipeleke huko watu wao kwa mafunzo ili kuondoa hizi kesi za kuajili watu wa nje.
 
In fact, mtoa mada atakuwa Mkenya. Tanzania ni nchi huru wacha ifanye maamuzi inavyopenda. Wakenya hawana quality hiyo tunayoifikiria kuwa wanayo. Sana sana wanaongea Kiingereza na kuchimba mikwara tu sehemu za kazi. Hamna lolote hawa. Mfano nzuri tazama taasisi za kibenki za Kenya zilizopo hapa zinazoendeshwa na Wakenya ukiondoa DTB inayoendeshwa na Mkenya Mhindi. NCBA, Equity zote ziko hoi sana. KCB imekaa miaka 11 bila kubreak even. Let Kenyans remain at their homes. Tunao baadhi ya Wakenya katika bodi mbalimbali kazi yao ni kuchonga madili na kurekebisha is na was tu kwenye documents zilizoshiba issues.
 
Unamaana gani? Una maana wakenya ni bora kuliko wamisri? Una maana ni lazima wakenya wawe considered kwanza kabla ya watu wa mataifa mengine? Una maana hatuna uhuru wa kumpa mtu mwingine kabla ya wakenya? Huu ni ujinga wa aina fulani. Tanzania is a sovereign state.
Soma alichoandika vizuri uelewe
 
Kwani kuomba kibali ni lazima upewe?

Au ombi kwenu Wakenya ni amri?

Kwa hiyo kama muomba kibali ni hatari kwa usalama na ustawi wa nchi apewe tu kwa kuwa ni Mkenya?

Acheni ujinga zenyu Wakikuyu
 
hujaelewa, kampuni ya VODACOM ndio ilimchagua mkenya awe mkurugenzi wa VODACOM TANZANIA , Serikali ya tanzania ikamnyima kibali, kampuni ya vodacom ikamchagua tena mmisri awe mkurugenzi wa vodacom tanzania, serikali ikampa kibali, hiyo ndio hoja ya mleta mada
Uzuri wa security screening sio lazima wanaokunyima kibali wakupe sababu za kwa nini wanakunyima.

So kuna baki na speculation kama hizi za mtoa mada "labda ubaguzi" "upendeleo" "chuki" nk. Ambazo kimsingi hazina nguvu kisheria kwa alienyimwa kibali kulalamika kisheria.

Kwenye screening kuna vitu vingi sana ambavyo huangaliwa kimsingi kutokana na chunguzi fulani mnaweza kuamua watu kutoka taifa fulani hamtaruhusu wapate vibali vya nyadhifa fulani katika kulinda mnachoamini hakitakuwa salama ikiwa mtu huyo atapewa access fulani.
 
Back
Top Bottom