Uchaguzi 2020 Kitendo cha kuzima mitandao ya kijamii kitawagharimu kura nyingi sana CCM

Hakuna jinsi upepo mmbaya team polepole na Bashir na staili yao ya afisa manunuzi kununua wapinzani tukahisi tumemaliza kumbe watz walikuwa wanatuchora tu, wametupotosha tunahaha sasa. Mtuvumilie hakuna namna maji pomoni kwetu
 
Nyuzi zenu hatuzioni tena tangu ile mitandao ifungwe,mmebaki kuanzisha nyuzi za malalamiko tu.
[emoji117]Ukubali au ukatae, Jf inaathirika pia kutokana na swala la mitandao mingine kuwa under control.
I dont jf ikiathirika kutokana na mitandao mingine. Mm naona kama ni profit.. maana watu wana shift tu jf.
Means watu wanaongezeka.. na wanapata mapato zaidi.

+ usinijumuishe kwenye makundi yako ya siasa.
Sina mahusiano na wana siasa au siasa zenyewe.

Siwskilishi kundi ama chama chochote hapa. Nasimama mm kama mm.
 
Of course zinajengwa na zitaendelea kujengwa kwa kodi zetu, lakini uongozi imara ndio unahak8kisha hizo kodi zetu zibafanya kazi zilizokusudiwa! Mkimpa huyo mtetezi wa acasia ilitokufa na hivyo kukosa ugali ataanza kutumbua na na mashoga zake! Of course Kama na wenye ni shiga utapata chako!
 
Hoja yangu ya kwamba Jf imepoa Ina ushahidi wa moja kwa moja,Ila hoja yako ya kusema kwamba jF imeongeza mapato ni ngumu sana kulithibitisha.
 
Hakuna jinsi upepo mmbaya team polepole na Bashir na staili yao ya afisa manunuzi kununua wapinzani tukahisi tumemaliza kumbe watz walikuwa wanatuchora tu, wametupotosha tunahaha sasa. Mtuvumilie hakuna namna maji pomoni kwetu
Jitie moyo tu Ila zoea tu maumivu, Kama shida ni Cheri mbona vyuo bado vinatoa, nenda shule bana acha hasira za mkizi utaumia!
Magu ndio mpango mzima!
 
bt kwa watu wa android kwa iphone inazngua
 
Kuna haki zingine zinaminya A wengine! Mfano haki ya mashoga, hivi unaielewa lakini! Hii unatia ruhusa kwa kanyaga maadili yote ya kwetu! 7nakuta midume inatembea njiani inashikana makalio, Ina kisiana aaaaarrrrh...disgust! Cha msingi ni amani tu na maendeleo chini 6a jemedari JPM! Kitunda na mashoga zake wakabashiene hukohuko ubelgiji!
 
Wanategemea bao la mkono
 
Kwa bahati mbaya kushinda uchaguzi ndio jambo la muhimu kwa CCM kuliko maisha yenyewe. Wapo tayari kufanya lolote kwa namna yoyote lakini sio serikali iwaponyoke mikononi kisa "vijikaratasi vya kura"!!! They shoot first and apologise after
Hio sentensi ya mwisho pigia msitari kabisa
 
Hii kitu inaboa bhan
POle, vumilia tu, haitakaa muda mrefu hii! Cheki news kwenye tv! Kumbuka kupigia kura barabara, umeme, maji, kituo Cha afya na elimu hapo mtaani kwako ni Kijiji I kwako, chagua JPM!
 
Hio sentensi ya mwisho pigia msitari kabisa
Kwa CCM ya Sasa wanastahili kuendelea muongozaHao wengine ni wezi tu wala hawachui Cha kufanya na serikali!
 
P

POle, vumilia tu, haitakaa muda mrefu hii! Cheki news kwenye tv! Kumbuka kupigia kura barabara, umeme, maji, kituo Cha afya na elimu hapo mtaani kwako ni Kijiji I kwako, chagua JPM!

Huyu jamaa sidhani kama atakuwa na nianzuri na tz yaani hadi Internet kaifungia vipi kuhusu uhai wako mkuu si muda wowote akijisikia ataufungia pia
 
Kajenga kwa hela yake ya mfukoni?
Kasimamie hela yetu isitafunwe Kama ilivyozoeleka! Mchas kaudhibiti! Wengine Hawa hawana uti wa mgongo! Shine ndugu, hayo mapepo yawaachie kwa jina la Yesu, mkachaue maendeleo, amani, na 7zalendo! Chagua JPM!
 
tulishajiandaa kuwanyima na sasa wametuongezea sababu za kuwa nyima zaidi, Lisu atosha
Usiwasemee wengine, wenzio so mashoga, na kamwe hawawezi kumpigia shiga! Wao wanamjya aliyewaletea umeme mpaka vijijini! Na lami mpaka mtaani! JPM ndio mpango mzima!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…