Uchaguzi 2020 Kitendo cha kuzima mitandao ya kijamii kitawagharimu kura nyingi sana CCM

Uchaguzi 2020 Kitendo cha kuzima mitandao ya kijamii kitawagharimu kura nyingi sana CCM

Hakuna jinsi upepo mmbaya team polepole na Bashir na staili yao ya afisa manunuzi kununua wapinzani tukahisi tumemaliza kumbe watz walikuwa wanatuchora tu, wametupotosha tunahaha sasa. Mtuvumilie hakuna namna maji pomoni kwetu
 
Nyuzi zenu hatuzioni tena tangu ile mitandao ifungwe,mmebaki kuanzisha nyuzi za malalamiko tu.
[emoji117]Ukubali au ukatae, Jf inaathirika pia kutokana na swala la mitandao mingine kuwa under control.
I dont jf ikiathirika kutokana na mitandao mingine. Mm naona kama ni profit.. maana watu wana shift tu jf.
Means watu wanaongezeka.. na wanapata mapato zaidi.

+ usinijumuishe kwenye makundi yako ya siasa.
Sina mahusiano na wana siasa au siasa zenyewe.

Siwskilishi kundi ama chama chochote hapa. Nasimama mm kama mm.
 
Barabara zinajengwa kwa kodi nnayolipa mwenyew wala sio hisani ni wajibu wao

Tunataka taifa hili liongozwe na akili mpya maana akili ya CCM haina akili tena. Bila aibu unaongoza taifa zaidi ya miaka sitini bado unajisifia kujenga barabara tu, tuwape miaka mingapi zaidi mtakua mmemaliza barabara?
Of course zinajengwa na zitaendelea kujengwa kwa kodi zetu, lakini uongozi imara ndio unahak8kisha hizo kodi zetu zibafanya kazi zilizokusudiwa! Mkimpa huyo mtetezi wa acasia ilitokufa na hivyo kukosa ugali ataanza kutumbua na na mashoga zake! Of course Kama na wenye ni shiga utapata chako!
 
I dont jf ikiathirika kutokana na mitandao mingine. Mm naona kama ni profit.. maana watu wana shift tu jf.
Means watu wanaongezeka.. na wanapata mapato zaidi.

+ usinijumuishe kwenye makundi yako ya siasa.
Sina mahusiano na wana siasa au siasa zenyewe.

Siwskilishi kundi ama chama chochote hapa. Nasimama mm kama mm.
Hoja yangu ya kwamba Jf imepoa Ina ushahidi wa moja kwa moja,Ila hoja yako ya kusema kwamba jF imeongeza mapato ni ngumu sana kulithibitisha.
 
Hakuna jinsi upepo mmbaya team polepole na Bashir na staili yao ya afisa manunuzi kununua wapinzani tukahisi tumemaliza kumbe watz walikuwa wanatuchora tu, wametupotosha tunahaha sasa. Mtuvumilie hakuna namna maji pomoni kwetu
Jitie moyo tu Ila zoea tu maumivu, Kama shida ni Cheri mbona vyuo bado vinatoa, nenda shule bana acha hasira za mkizi utaumia!
Magu ndio mpango mzima!
 
Njia ni kama ifuatavyo

Kitu cha kwanza jaribu kuingia Google kupitia Opera au Chrome au uc mini au nyinginezo yaani jaribu kuingia Google kupitia hizo njia, ikifunguka tu yaani hakikisha Google search inafunguka Google ikifunguka kati ya hizo fuata hatua ya 2

Hatua hiyo ni kudownload VPN kwa Google unadownload kupitia google kwa sababu playstore au appstore pashafeli download huko kwenye google kisha ukishadownload install

Pia usisahau kuallow installation from unknown sources

Kila la kheri!
bt kwa watu wa android kwa iphone inazngua
 
Kwa Tanzania watu ni watulivu na wanapenda maelewano popote ukienda.
Mambo ya uvunjivu wa amani huvhochewa na wanasisa. Tatizo huanzi pale haki inapominywa. Tuombe tu kila mwenye kutaka amani azingatie haki.
Hakika haki ikiwepo hapana hofu na amani itatamalaki

Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
Kuna haki zingine zinaminya A wengine! Mfano haki ya mashoga, hivi unaielewa lakini! Hii unatia ruhusa kwa kanyaga maadili yote ya kwetu! 7nakuta midume inatembea njiani inashikana makalio, Ina kisiana aaaaarrrrh...disgust! Cha msingi ni amani tu na maendeleo chini 6a jemedari JPM! Kitunda na mashoga zake wakabashiene hukohuko ubelgiji!
 
Tarehe 28 ni kesho, nenda kapige spana.

Kama kuna jambo la hovyo CCM na watu wao wameshauriana ni hili la kufungia mitandao ya kijamii, play store, (na app store).

Hivi kwa akili za kawaida unawezaje kufungia play store? Kwamba hata apps ambazo hazihusiani na twitter nazo tusi download?

Nawaasa watanzania watumiaji wa mitandao ya kijamii na play store kesho tuna jambo letu. Siku imekuwa yenye msongo sana na hatujui wataifungulia lini hawa wakoloni weusi. Kesho tukawakatae kwenye sanduku la kura.

Tunahitaji uhuru wa kujieleza, kupata na kupasha habari.

Huu utumwa hapana kwenye nchi yetu.
Wanategemea bao la mkono
 
Kwa bahati mbaya kushinda uchaguzi ndio jambo la muhimu kwa CCM kuliko maisha yenyewe. Wapo tayari kufanya lolote kwa namna yoyote lakini sio serikali iwaponyoke mikononi kisa "vijikaratasi vya kura"!!! They shoot first and apologise after
Hio sentensi ya mwisho pigia msitari kabisa
 
Hii kitu inaboa bhan
POle, vumilia tu, haitakaa muda mrefu hii! Cheki news kwenye tv! Kumbuka kupigia kura barabara, umeme, maji, kituo Cha afya na elimu hapo mtaani kwako ni Kijiji I kwako, chagua JPM!
 
Hio sentensi ya mwisho pigia msitari kabisa
Kwa CCM ya Sasa wanastahili kuendelea muongozaHao wengine ni wezi tu wala hawachui Cha kufanya na serikali!
 
P

POle, vumilia tu, haitakaa muda mrefu hii! Cheki news kwenye tv! Kumbuka kupigia kura barabara, umeme, maji, kituo Cha afya na elimu hapo mtaani kwako ni Kijiji I kwako, chagua JPM!

Huyu jamaa sidhani kama atakuwa na nianzuri na tz yaani hadi Internet kaifungia vipi kuhusu uhai wako mkuu si muda wowote akijisikia ataufungia pia
 
Kajenga kwa hela yake ya mfukoni?
Kasimamie hela yetu isitafunwe Kama ilivyozoeleka! Mchas kaudhibiti! Wengine Hawa hawana uti wa mgongo! Shine ndugu, hayo mapepo yawaachie kwa jina la Yesu, mkachaue maendeleo, amani, na 7zalendo! Chagua JPM!
 
tulishajiandaa kuwanyima na sasa wametuongezea sababu za kuwa nyima zaidi, Lisu atosha
Usiwasemee wengine, wenzio so mashoga, na kamwe hawawezi kumpigia shiga! Wao wanamjya aliyewaletea umeme mpaka vijijini! Na lami mpaka mtaani! JPM ndio mpango mzima!
 
Back
Top Bottom