Kitendo cha Lema na Familia yake kupewa Asylum Canada kinaashiria Taifa limeanza kutengeneza wakimbizi wa kisiasa, jambo ambalo halina afya

Na Ben saa nane amekimbia nini?
Amekimbia madeni yake yaliyosomwa bungeni ya milioni zaidi ya 400?

Lema unazidi kuwachafua zaidi wachaga, dawa ya deni ni kulipa siyo kukimbia na kujifanya mkimbizi feki, sasa umekimbilia kwa wazungu watakupa kazi ya kuosha vibibi na vibabu.
 
Mkuu,

This quoted clause is derogatory to persevere "...Kawaambie mafala wa huko vijijini......."

Are you serious as a Chadema addict to insult the people living in the villages that are 'fools' to be able to discern what is written in the mining contrcats entered between teh state and elaborative investors.

Thuis is too pathetic and you are still desirously struggling to convince them support your bourgeoise activism?

If you are fed up with Tanzania you are not in sanctions therefore you better pack off and migrate to your favorable destination as soon as practicable at which you can continue spitting the hatred for futility.
 
Very sad. Tanzania hakika hapana. Siyo afya kabisa.
 

Ww ni mfaidika wa huu uovu uliopo. Lisu ameshambuliwa kwenye viwanja vya bunge hakuna yoyote aliyekamatwa, unaposema kuna usalama wa kutosha labda kwako. Ili uwe kwenye usalama hapa nchini unapaswa kuwa kondoo ama kujipendekeza kwa watawala, sio zaidi ya hapo. Kilichofanyika kwenye uchaguzi wetu tumekiona kwa macho,na watu walipotaka kuonyesha hisia zao walitishiwa kuuwawa na vyombo vya dola! Tuko kimya sio kwakuwa tunaridhika, bali tunahofia kuuwawa kwa kupinga kutawaliwa kwa shuruti.
 
I wish all those who disappeared mysterious to have thought of this move before their vanish. I am crying for my Tanzania. Think twice. This is not our culture
 
Hali mbayaa ipo.ni vile tu watu wanaugulia maumivu ndani kwa ndani.
 
Nyie chadema mnatuita sie wa vijijini mafala? [emoji848]
 
Tatizo kubwa la nchi hii ni Magufuli. Hapendi kukosolewa ila kuabudiwa tu.wanaompinga huishia kwenye viroba na kuokotwa fukweni. Vinginevyo ni kesi zisizo na dhamana, dunia u inaona na inayajua yote hayo
 
Kambona alikaa ukimbizini miaka chungu nzima na tuliishi bila tabu, itakua Lema. Akafie mbele huko.
 
Sihitaji kusikia kuhusu Lissu.Tuko kwenye vita ya uchumi.
 
Tatizo kubwa la nchi hii ni Magufuli. Hapendi kukosolewa ila kuabudiwa tu.wanaompinga huishia kwenye viroba na kuokotwa fukweni. Vinginevyo ni kesi zisizo na dhamana, dunia unaona na inayajua yote hayo
Maneno ya kijinga kabisa haya na ni maneno ya mtu aliyetumwa kuchafua.Unfortunately yupo,na yupo for the next five years,and there is nothing you can do,so you better join him.
 
Mavi Mengi uliyoqndika Hapa Hayafai Hata Kutumika Kama Mbolea.
 
Miaka 10 ya ubunge wake mbona haukupeeka ushaidi poisi kakuibia gari kaenda Canada unasema haya sasa, acha mambo ya uhuni wewe.
 
Maneno ya kijinga kabisa haya na ni maneno ya mtu aliyetumwa kuchafua.Unfortunately yupo,na yupo for the next five years,and there is nothing you can do,so you better join him.
Wewe ni Mungu? Nakuhakikishia .....
 
Kuna mtu yeyote hapa duniani anaetafuta maisha ya shida bwasheee?
 
Kama anahudumiwa kila kitu maana yake maisha yatakuwa marahisi kwake, na hilo ndilo lengo lake haswa.
Mbowe yupo katulia hakuna aliyemtishia kuuwawa aje atishiwe Lema muhuni tu hana lolote

Hahudumiwi kila kitu maana sio mlemavu, anachotaka ni usalama wake na uhakika wa maisha yake. Na huko Canada vyote hivyo vipo kuliko akiwa hapa. Yeye sio Mbowe, kama Mbowe yuko salama hilo sio jukumu lake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…