Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Nyie chadema mnatuita sie wa vijijini mafala? [emoji848]
Mimi sio msemaji wa cdm usichanganye maoni yangu na cdm. Nyie ni Mafala kidogo sasa, kama mnalima kwa gharama zenu na kukutana na mateso yote, huku hamna barabara nzuri, maji safi, huduma mbovu za afya nk, na bado mnawashabikia wanaowapangia bei duni za mazao yenu, huku mkibaki masikini wa kutupwa kuna ufala kama huo?