Kitendo cha Lema na Familia yake kupewa Asylum Canada kinaashiria Taifa limeanza kutengeneza wakimbizi wa kisiasa, jambo ambalo halina afya

Kitendo cha Lema na Familia yake kupewa Asylum Canada kinaashiria Taifa limeanza kutengeneza wakimbizi wa kisiasa, jambo ambalo halina afya

Wakati mi5 tena wanapindua meza,mizimu yake ilikuwa imekufwa?
Aisee match kati ya shetani mara zote mshindi Ibilisi....
Nilitegemea Nsyuka atokee pale aingie japo mtaani kuandamana.
All in all sisi TZ bado kifinyo hakijaingia sawasawa na upinzani umekosa dira na msimamo kwa sababu ya umaskini.

Sent using Jamii Forums mobile app

Njaa na shibe ni kikwazo cha ustawi wa upinzani
Graduate anawapigia kelele wezi wezi wanachoshwa na kelele wanamtupia kipande cha mnofu nae anaunga juhudi anaanza kuwapigia kelele wakimbiza wezi.
 
Usiamini kiki za wanasiasa hawa kakimbia baada ya kukosa ajira ya ubunge, angekimbia mbowe ningeshituka kidogo ila huyu kakimbia madeni tuu yake.
Wewe mburula Lema ana uwezo wa kukulisha wewe na ukoo wako maisha yenu yote! Beware!!
 
Upo umuhimu wa wasomi na wataalam wetu kuliangalia hili suala kwa macho mapana na kuishauri serikali. Tusione Canada wanatoa hifadhi kwa Watanzania tukakaa kimya, tujiulize tumefikaje hapa?

Ikumbuke kwa mujibu wa sheria za kimataifa ukimbizi ni hadhi unayopata baada ya wataalam kukaa na kujiridhisha kwamba unastahili.

Kama lema na familia yake wamekubaliwa hifadhi ni udhibitisho kwamba wamepita kwenye mchujo na kufaulu, wameweka ushahidi nakuishawishi Canada kuwapokea. Familia yake itaishi kwa raha na watoto watasoma vizuri zaidi ya hapa ila kila siku kwa maika dahari ya Taifa letu watabaki kusomwa kwenye hiztoria ya Taifa letu Kama tunavyowasoma akina Kambona.

Tujitafakari mara nyingine Tena, Tanzania si sehemu salama? Kama Ni sehemu salama kwanini marafiki zetu wa muda mrefu Canada wanautangazia Ulimwengu kwamba tuna wakimbizi wakisiasa? Tujadiliane nao tulifute doa ili na lema na familia yake warejee nchini kuendelea na siasa.

Tulizoea haya kutokea kwa majirani zetu na tuliyakemea ikiwemo viongozi wetu waandamizi kushiriki kuwarejesha nchini kwao wakimbizi wakisiasa. Tunalo jukumu lakufuta sifa hii mbaya iliyomea na inayostawi.
mbona Canada pazuri tu, abaki huko huko atengenezea life lake na familia yake huko, kuzaliwa bongo bahati mbaya, bora nirudi ulaya.
 
Shetani aliyekuwepo atamuachia kijiti shetani mwenzie [emoji3][emoji3], ndivyo itakavyokuwa miaka nenda rudi
Mungu katu atotuacha siku zote uenda atatuletea shetani civilized, educated , matured, born town, na mwenye exposure.
 
Mungu katu atotuacha siku zote uenda atatuletea shetani civilized, educated , matured, born town, na mwenye exposure.
Huyu ndo shetani mliye muomba Mungu akawapa. Aliyepita mlidai ni mdhaifu Sana kazubaa kutwa kusafiri. Haya sasa chuma hicho
 
Huyu ndo shetani mliye muomba Mungu akawapa. Aliyepita mlidai ni mdhaifu Sana kazubaa kutwa kusafiri. Haya sasa chuma hicho
Shetani mkimbiza upepo atapita Kama upepo atabakia kusomwa kwenye vitabu vya historia Kama mashwetani wanaosomwa kwenye historia.
Dunia uwanja wa fujo ukimaliza fujo zako unasepa.
 
Shetani mkimbiza upepo atapita Kama upepo atabakia kusomwa kwenye vitabu vya historia Kama mashwetani wanaosomwa kwenye historia.
Dunia uwanja wa fujo ukimaliza fujo zako unasepa.
Hatapita Kama upepo. Atadumu kwa miaka mingine mitano Kama ilivyo kawaida kwa wengine waliotangulia, na kusomwa kwenye historia ni kawaida. Au ilitakiwa iweje?
 
Hatapita Kama upepo. Atadumu kwa miaka mingine mitano Kama ilivyo kawaida kwa wengine waliotangulia, na kusomwa kwenye historia ni kawaida. Au ilitakiwa iweje?
Siku za kuishi duniani za mwanadamu si nyingi nazo zimejaa unajisi tupu.
 
Hakuna mwenye hatimiliki na siti ya daladala. Kambona alirudi toka ukimbizini. Defao, Moise Katumbi waliomkimbia dikteta wamesharudi congo baada ya dikteta mfumo kumtupa akiwa hana amri ya hata kuamuru sisimizi zaidi ya kuamrisha mkewe
 
Canada mji gani ?Nipo Montréal huku Québec Baridi kali sana. Semeni mji alipo tukamtembelee. Karibu Canada nchi yenye asali na maziwa. Sasa tatizo hajasoma. Ila itambidi asome hata nursing assistant mwaka mmoja hasa mkewe ili afanye kazi na baadae anaweza endelea kusoma zaidi. Hapa kama haujasoma utaishia kufanya kazi supermarket ingawa nazo zinalipa. Watoto watasoma vizuri Elimu Bora kabisa. Bienvenue dans le Canada. Mimi nipo huku francophone.
Mkuu sasa inakuwaje???

Mambo vipi kwanza?
 
Kwa taarifa yako hao wazungu mpaka wakupe ukimbizi lazima wajiridhishe na vielelezo vyako. Huyo Lema kapata ukimbizi maana ana ushahidi wa kutosha na ambao hata sisi tunaujua. Siasa zetu ndani ya hii miaka mitano wote tumeziona, uonevu na unyanyasaji kwa wapinzani uko wazi.

Na kwa kukusaidia tu ni kuwa Lema kaula, watoto wake watapata elimu nzuri, yeye na mkewe watapata kazi zinazowalipa kuliko wangekaa hapa. Yaani kakutana na bonge la neema ya kimaisha.
Hizi ni fikra za kitumwa!
 
Kuna washkaji ni Wazanzibar 2001 walitorokea Kenya kama wakimbizi baadae wakachukuliwa mazima Australia. Hivi sasa hawataki hata kuongea Kiswahili kubabake
 
Hivi ule unyama mliokuwa mnatenda kwa miaka yote mitano na mauaji, utekaji na utesaji wa raia kwenye uchaguzi, huku ikiagizwa Lema auliwe ama apewe kesi isiyo na dhamana mnadhani dunia ilikuwa haioni?
Wendawazimu tu hao. Tanzania haikuwahi kuwa na historia ya mbunge kupigwa risasi hadharani lakini imetokea awamu hii. Ben Saanane angejua waovu wake walikuwa wana nia gani juu yake angeshakimbia zake kunusuru uhai wake kama Ansbert Ngurumo alivyofanya. Hata mtoto Akwilina aliuawa kwa sababu ya dhulma za uchaguzi. Waache wendawazimu wanaomwabudu yule muovu mzalendo uchwara waendelee kumuabudu.
 
Ww ni mfaidika wa huu uovu uliopo. Lisu ameshambuliwa kwenye viwanja vya bunge hakuna yoyote aliyekamatwa, unaposema kuna usalama wa kutosha labda kwako. Ili uwe kwenye usalama hapa nchini unapaswa kuwa kondoo ama kujipendekeza kwa watawala, sio zaidi ya hapo. Kilichofanyika kwenye uchaguzi wetu tumekiona kwa macho,na watu walipotaka kuonyesha hisia zao walitishiwa kuuwawa na vyombo vya dola! Tuko kimya sio kwakuwa tunaridhika, bali tunahofia kuuwawa kwa kupinga kutawaliwa kwa shuruti.
Wapinzani ni wachumia tumbo tu,hawana ajenda yeyote sawia kwa maslahi ya wananchi.Nirudie,tuko kwenye vita ya kiuchumi na kama Watanzania hatutakubali kurudishwa nyuma na mtu yeyote.We will use all tools at our disposal.
 
Back
Top Bottom