Kitendo cha mabeberu kufungasha na ongezeko la utitiri wa kodi

Kitendo cha mabeberu kufungasha na ongezeko la utitiri wa kodi

Ndo maana tunasema kwa ujumla mfumo wa kodi sio rafiki kwa walipa kodi na ndo sababu ya biashara nyingi kufa.

Ukiwa burundi kununua gari ni bei nafuu sana! Ukiwa zambia mafuta ni bei nafuu sana! Na vyote vinapitia bandari ya dar!

Hapa kwetu shida ni nn!?
Sababu zinaweza kuwa nyingi za variation kwenye bei ya mafuta kati ya nchi mbili.

Kwanza uwezo wa biashara kununua moja kwa kwa from refineries, ku-distribute wao wenyewe nchi nzima ili kuwa na standards price.

Tanzania asilimia kubwa ya retailers wa mafuta ni independent ambao hawana advantages za economic scales wala own storage depots hayo mambo yana umuhimu kwenye strategic planning za ushindani kwenye soko huria.

Matokeo yake badala ya bei kupangwa na soko sababu ya ushindani zinapangwa na EWURA (which is ok given the market structure), halafu kuna tozo za mazingira na halmashauri nazo zinachangia kwenye bei.

Kwa maana hiyo tatizo sio TRA pekee inabidi uchunguze tozo zote ambazo Burundi wanaweza wasiwe nazo. Similarly kwenye Tanzania kuna dumping taxes, Burundi wanaweza wasiwe nazo.

Lakini kodi za kibiashara per se yaani za faida kwenye uzalishaji ni standard nchi nyingi vat ni 15-20%, Tanzania ni 18%. Corporate tax ni 30% of profit na kuna allowable expenditures nyingi tu za kupunguza kodi inayolipwa na mfanyabiashara hasa wazalishaji wa ndani vitu kama depreciation, capital allowances, etc.

Ndio maana malalamiko ya kodi yapo sana kwa walipa kodi wadogo tu. Sikatai kuna wafanyakazi wa TRA sio waadilifu, ila tatizo kubwa zaidi ni uelewa wa majukumu yao ya kodi kwa wafanyabiashara wadogo.

Ukisikiliza wengi awaelewi matakwa ya kisheria kama kutunza hesabu zao kwa miaka kadhaa maana wanaweza kaguliwa miaka ya nyuma, kutii sheria deadlines ambazo zina fines za kikodi usipofuata regulations, kushindwa kutengeneza hesabu zao za mwaka (in short malalamiko yao mengi ni maswala ya kawaida nchi nyingine, sisi kwetu watu wanaona wanaonewa).
 
Uchumi, finance (banking and insurance), business management and accounting; hizo degrees zake zina relation.

Nchi kama UK mtu aliesoma diploma ya accounting vyuo vingi vinaweza mpokea mwaka wa tatu (sio vyote) kufanya hizo degree zingine kwa mwaka mmoja; lakini hao wengine awawezi jiunga accounting mwaka wa tatu, it’s considered superior of the business majors.
Mhasibu hawi mchumi mpaka asomee uchumi. Kwa hiyo hata kama kweli ni " superior" kwa hao wengine bado kwenye masuala ya uchumi hana pumzi. Pamoja na hoja hiyo hakuna Nobel Prize ya Accounts bali ipo ya Economics. Wahasibu wanahusika na sehemu moja tu ya uchumi na sio uchumi wote. Watu kibao wanaishi mpaka kufa bila kukutana na Mhasibu ila Mchumi anapaswa kutambua mchango wao anapozungumzia uchumi wa taifa au dunia. Hauwezi kumtambua tembo kwa kumgusa mkia.

Amandla...
 
Mhasibu hawi mchumi mpaka asomee uchumi. Kwa hiyo hata kama kweli ni " superior" kwa hao wengine bado kwenye masuala ya uchumi hana pumzi. Pamoja na hoja hiyo hakuna Nobel Prize ya Accounts bali ipo ya Economics. Wahasibu wanahusika na sehemu moja tu ya uchumi na sio uchumi wote. Watu kibao wanaishi mpaka kufa bila kukutana na Mhasibu ila Mchumi anapaswa kutambua mchango wao anapozungumzia uchumi wa taifa au dunia. Hauwezi kumtambua tembo kwa kumgusa mkia.

Amandla...
Accountants wanasoma mambo manne

1. Finance Accounting; ufanyi hesabu tu za biashara. Inabidi uandae report za kutafsiri results kutokana na hali ya uchumi why the business performed good or bad; what the business needs to do strategically, etc.

Inabidi uandae hesabu (sometimes with figusu ili kukuza market share) in short matatizo makubwa ya kiuchumi source zake ni accountants kudanganya markets wachumi ndio wanatumia hizo info to interpret what the market is saying based on financial reports.

2. Management accounting; ina deal na decision making za kila siku kwenye biashara. Kwa ivyo forecast, units production, many decision za senior managers and all other factors of stategies zinategemea reports za management accountants.

3. Taxation- maswala ya kikodi

4. Auditing- ukaguzi

Hayo ndio mambo unayo cover kwenye accounting it’s broad kushinda unavyodhani; awawezi kushinda nobel price because they don’t deal with theories much, but it doesn’t mean they don’t know economics.

Ndio maana they can switch to other degrees, but other disciplines can’t switch into accounting.
 
Accountants wanasoma mambo manne

1. Finance Accounting; ufanyi hesabu tu za biashara. Inabidi uandae report za kutafsiri results kutokana na hali ya uchumi why the business performed good or bad.

Inabidi uandae hesabu (sometimes with figusu ili kukuza market share) in short matatizo makubwa ya kiuchumi source zake ni accountants kudanganya markets wachumi ndio wanatumia hizo info to interpret what the market is saying based on financial reports.

2. Management accounting; ina deal na decision making za kila siku kwenye biashara. Kwa ivyo forecast, units production, many decision za managers and all other factors of stategies zinategemea reports za management accountants.

3. Taxation- maswala ya kikodi

4. Auditing- ukaguzi

Hayo ndio mambo unayo cover kwenye accounting it’s broad kushinda unavyodhani; awawezi kushinda nobel price because they don’t deal with theories much, but it doesn’t mean they don’t know economics.

Ndio maana they can switch to other degrees, but other disciplines can’t get into accounting.
Kuna Nobel Prize for Medicine. Theory does not have anything to do with the Nobel Prize. Cha msingi ni mchango wa taaluma au mtu kwa maendeleo au amani dunia nzima. Bahati mbaya wahasibu mchango wao mkubwa ni kwa watu binafsi, makampuni yanayofanya biashara na taasisi nyingine. Hapo kwenye Finance Accounting unaangalia "uchumi" wa kampuni. Uchumi wa nchi unaangaliwa tu kwa namna utakavyo impact mapato ya kampuni husika na sio namna mapato ya makampuni yote yatakavyo impact uchumi wa nchi. Unapotafuta investment au mkopo ndio utajenga hoja jinsi kampuni yako itakavyochangia uchumi wa nchi. Hautaangalia jinsi kodi ya muuta chipsi inavyochangia uchumi wa nchi. Hiyo ni eneo la wachumi.

Amandla..
 
Ndo maana tunasema kwa ujumla mfumo wa kodi sio rafiki kwa walipa kodi na ndo sababu ya biashara nyingi kufa.

Ukiwa burundi kununua gari ni bei nafuu sana! Ukiwa zambia mafuta ni bei nafuu sana! Na vyote vinapitia bandari ya dar!

Hapa kwetu shida ni nn!?
Shida ni ujuaji na kutaka vyote kwa pupa
 
Kuna Nobel Prize for Medicine. Theory does not have anything to do with the Nobel Prize. Cha msingi ni mchango wa taaluma au mtu kwa maendeleo au amani dunia nzima. Bahati mbaya wahasibu mchango wao mkubwa ni kwa watu binafsi, makampuni yanayofanya biashara na taasisi nyingine. Hapo kwenye Finance Accounting unaangalia "uchumi" wa kampuni. Uchumi wa nchi unaangaliwa tu kwa namna utakavyo impact mapato ya kampuni husika na sio namna mapato ya makampuni yote yatakavyo impact uchumi wa nchi. Unapotafuta investment au mkopo ndio utajenga hoja jinsi kampuni yako itakavyochangia uchumi wa nchi. Hautaangalia jinsi kodi ya muuta chipsi inavyochangia uchumi wa nchi. Hiyo ni eneo la wachumi.

Amandla..
Ndugu unadhani financial statement zinatengenezwa kwa sababu ya lenders tu; zina impact kubwa sokoni.

External stakeholders wote wanasubiri. Chukulia mfano financial statement ya supermarket kubwa.

Supplier kama wakulima inawaambia waongeze au wapunguze uzalishaji.

Supplier wa fast-moving consumer goods wanaitegemea.

Serikali wanaisubiri wajue kodi za kudai

Lenders wanaisubiri wajue kama kampuni inakopesheka

Market analyst (wachumi wanaisubiri) watoe tafsiri ya kampuni na performance ya industry husika kwa ujumla wake.

Investors internal na external, both looking for short term gains and those wishing for long term investment look forward for their decision making.

Wafanyakazi wajue usalama wa ajira zao.

Na wadau wengine wote wa biashara, sasa kuwaridhisha watu hao kuna wakati inabidi uwe fundi. Mfano unataka investors aone kampuni inafaida kwa ivyo you want to show owner equity is performing good, unataka banks, preference shareholders, debentures na suppliers waone una uwezo wa kulipa madeni na huku utaki kulipa kodi kubwa serikalini kwa ivyo ujue kucheza na capital structures na expenses.

A lot of different business disciplines come to play kwenye kutengeneza, economics, taxation, supply chain management, business management, etc. Na ndio maana hesabu za kampuni zinakaguliwa na external auditors kwa sababu zina impact kubwa kiuchumi kwa ivyo figisu zina madhara.

It’s not straight forward as you think kutengeneza financial statement za makampuni makubwa, ndio maana accounting inaonekana ni superior of the business degree it’s for a reason, but then not all accounts have the same skills.
 
Ndugu unadhani financial statement zinatengenezwa kwa sababu ya lenders tu; zina impact kubwa sokoni.

External stakeholders wote wanasubiri. Chukulia mfano financial statement ya supermarket kubwa.

Supplier kama wakulima inawaambia waongeze au wapunguze uzalishaji.

Supplier wa fast-moving consumer goods wanaitegemea.

Serikali wanaisubiri wajue kodi za kudai

Lenders wanaisubiri wajue kama kampuni inakopesheka

Market analyst (wachumi wanaisubiri) watoe tafsiri ya kampuni na performance ya industry husika kwa ujumla wake.

Investors internal na external, both looking for short term gains and those wishing for long term investment look forward for their decision making.

Wafanyakazi wajue usalama wa ajira zao.

Na wadau wengine wote wa biashara, sasa kuwaridhisha watu hao kuna wakati inabidi uwe fundi. Mfano unataka investors aone kampuni inafaida kwa ivyo you want to show owner equity is performing good, unataka banks, preference shareholders, debentures na suppliers waone una uwezo wa kulipa madeni na huku utaki kulipa kodi kubwa serikalini kwa ivyo ujue kucheza na capital structures na expenses.

A lot of different business disciplines come to play kwenye kutengeneza, economics, taxation, supply chain management, business management, etc. Na ndio maana hesabu za kampuni zinakaguliwa na external auditors kwa sababu zina impact kubwa kiuchumi kwa ivyo figisu zina madhara.

It’s not straight forward as you think kutengeneza financial statement za makampuni makubwa, ndio maana accounting inaonekana ni superior of the business degree it’s for a reason, but then not all accounts have the same skills.
Unajitetea vizuri lakini uchumi ni beyond financial statements za super markets. Mchango wake kwenye uchumi inawezekana kuwa ni mkubwa lakini sio picha yeyote. CAG hatuelezi kuhusu hali ya uchumi wa taifa bali hali ya mapato na matumizi ya taasisi anazozikakugua. Ukitaka kujua kuhusu hali ya uchumi wa taifa unaenda BOT ambako wachumi wana analyse sekta zote za uchumi ili watoe taarifa ya hali ya uchumi wa taifa. Kwa Marekani ni Federal Reserve Bank ndio inaangalia hali ya uchumi wa taifa na sio IRS. Aidha, Treasury Secretary Yellen ni mchumi kama alivyokuwa Bernanke kabla yake. Hukuti accountant katika nafasi hizo. David Malpass, Rais wa World Bank ni mchumi. Hata Philip Mpango ana Ph.D ya Economics na sio uhasibu. Katika masuala ya impact ya kodi katika uchumi wa taifa, wahasibu wanachangia tu lakini mwenye utaalam wa kuchanganua ni mchumi.

Ni kama vile ingawa mimi Fundi Mchundo nina utaalam wa kukunja nondo siwezi kujisifu kuwa nina uwezo wa kubuni jengo la ghorofa 20. Kazi hiyo ni ya Msanifu Majengo peke yake. Sisi tunamsaidia tu.

Amandla...
 
Unajitetea vizuri lakini uchumi ni beyond financial statements za super markets. Mchango wake kwenye uchumi inawezekana kuwa ni mkubwa lakini sio picha yeyote. CAG hatuelezi kuhusu hali ya uchumi wa taifa bali hali ya mapato na matumizi ya taasisi anazozikakugua. Ukitaka kujua kuhusu hali ya uchumi wa taifa unaenda BOT ambako wachumi wana analyse sekta zote za uchumi ili watoe taarifa ya hali ya uchumi wa taifa. Kwa Marekani ni Federal Reserve Bank ndio inaangalia hali ya uchumi wa taifa na sio IRS. Aidha, Treasury Secretary Yellen ni mchumi kama alivyokuwa Bernanke kabla yake. Hukuti accountant katika nafasi hizo. David Malpass, Rais wa World Bank ni mchumi. Hata Philip Mpango ana Ph.D ya Economics na sio uhasibu. Katika masuala ya impact ya kodi katika uchumi wa taifa, wahasibu wanachangia tu lakini mwenye utaalam wa kuchanganua ni mchumi.

Ni kama vile ingawa mimi Fundi Mchundo nina utaalam wa kukunja nondo siwezi kujisifu kuwa nina uwezo wa kubuni jengo la ghorofa 20. Kazi hiyo ni ya Msanifu Majengo peke yake. Sisi tunamsaidia tu.

Amandla...
Ndio maana nikakwambia accounting ina sehemu nne ukishapata degree yako na unaweza kufanya specialisation katika sehemu inayokuvutia zaidi; kupitia kazi au elimu ya mbele. CAG ana deal na auditing.

Mimi naongolea aspects za financial accounting na impact zake kwenye uchumi, supermarket huo ni mfano tu; lakini statement yoyote ya kampuni kubwa ina impact sokoni. Ni accountants ndio wanayoichezesha stock exchange for the most part kama hujui sio economists.

Nikuulize swali moja kwanini unadhani accountants wanatakiwa wafuate IFRS regulations kwenye kuandaa final accounts?
 
Huyo CPA ni mtaalam wa kodi za watu binafsi na si uchumi wa nchi. Impact la kodi kwenye uchumi ni eneo la wachumi na sio wahasibu. Hao wanafunzi ndio kabisa hawahusiki.

Argument ni kuwa kodi ziwe realistic na sio za kuumizana. Nchi ambazo zinakusanya kodi sana zinawatoza wenye vipata vikubwa vya ziada kiasi kikubwa na wenye kipato cha ziada kidogo kodi kidogo. Kiasi cha kodi kinapangwa kulingana na uwezo wa watu kulipa na sio mahitaji ya nchi.

Amandla...
CPA sio mtaalam wa kodi za watu binafsi. Wanashughulika na kodi za makampuni na wanasomea mambo ya kodi za nchi na za kimataifa vile vile. CPA aliyesomea kodi za mtu mmoja mmoja tu angeitwa Certified Private Accountant!

Hoja ya viwango vya kodi uliyoitoa ni tofauti na ile ya mleta mada niliyoitaka aithibitishe, kwamba watu wengi walipa kodi ndogo ndogo huleta hela nyingi kuliko wachache wanaotozwa zaidi. Ulinishambulia bure halafu unashindwa kumsaidia mwenzio kithibitisha hoja yenu isiyo na msingi.
 
Ndio maana nikakwambia accounting ina sehemu nne ukishapata degree yako unaweza kufanya specialisation katika sehemu inayokuvutia zaidi; kupitia kazi au elimu ya mbele. CAG ana deal na auditing.

Mimi naongolea aspects za financial statement na impact zake kwenye uchumi, supermarket huo ni mfano tu; lakini statement yoyote ya kampuni kubwa ina impact sokoni. Ni accountants ndio wanayoichezesha stock exchange for the most part kama hujui sio economists.

Nikuulize swali moja kwanini unadhani unadhani accountants wanatakiwa wafuate IFRS regulations kwenye kuandaa final accounts?
Tunaongelea vitu tofauti. Mimi sikatai kuwa accountants wana mchango katika masuala ya uchumi. Kama vile ambavyo mvuvi, mkulima wa korosho, mkaanga chipsi, mtu wa boda boda n.k. Wote hawa wana mchango katika uchumi na wengi wao hawaonekani katika hesabu za kihasibu. Mtu pekee anae tazama uwepo wa shughuli hizi na zile ambazo wahasibu ana husika ni mchumi, sio mhasibu. Nikitaka kujua biashara yangu inaendaje nitamtafuta mhasibu, lakini nikitaka kuchukua hali ya uchumi wa nchi yangu na namna nitakavyoweza kuuboresha nitamtafuta mchumi. Hakuna mtu anayebisha kuwa stock exchange ina impact katika uchumi. Lakini Stock Exchange yetu ina reflect sehemu ndogo tuu ya uchumi wetu na ilianzishwa majuzi tu. Una maana kabla ya hapo hatukuwa na uchumi? Kwa mfano, nikitaka ku invest katika mradi natakiwa nipate consult wa kunitayarishia feasibility study. Huyu atajumuisha watu wa finance ( wahasibu), watu wa soko ( market experts), watu wa mazingira ( environmental experts), wanasheria n.k. Huyo consultant atachukua taarifa za wote hawa na kuzifanyia analysis na kunipa ushauri wa kama hiyo biashara ina tija au la.

International Financial Reporting Standards zinatolewa na IFRS foundation na International Accounting Board ambazo zinahusika na performance ya makampuni na sio uchumi wa nchi. kama nilivyosema awali wahasibu wana mchango katika kuelewa muelekeo wa uchumi lakini hawana uwezo wa kuangalia picha nzima. Mimi siwezi kubishana na daktari ati kwa sababu nilisoma biology sekondari au ni mtaalam wa gym. Nitampa mawazo yangu lakini mwenye uwezo na utaalam ya kujua hali ya afya ya mgonjwa ni daktari na sio mwingine.

Hapa duniani kila mtu ana nafasi yake, sio lazima tuwe mabosi ndio tuheshimiwe. Wahasibu wana nafasi muhimu katika level ya watu inafsi na makampuni lakini mambo ya uchumi wawaachie wachumi ambao wana uwezo wa kutumia data zao ili kusoma hali ya uchumi wa nchi.

Amandla...
 
CPA sio mtaalam wa kodi za watu binafsi. Wanashughulika na kodi za makampuni na wanasomea mambo ya kodi za nchi na za kimataifa vile vile. CPA aliyesomea kodi za mtu mmoja mmoja tu angeitwa Certified Private Accountant!

Hoja ya viwango vya kodi uliyoitoa ni tofauti na ile ya mleta mada niliyoitaka aithibitishe, kwamba watu wengi walipa kodi ndogo ndogo huleta hela nyingi kuliko wachache wanaotozwa zaidi. Ulinishambulia bure halafu unashindwa kumsaidia mwenzio kithibitisha hoja yenu isiyo na msingi.

CPA ni mtaalam wa Public accounts kweli lakini anaweza kumsaidia mtu binafsi kutayarisha hesabu zake kwa ajili ya kodi zake.

Mimi nimekupinga uliposema kuwa wanaoweza kuthibitisha hoja ya mchango wa kodi ndogo ndogo ni wahasibu pamoja na watu wengine. Mimi kuzungumzia ukweli wa uongo wa hoja iliyoletwa kwa sababu mimi ni fundi mchundo sio mchumi.

Mimi nilivyomuelewa ni kuwa ukiwa na viwango vya kodi ambavyo watu ( au makampuni) wengi watamudu kulipa bila kuathiri uwezo wao wa kuzalisha, utapata kodi nyingi zaidi kuliko kuweka viwango vikubwa vya kodi ambavyo ni watu (au makampuni ) wachache ndio watakaomudu kulipa. Kwangu mimi ni common sense. Sasa nyinyi ambao mnapinga hilo ndio mngetu elimisha sisi mambumbu kwa namna gani kodi ikilipwa na wakina Bakhresa itakuwa kubwa kuliko itakayolipwa na watanzania wengine wenye biashara za kati na ndogo ndogo.

Amandla...
 
Sasa nyinyi ambao mnapinga hilo ndio mngetu elimisha sisi mambumbu

Wewe sio mbumbumbu.

Mbumbumbu ni yule uliyemwambia "hata akikwambia hutaelewa." First thing out of your mouth/mind. Fighting words of the most vicious kind. So, save me the self- deprecation, its just too feigned. Please!

Mhasibu ni mmoja tu kati ya mlolongo wa wataalam na laymen niliotaja kwamba wanaweza kujua hesabu za kodi. Mhasibu ndie anae failia watu, anaekokotoa kodi za watu, makampuni, serikali, kwa nini useme mhasibu hajui hesabu za kodi za nchi ???? That is such a preposterous proposition.

Tax earnings from the Bakhressa's of the world can, in theory, surpass all collections from the Mama Ntilie's of the country who pay a paltry 20,000/= for the life of the business. It is the fee for the Machinga Identity Card which never expires. The math is fiendishly more complicated than a "common sense" case you think it is.

Inategemea una matajiri wangapi na masikini wangapi na wa daraja la kati wangapi na wanaweza kutoa kisi gani.

Lakini pia inategemea tax collector anaamua kutengeneza tax regime ya aina gani. Kwenye kisiwa cha watu kumi badala ya kila mvuvi na mkewe kutoa shilingi tano tano unaweza kuamua exporter watatu tu wa samaki watoe shilingi 30 kila mmoja myamalize. Kupanga ni kuchagua. Bilionea wa Marekani analipa nearly 40% income tax margin. Masikini mwenye mshahara wa nusu ya poverty line hatakiwi kulipa kodi.

Si lazima siku zote watu wakiwa wengi ndio watachanga hela nyingi zaidi. Flies in the face of "common sense" you claim to have.
 
Tunaongelea vitu tofauti. Mimi sikatai kuwa accountants wana mchango katika masuala ya uchumi. Kama vile ambavyo mvuvi, mkulima wa korosho, mkaanga chipsi, mtu wa boda boda n.k. Wote hawa wana mchango katika uchumi na wengi wao hawaonekani katika hesabu za kihasibu. Mtu pekee anae tazama uwepo wa shughuli hizi na zile ambazo wahasibu ana husika ni mchumi, sio mhasibu. Nikitaka kujua biashara yangu inaendaje nitamtafuta mhasibu, lakini nikitaka kuchukua hali ya uchumi wa nchi yangu na namna nitakavyoweza kuuboresha nitamtafuta mchumi. Hakuna mtu anayebisha kuwa stock exchange ina impact katika uchumi. Lakini Stock Exchange yetu ina reflect sehemu ndogo tuu ya uchumi wetu na ilianzishwa majuzi tu. Una maana kabla ya hapo hatukuwa na uchumi? Kwa mfano, nikitaka ku invest katika mradi natakiwa nipate consult wa kunitayarishia feasibility study. Huyu atajumuisha watu wa finance ( wahasibu), watu wa soko ( market experts), watu wa mazingira ( environmental experts), wanasheria n.k. Huyo consultant atachukua taarifa za wote hawa na kuzifanyia analysis na kunipa ushauri wa kama hiyo biashara ina tija au la.

International Financial Reporting Standards zinatolewa na IFRS foundation na International Accounting Board ambazo zinahusika na performance ya makampuni na sio uchumi wa nchi. kama nilivyosema awali wahasibu wana mchango katika kuelewa muelekeo wa uchumi lakini hawana uwezo wa kuangalia picha nzima. Mimi siwezi kubishana na daktari ati kwa sababu nilisoma biology sekondari au ni mtaalam wa gym. Nitampa mawazo yangu lakini mwenye uwezo na utaalam ya kujua hali ya afya ya mgonjwa ni daktari na sio mwingine.

Hapa duniani kila mtu ana nafasi yake, sio lazima tuwe mabosi ndio tuheshimiwe. Wahasibu wana nafasi muhimu katika level ya watu inafsi na makampuni lakini mambo ya uchumi wawaachie wachumi ambao wana uwezo wa kutumia data zao ili kusoma hali ya uchumi wa nchi.

Amandla...
Put it this way you have a long to go kuelewa namna gani accountants can influence market decision za investors and the wider economy.

Mtu kama wewe ukisoma financial statement za NHC jinsi walivyokuwa wanaiongopea serikali kwa kuweka revaluation gain kama sehemu ya income na kuonekana wana faida wakati kampuni inatengeneza hasara pamoja na kukopewa trillions na serikali.

Dakika za mwisho walitaka kukopewa tena serikali ikagoma. Wangekuwa ni public listed halafu madeni yao hayana guarantee za serikali option nyingine ingekuwa ku raise funds through share issue.

Mtu kama wewe usielewa kilichoandikwa kwenye statement zao jamaa wakitoa share issues unakurupuka kununua bila kuelewa kwamba hawana option maana hakuna bank itatoa hela kwa statement zile. Mapato wanayopata ya new share issues wanalipa interest za madeni, existing shareholders wanapewa bonus shares badala ya dividend probably zina high premium. Wenye akili timamu ndio nafasi yao ya kukimbia kwa kuziuza.

Pamoja na issue of shares kwa strategy ya Nehemia ilikuwa ni muda tu kabla ya windup call (you can’t issue new shares kila mwaka kulipa madeni), kutokana na malimbikizo ya madeni ya nyuma wind up was a matter of time; na wateja wenyewe wa majengo ya NHC wako wangapi Tanzania? kama ni mabank ya ndani ndio wakopaji wakubwa kuna baadhi wangechukua hasara kubwa na zenyewe zihitaji government bailout to remain in business and causing other adverse cascading economics effects in the midst( all because accountants have been fooling the markets just as they did in 2008 to global economy.

This is why uwezi kuona financial statement ya ATCL wanamwandalia Magufuli asieweza kuzielewa na kumpa hadithi kwenye majukwaa wapo sawa sijui wanabeba wateja wangapi mara watabeba minofu etc with nonsense.

Ndio maana nikakuuliza why do you think watu wanalazimishwa kuandaa final accounts in line with IFRS regulations; jibu lako sio hizo kanuni zinatoka wapi. Nilitegemea utanieleza kupunguza accounting misrepresentation to the external users of that information in their decision making.

Mkuu unaelewa kuhusu mambo ya uchumi, lakini sio financial accounting. Ndio maana nikakueleza hizo disciplines zina relation mtu mwenye diploma anaweza kusoma economics mwaka wa tatu wengine awawezi switch. Financial analyst wengi ni accountants (na hiyo ni aspect ya uchumi), wengine ni watu waliosoma finance na economics. Hao wawili wa mwisho wanachosomea kufanya hiyo kazi ni uelewa wa ratio analysis tu, but an accountant knows how to prepare and manipulate the whole thing from scratch.

Halafu acha kusikiliza hadithi kodi za Tanzania kwa wafanyabiashara wadogo ambao income yao aizidi 100m kwa mwaka ni ndogo sana, aizidi ata 4% mpaka najiuliza ni sahihi kweli maana ni less than any P.A.Y.E wakati kuna waajiriwa wanalipa paye mpaka 30%.
 
Put it this way you have a long to go kuelewa namna gani accountants can influence market decision za investors and the wider economy.

Mtu kama wewe ukisoma financial statement za NHC jinsi walivyokuwa wanaiongopea serikali kwa kuweka revaluation gain kama sehemu ya income na kuonekana wana faida wakati kampuni inatengeneza hasara pamoja na kukopewa trillions na serikali.

Dakika za mwisho walitaka kukopewa tena serikali ikagoma. Wangekuwa ni public listed halafu madeni yao hayana guarantee za serikali option nyingine ingekuwa ku raise funds through share issue.

Mtu kama wewe usielewa kilichoandikwa kwenye statement zao jamaa wakitoa share issues unakurupuka kununua bila kuelewa kwamba hawana option maana hakuna bank itatoa hela kwa statement zile. Mapato wanayopata ya new share issues wanalipa interest za madeni, existing shareholders wanapewa bonus shares badala ya dividend probably zina high premium. Wenye akili timamu ndio nafasi yao ya kukimbia kwa kuziuza.

Pamoja na issue of shares kwa strategy ya Nehemia ilikuwa ni muda tu kabla ya windup call (you can’t issue new shares kila mwaka kulipa madeni), kutokana na malimbikizo ya madeni ya nyuma wind up was a matter of time; na wateja wenyewe wa majengo ya NHC wako wangapi Tanzania? kama ni mabank ya ndani ndio wakopaji wakubwa kuna baadhi wangechukua hasara kubwa na zenyewe zihitaji government bailout to remain in business and causing other adverse cascading economics effects in the midst( all because accountants have been fooling the markets just as they did in 2008 to global economy.

This is why uwezi kuona financial statement ya ATCL wanamwandalia Magufuli asieweza kuzielewa na kumpa hadithi kwenye majukwaa wapo sawa sijui wanabeba wateja wangapi mara watabeba minofu etc with nonsense.

Ndio maana nikakuuliza why do you think watu wanalazimishwa kuandaa final accounts in line with IFRS regulations; jibu lako sio hizo kanuni zinatoka wapi. Nilitegemea utanieleza kupunguza accounting misrepresentation to the external users of that information in their decision making.

Mkuu unaelewa kuhusu mambo ya uchumi, lakini sio financial accounting. Ndio maana nikakueleza hizo disciplines zina relation mtu mwenye diploma anaweza kusoma economics mwaka wa tatu wengine awawezi switch. Financial analyst wengi ni accountants (na hiyo ni aspect ya uchumi), wengine ni watu waliosoma finance na economics. Hao wawili wa mwisho wanachosomea kufanya hiyo kazi ni uelewa wa ratio analysis tu, but an accountant knows how to prepare and manipulate the whole thing from scratch.

Halafu acha kusikiliza hadithi kodi za Tanzania kwa wafanyabiashara wadogo ambao income yao aizidi 100m kwa mwaka ni ndogo sana, aizidi ata 4% mpaka najiuliza ni sahihi kweli maana ni less than any P.A.Y.E wakati kuna waajiriwa wanalipa paye mpaka 30%.
Ni wahasibu wachache wanaofanya kazi independently kiasi cha kusema wanaweza kuyumbisha masoko.

Kwenye hilo la NHC lawama za kuua kampuni au sifa za kujenga kampuni ni Nehemia kwa sababu yeye ndie alikuwa pilot sio Chief Accountant wake. Sasa hivi tamko la Elon Musk kuhusu Bitcoin limeongeza value yake kupitiliza kama vile aliposema kuwa mambo yote ni Signal. Musk sio mhasibu ingawa bila shaka ana wahasibu wengi tuu wanaomfanyia kazi. Watu wanaenda Omaha kumsikiliza Buffet ili wafanye maamuzi ya wapi wawekeze pesa zao na sio Mhasibu Mkuu wa Ernst and Young.

Sasa hivi masikio yote kuhusu uchumi wa Marekani yataelekezwa kwa mchumi Janet Yellen na sio wahasibu waliokuwa chini yao. Watu kama Krugmann, Stiglitz, Elizabeth Warner, Lawrence Summers n.k. wanasikilizwa kwa makini kwa sababu ni wachumi waliobobea na ushauri wao kuhusu muelekeo wa uchumi wa nchi yao na dunia unathaminiwa.

Kuna wanaoamini kuwa ukiminimise kodi uchumi utakua na hivyo mapato ya serikali yataongezeka kwa sababu matajiri watawekeza pesa watakazokuwa nazo katika kukuza uchumi.

Kuna wengine wanaamini kuwa wale wenye kipato kikubwa basi wakatwe zaidi na wale wa kipato cha kati na cha chini wakatwe kidogo. Imani yao ni kuwa ile fedha itakayomegwa kutoka kwa matajiri itaiwezesha serikali kuwekeza katiks miundo mbinu na shughuli za kijamii ambazo zitakuza uchumi. Aidha, imani yao ni kuwa tofauti na matajiri ambao walipopata tax cuts walihamisha pesa zao na kuzi park kwenye tax havens na kununua maboti ya kifahari, mtu wa kawaida atanunua nyumba, fenicha mpya, atamudu kuwalipia watoto wao shule n.k. ambayo yote yanachangia kwenye kukua kwa uchumi. Accountant hahusiki. Wakihusika ni katika kuwarubuni watu wa kipato cha chini kuchukua mikopo ambayo hawaimudu.

Sisi hapa kwetu tunazungumzia wafanyabiashara wa kati, wale wenye vigesti, wanaoagiza nguo kutoka Uturuki na China, wenye maduka ya hardware, makandarasi wa daraja la 5 na kushuka n.k. Hawa wakibanwa kwa kodi zisizowekana uchumi utayumba. Watu kama wakina Bakhressa na Rostam Aziz ni vigumu kuathirika kwa sababu wana wahasibu waliobobea katika kuwawezesha kulipa kodi kidogo iwezekanavyo kihalali. Ni kama Buffet alivyouambia umma kuwa analipa kiwango kidogo cha kodi kuliko sekretari. Au Trump ambae kwa miaka kadhaa amekuwa halipi hata thumni wakati anajisifu kuwa yeye ni bilionea.

Lakini sidhani kama tutaelewana maana tunaongelea vitu tofauti. Naona tukubaliane tu kuwa mtazamo wetu ni tofauti.

Amandla...
 
Wewe sio mbumbumbu.

Mbumbumbu ni yule uliyemwambia "hata akikwambia hutaelewa." First thing out of your mouth/mind. Fighting words of the most vicious kind. So, save me the self- deprecation, its just too feigned. Please!

Mhasibu ni mmoja tu kati ya mlolongo wa wataalam na laymen niliotaja kwamba wanaweza kujua hesabu za kodi. Mhasibu ndie anae failia watu, anaekokotoa kodi za watu, makampuni, serikali, kwa nini useme mhasibu hajui hesabu za kodi za nchi ???? That is such a preposterous proposition.

Tax earnings from the Bakhressa's of the world can, in theory, surpass all collections from the Mama Ntilie's of the world who pay a paltry 20,000/= for the life of the business to get the Machinga Identity card which never expires. The math is fiendishly more complicated than a "common sense" case you think it is.

Inategemea una matajiri wangapi na masikini wangapi na wa daraja la kati wangapi na wanaweza kutoa kisi gani.

Lakini pia inategemea tax collector anaamua kutengeneza tax regime ya aina gani. Kwenye kisiwa cha watu kumi badala ya kila mvuvi na mkewe kutoa shilingi tano tano unaweza kuamua exporter watatu tu wa samaki watoe shilingi 30 kila mmoja myamalize. Kupanga ni kuchagua. Bilionea wa Marekani analipa nearly 40% income tax margin. Masikini mwenye mshahara wa nusu ya poverty line hatakiwi kulipa kodi.

Si lazima siku zote watu wakiwa wengi ndio watachanga hela nyingi zaidi. Flies in the face of "common sense" you claim to have.
Please. Nyinyi ndio mnatufanya sisi kuwa ni mambumbu kwa kutuambia mhasibu wa kampuni au serikali au mwalimu wa statistics wa sekondari anaweza kujua mchango wa kodi katika nchi. Tuoneeni huruma.

Ukitaka kujua mapato ya kodi Tanzania humfuati Chief Accountant wa Bakhresa bali wachumi walio Benki Kuu na kwa Paymaster General.

Wewe badala ya kumuelimisha vizuri aliyeleta mada kuwa sio lazima ukipunguza kodi, mapato yataongezeka unambeza kwa kuleta ridiculous notion kuwa mwanafunzi wa calculus anaweza kukufahimisha kuhusu mchango wa kodi katika uchumi wa taifa.

Mama Ntilie hachangii kodi kwenye kitambulisho tu. Bidhaa anazonunua zote zina kodi. Nauli yake ya daladala ina mchango wake wa kodi. Hivyo hivyo kwa watu wa kima cha chini na kati ambao huduma zao zote wanalipia Tanzania kuanzia shule, hospitali mpaka likizo kama anayo.

Hao mabilionea unaowasifu hawalipi kiasi hicho cha fedha kwa sababu mara nyingi utajiri wao uko kwenye stocks na assets ( ambazo conveniently zina depreciate kila mwaka) na sio pesa zilizopo M pesa na Benki ya Mkulima ambayo serikali inaitazama kwa karibu. Hao matajiri watoto wao wanasoma nje kwa pesa wanayoichuma Tanzania, wakiugua wanatibiwa nje na kununua dawa nje kwa pesa waliozalisha Tanzania. Hao matajiri wengi wao pesa zao wanazi park Cayman Islands na kwengine ambako mkono wa Tax Collector wa kitanzania hafiki.

Huko Marekani unadhani wakina Bezos na Trump wanalipa kodi ya 40% ya mapato yao? Wakilipa hivyo makampuni makubwa ya kihasibu yatakosa kazi maana wajibu wao mkubwa ni kuhakikisha kuwa wanalipa kiasi kidogo inavyowezekana bila kuingia kwenye makucha ya IRS. Mwaka 2016 na 2017 Trump alilipa US $ 750 kama Federal tax na kuna uwezekano mkubwa miaka mingi tu hakulipa hata thumni. Halafu unakuja na hadithi ya 40% ya income tax. Uchumi wa Marekani unabebwa na kodi za Middle Class na sio za wakina Musk na Bezos. Imefika mahali mpaka mabilionea wenye aibu kama wanaomba waongezewe kodi.

Lakini wengi kama Gates walipiga sana kelele Elizabeth Warren alipopendekeza kuongeza kodi ya 2% kwenye kipato cha 50 million hadi 1 billion dollars na 6% kwa mabilionea kuwa wataumizwa sana mpaka Warren alipowakumbusha kuwa pamoja na ongezeko hilo watabakia mabilionea. Halafu unatuambia wanalipa 40% na unataka tukuamini kwa sababu unatumia kiingereza kigumu.

Nimejiita mbumbu kwa sababu watu kama nyinyi mnatuona sisi wote humu ni mambumbu.

Nimeishia hapa. Na sitaendelea kujibizana na wewe kwa kuhofia umbumbu wangu utazidi kuonekana.

Amandla....
 
Ni wahasibu wachache wanaofanya kazi independently kiasi cha kusema wanaweza kuyumbisha masoko.

Kwenye hilo la NHC lawama za kuua kampuni au sifa za kujenga kampuni ni Nehemia kwa sababu yeye ndie alikuwa pilot sio Chief Accountant wake. Sasa hivi tamko la Elon Musk kuhusu Bitcoin limeongeza value yake kupitiliza kama vile aliposema kuwa mambo yote ni Signal. Musk sio mhasibu ingawa bila shaka ana wahasibu wengi tuu wanaomfanyia kazi. Watu wanaenda Omaha kumsikiliza Buffet ili wafanye maamuzi ya wapi wawekeze pesa zao na sio Mhasibu Mkuu wa Ernst and Young.

Sasa hivi masikio yote kuhusu uchumi wa Marekani yataelekezwa kwa mchumi Janet Yellen na sio wahasibu waliokuwa chini yao. Watu kama Krugmann, Stiglitz, Elizabeth Warner, Lawrence Summers n.k. wanasikilizwa kwa makini kwa sababu ni wachumi waliobobea na ushauri wao kuhusu muelekeo wa uchumi wa nchi yao na dunia unathaminiwa.

Kuna wanaoamini kuwa ukiminimise kodi uchumi utakua na hivyo mapato ya serikali yataongezeka kwa sababu matajiri watawekeza pesa watakazokuwa nazo katika kukuza uchumi.

Kuna wengine wanaamini kuwa wale wenye kipato kikubwa basi wakatwe zaidi na wale wa kipato cha kati na cha chini wakatwe kidogo. Imani yao ni kuwa ile fedha itakayomegwa kutoka kwa matajiri itaiwezesha serikali kuwekeza katiks miundo mbinu na shughuli za kijamii ambazo zitakuza uchumi. Aidha, imani yao ni kuwa tofauti na matajiri ambao walipopata tax cuts walihamisha pesa zao na kuzi park kwenye tax havens na kununua maboti ya kifahari, mtu wa kawaida atanunua nyumba, fenicha mpya, atamudu kuwalipia watoto wao shule n.k. ambayo yote yanachangia kwenye kukua kwa uchumi. Accountant hahusiki. Wakihusika ni katika kuwarubuni watu wa kipato cha chini kuchukua mikopo ambayo hawaimudu.

Sisi hapa kwetu tunazungumzia wafanyabiashara wa kati, wale wenye vigesti, wanaoagiza nguo kutoka Uturuki na China, wenye maduka ya hardware, makandarasi wa daraja la 5 na kushuka n.k. Hawa wakibanwa kwa kodi zisizowekana uchumi utayumba. Watu kama wakina Bakhressa na Rostam Aziz ni vigumu kuathirika kwa sababu wana wahasibu waliobobea katika kuwawezesha kulipa kodi kidogo iwezekanavyo kihalali. Ni kama Buffet alivyouambia umma kuwa analipa kiwango kidogo cha kodi kuliko sekretari. Au Trump ambae kwa miaka kadhaa amekuwa halipi hata thumni wakati anajisifu kuwa yeye ni bilionea.

Lakini sidhani kama tutaelewana maana tunaongelea vitu tofauti. Naona tukubaliane tu kuwa mtazamo wetu ni tofauti.

Amandla...

1E2458E0-20B5-4FAF-BEFF-4D74BBBAD2BD.jpeg



Nimekuwekea hiyo link if you have time uone jinsi gani manipulation ya ‘fair value’ kwenye financial reporting ilivyowaingiza mkenge investors wengi kununua madeni ya banks zilizokuwa zinashiriki kwenye sub-prime lending; na ndio msingi wa 2008 financial crisis.

Kama ulivyosema huu mjadala auna development i.e auna tija tena. Economists will be economists; lakini aina maana wahasibu awaelewi uchumi na kuutumia kwa maslahi yao kama unavyodhani.

Accounting covers many thing yaani we ukiona accountant anafanya kazi za income tax kwa watu wa kawaida, anaangaika na biashara za sole traders ambao wapo kwenye threshold za ku-register for VAT, sijui kaajiriwa kwenye kampuni anaangaika na records za kila siku huyo ni average accountant tu. Lakini huko juu kwenye kuandaa final accounts na kushauri kampuni zinazo trade publicly, it’s a different ball game lazima uwe na ufahamu wa maswala ya uchumi.

👋
 
Back
Top Bottom