fundi25
JF-Expert Member
- Apr 16, 2013
- 10,378
- 11,537
Lazima uwe na ya zamaniRahisi tu naenda kwa sign writer ananitengenezea nyingine.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lazima uwe na ya zamaniRahisi tu naenda kwa sign writer ananitengenezea nyingine.
Changia hoja ya msingi, acha kujitoa ufahamuWewe unalipa kodi kiasi gani? Unafikiri rais anatembea na gari moja kama wewe!
Ccm bhana hoja kuu ipo mezana, mnaenda kwenye vicoment vya wachangiaji!!!Weka ushahidi! Majungu peleka kwenye udaku.
Kwa akili yako unataka kutuambia kuwa hata kama Kodi zikiwa zinaumiza wananchi ili mradi zipo kisheria basi maumivu ya mlipa Kodi hayapo?Twambie basi huo mlundikano? Mfano double taxation etc. Huwezi kulalamika mlundikano bila kutolea ufafanuzi kuonyesha kwamba kuna kodi hii ambayo haitakiwi au ipo kimakosa etc kutokana na issue hii au ile? Wacha kamba? Usilalamike tu bila kutoa solution ambayo itasaidia kuboresha hizo kodi.
Una uhakika na hicho unachosema,Hujawahi kuagiza gari ndio Mana unaanzisha thread za kulia Lia
Ukiagiza gari japani,kwenye bei Kuna gharama za ukaguzi,ambazo baadae zinapelekwa Tbs
Tbs wameamua kukusanya wenyewe,ulichokua unalipa japan utalipia Tanzania shida ipo wapi?
Labda kwa kukusaidia jiuluze hao wafugaji wanao miliki mamia ya mifugo wanafanya biashara?Uko sahihi sana. Na ilipaswa wazalishaji wengine nao wafanye hivyo kuinua zaidi na kwa pamoja pato la nchi yetu. Je, ni eneo lipi mfugaji ambaye ni mzalishaji sawa au zaidi yako kisheria anawajibika kulipa kodi kulingana na idadi ya mifugo yake? Niambie Mkuu, hapo mapori ya Ruvu kuna wamasai na mifugo lukuki,isingekuwa busara tukaona njia nzuri nao wakachangia kisheria kama sisi tunavyofanya? Dhambi ni ipi kama watafanya hivyo?
Wewe kweli umeishiwa! Suala la kodi linahusiana na biashara, hali ya kibiashara unavyoona ww ni nzuri? Biashara zinashamiri au zinakufa?Weka ushahidi! Majungu peleka kwenye udaku.
Kwa formula gani ?????....Bora Kodi ndogo inayolipwa na watu wengi kuliko kutegemea Kodi kubwa inayolipwa na watu wachache
Haya tumchinje tu huyu bata anaetaga mayai ya dhahabu ili tupate mengi zaid!Serikali lazima itoze kodi ili iweze kufikia malengo yake ya kuwatumikia Watanzania. Tozo za magari kila mwaka hata ulaya zipo, huwezi kuwa na gari barabarani ambalo halijaangaliwa kwamba lipo imara kuwa barabarani na ni salama, kila mwaka unless lina miaka mitatu tangu liwe jipya vinginevyo kila mwaka lazima likaguliwe na mwenye gari alipie ukaguzi huo kila mwaka. (Ulitaka nani alipie wakati wewe ndiye unatumia hilo gari?) Tmechoka na ajai ambazo hazina mkia.
Nchi haiwezi kutegemea misaada, kwani Watanzania wote ni vilema? Nchi inatakiwa ijiwezeshe yenyewe hatuna mjomba huko nje wa kutusaidia.
Sekta binafsi ilijisahau kwa kufikiria ni lazima Serikali iwape unafuu kufanya shughuli zao. Je, kama sekta binafsi inataka kodi nafuu inafikiria Serikali itapata wapi fedha za kujiendesha? Je, ni nani alipe hiyo gharama? Tanzania ina watu millioni 60 na ushee hatuwezi kuwa wakinga bakuli!
Ni lazima kila sekta ilipe kodi, wafanyakazi wanakatwa kila mwezi kwa nini wafanya biashara wanafikiri wao ni muhimu zaidi kuliko wengine? Kila mahali watu ni lazima walipe kodi stahiki bila kupepesa macho. Nchi haitaendelea kwa sababu kuna watu au kikundi ambacho kinafikiri lazima kihurumiwe kulipa kodi.
Hata akikuonyesha hutaelewa. Certified accounting inahusiana nini na alicho ongea?Kwa formula gani ?????
Kwa mahesabu gani?
Nionyeshe formula ya kodi, au ya uchumi, au hesabu za darasa la tatu, calculus za form six, statistics za chuo kikuuu, certified accounting au kutoka taaluma yeyote ile inayosema kodi ndogo ndogo ya watu wengi inazalisha hela nyingi kuliko makodi mazito mazito ya watu wachache.
Onyesha!
Ndio nn sasa!!?Taxes nyingi za kibiashara Tanzania zipo sambamba na global average; issue labda import duty.
Hata akikuonyesha hutaelewa. Certified accounting inahusiana nini na alicho ongea?
Amandla.
Gharama ni ile ileMwaka 2021 umeanza kwa kutangazwa kodi au tozo ambazo awali hazikuwepo. Tumesikia ukaguzi wa magari, garama za kuagiza magari zimepanda mara mia, tozo katika bidhaa nyingi za nje nk.
Huyo CPA ni mtaalam wa kodi za watu binafsi na si uchumi wa nchi. Impact la kodi kwenye uchumi ni eneo la wachumi na sio wahasibu. Hao wanafunzi ndio kabisa hawahusiki.Nchi niliyowahi kuishi, ambapo kila mwananchi anatakiwa kufanya kokotoo za kodi yeye mwenyewe na kupeleka mahesabu serikalini akiambatanisha malipo au madai, wengi tulikuwa tunaenda kwa wahasibu, certified accountants, watusaidie.
Kwa hiyo najua mhasibu ni moja ya watu wanaoweza kunieleza hili, pamoja na, labda, mchumi, mtakwimu, mwana taaluma wa biashara, au mwanafunzi wa Calculus za kidato cha sita, au labda ni hisabati ndogo ya darasa la tano.
Sasa nionyesheni - unamshambuliaje mtu aliye widely open minded kujifunza - nionyesheni maelezo ya kitaalam:
ni wapi palipohitimishwa kwamba watu wengi wakitozwa vikodi vidogo vidogo zitapatikana hela nyingi kuliko wachache wakitoa makodi makubwa makubwa ?????
Kuna vi tax vingi vat, rail duty, port duty na saa zingine storage charges; they all add up. Kama kiwanda kinahitaji mitambo ya millioni kumi + those taxes add up a lot.Ndio nn sasa!!?
Import duty... ndo mbaya? Au import duty imeizidi nguvu serikali?
Uchumi, finance (banking and insurance), business management and accounting; hizo degrees zake zina relation.Huyo CPA ni mtaalam wa kodi za watu binafsi na si uchumi wa nchi. Impact la kodi kwenye uchumi ni eneo la wachumi na sio wahasibu. Hao wanafunzi ndio kabisa hawahusiki.
Argument ni kuwa kodi ziwe realistic na sio za kuumizana. Nchi ambazo zinakusanya kodi sana zinawatoza wenye vipata vikubwa vya ziada kiasi kikubwa na wenye kipato cha ziada kidogo kodi kidogo. Kiasi cha kodi kinapangwa kulingana na uwezo wa watu kulipa na sio mahitaji ya nchi.
Amandla...
Ndo maana tunasema kwa ujumla mfumo wa kodi sio rafiki kwa walipa kodi na ndo sababu ya biashara nyingi kufa.Kuna vi tax vingi vat, rail duty, port duty na saa zingine storage charges; they all add up. Kama kiwanda kinahitaji mitambo ya millioni kumi + those taxes add up a lot.
Swala la muda, kwa curves cross against each other, tutakuja kuwasikia hapa mkileta hizi hoja.Serikali lazima itoze kodi ili iweze kufikia malengo yake ya kuwatumikia Watanzania. Tozo za magari kila mwaka hata ulaya zipo, huwezi kuwa na gari barabarani ambalo halijaangaliwa kwamba lipo imara kuwa barabarani na ni salama, kila mwaka unless lina miaka mitatu tangu liwe jipya vinginevyo kila mwaka lazima likaguliwe na mwenye gari alipie ukaguzi huo kila mwaka. (Ulitaka nani alipie wakati wewe ndiye unatumia hilo gari?) Tmechoka na ajai ambazo hazina mkia.
Nchi haiwezi kutegemea misaada, kwani Watanzania wote ni vilema? Nchi inatakiwa ijiwezeshe yenyewe hatuna mjomba huko nje wa kutusaidia.
Sekta binafsi ilijisahau kwa kufikiria ni lazima Serikali iwape unafuu kufanya shughuli zao. Je, kama sekta binafsi inataka kodi nafuu inafikiria Serikali itapata wapi fedha za kujiendesha? Je, ni nani alipe hiyo gharama? Tanzania ina watu millioni 60 na ushee hatuwezi kuwa wakinga bakuli!
Ni lazima kila sekta ilipe kodi, wafanyakazi wanakatwa kila mwezi kwa nini wafanya biashara wanafikiri wao ni muhimu zaidi kuliko wengine? Kila mahali watu ni lazima walipe kodi stahiki bila kupepesa macho. Nchi haitaendelea kwa sababu kuna watu au kikundi ambacho kinafikiri lazima kihurumiwe kulipa kodi.