Kitendo cha mabeberu kufungasha na ongezeko la utitiri wa kodi

Kitendo cha mabeberu kufungasha na ongezeko la utitiri wa kodi

Mwaka 2021 umeanza kwa kutangazwa kodi au tozo ambazo awali hazikuwepo. Tumesikia ukaguzi wa magari, garama za kuagiza magari zimepanda mara mia, tozo ya gari ndogo zinazosafirisha maiti, tozo katika bidhaa nyingi za nje nk.

Hii inaashiria vyanzo vya mapato vilivyomo nchini vikilinganishwa na miradi tunayoanzisha nakusimamia vinakinzana. Gharama za miradi zipo juu kuliko uwezo wetu wa kukusanya. Misaada nayo imeshuka kutokana na covid na diplomasia yetu ya kimataifa kukosa mwelekeo na mtu sahihi wakuisimamia.

Tunachokwenda kuvuna huko tuendako ni hongezeko la watu wasio na ajira kwa sababu sekta binafsi inakwenda kudidimia....Bora Kodi ndogo inayolipwa na watu wengi kuliko kutegemea Kodi kubwa inayolipwa na watu wachache, Wizara ya fedha irudi kwenye maltiplier effects zitokanazo na kila transaction yakibiashara nchini.
Akili ndogo hazitakuelewa!
 
Serikali lazima itoze kodi ili iweze kufikia malengo yake ya kuwatumikia Watanzania. Tozo za magari kila mwaka hata ulaya zipo, huwezi kuwa na gari barabarani ambalo halijaangaliwa kwamba lipo imara kuwa barabarani na ni salama, kila mwaka unless lina miaka mitatu tangu liwe jipya vinginevyo kila mwaka lazima likaguliwe na mwenye gari alipie ukaguzi huo kila mwaka. (Ulitaka nani alipie wakati wewe ndiye unatumia hilo gari?) Tmechoka na ajai ambazo hazina mkia.

Nchi haiwezi kutegemea misaada, kwani Watanzania wote ni vilema? Nchi inatakiwa ijiwezeshe yenyewe hatuna mjomba huko nje wa kutusaidia.

Sekta binafsi ilijisahau kwa kufikiria ni lazima Serikali iwape unafuu kufanya shughuli zao. Je, kama sekta binafsi inataka kodi nafuu inafikiria Serikali itapata wapi fedha za kujiendesha? Je, ni nani alipe hiyo gharama? Tanzania ina watu millioni 60 na ushee hatuwezi kuwa wakinga bakuli!

Ni lazima kila sekta ilipe kodi, wafanyakazi wanakatwa kila mwezi kwa nini wafanya biashara wanafikiri wao ni muhimu zaidi kuliko wengine? Kila mahali watu ni lazima walipe kodi stahiki bila kupepesa macho. Nchi haitaendelea kwa sababu kuna watu au kikundi ambacho kinafikiri lazima kihurumiwe kulipa kodi.
Nilikuwa sitaki kuandika ila ngoja nikujibu....ka.a serikali haiwezi kuweka mazingira mazuri ya watu kulipa kodi rafiki hakuna haja ya hio serikali kuendelea kuwepo imeshindwa kujiendesha kungangana kuwapora raia wachache huku wengi wakiwa hawalipi hio si sawa ni bora kodi ya kichwa irudi ili kila mtu achangie hayo maujenzi ya chato stadium...na mandege yasiyo na tija..nilianza kulipa kodi enzi za mkapa leseni ilikuwa bure kodi kiwango cha chini kuanzia ni 35000...na biashara zilikuwa zinakimbia sasa hivi wamerundika makodi mpaka kwa machinga na biashara hazitoki...maisha yamezidi kuwa magumu...tra ukienda wanakuambia biashra inakuwa wameongezewa taget lazima tuifikie wao hawatungi sheria bunge ndio linatunga au funga biashara...na mfumo wa kodi tanzania ilitakiwa kodi iwe ndogo sana ili iweze kukusanywa maana unalipa kodi kabla ya kuanza biashara...weka bango fungua ofisi nenda tra...watakuambia lipia bango kwanza lipia withholding ya mwaka mzima kodi ya mwenye chumba...lipia awamu ya kwanza ya kodi..sasa biashara hata hujaanza kupata faida ulipe madubwasha yote utafika wapi....
 
Mwaka 2021 umeanza kwa kutangazwa kodi au tozo ambazo awali hazikuwepo. Tumesikia ukaguzi wa magari, garama za kuagiza magari zimepanda mara mia, tozo katika bidhaa nyingi za nje nk.

Hii inaashiria vyanzo vya mapato vilivyomo nchini vikilinganishwa na miradi tunayoanzisha nakusimamia vinakinzana. Gharama za miradi zipo juu kuliko uwezo wetu wa kukusanya. Misaada nayo imeshuka kutokana na covid na diplomasia yetu ya kimataifa kukosa mwelekeo na mtu sahihi wakuisimamia.

Tunachokwenda kuvuna huko tuendako ni ongezeko la watu wasio na ajira kwa sababu sekta binafsi inakwenda kudidimia....Bora Kodi ndogo inayolipwa na watu wengi kuliko kutegemea Kodi kubwa inayolipwa na watu wachache, Wizara ya fedha irudi kwenye maltiplier effects zitokanazo na kila transaction yakibiashara nchini.
Cc ni dona kantriii.
Wacha waisome namba eeeeeeeee Ccm mbele kwa mbeleeeeee.
 
Jee wanaolipa kodi wana haki ya kuuliza kodi zao zinafanywaje? Mbona tunaona pomp za waku kutembea msafara wa magari 50 halafu unakuja hapa kutuambia pumba. Weee inaonesha wazi hulipi kodi.
Huyo ni miongoni mwa watu wanaoishi kwenye makwapa ya watawala

Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
 
Sijui unaongelea wafanyabiashara gani kama ni watanzania wadogo na wa kati there is enough blame to be shared kwanini wahitimu wa accountants awaoni fursa ya kusaidia hizi biashara ndogo dhidi ya TRA to balance taxes claims.

Then kuna blame ya wizara ya fedha kuwaachia hao vichaa huko kwenye serikali za mitaa na taasisi za usimamizi kujipangia tozo ambazo zina madhara kwenye costs charged to final consumers wakati sisi bado purchasing power yetu ya hizo services and products bado ndogo, madhara yake ni kupunguza kasi ya ukuaji wa hizo sector na of taxes kwao hizo biashara zinapofungwa na upotevu wa ajira.

In other words hakuna mkakati wa kukuza biashara za watu wa kati na wadogo ambazo zinamilikiwa na watanzania wakawaida, isipokuwa serikali imejikita kuvutia uwekezaji mkubwa wa ndani na nje; wizara ya fedha has no eyes on the bigger picture kuna mijitu inavuruga long term growth strategy.

Lakini kwa biashara kubwa kuondoka Tanzania kwa sababu ya kodi sidhani kama kuna hiyo kesi and no one can prove that.
Makampuni mengi ya utafiti hasa GESI na madini yamesharudi kwao na watz wengi hawana kazi amini hivyo

Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
 
Serikali lazima itoze kodi ili iweze kufikia malengo yake ya kuwatumikia Watanzania. Tozo za magari kila mwaka hata ulaya zipo, huwezi kuwa na gari barabarani ambalo halijaangaliwa kwamba lipo imara kuwa barabarani na ni salama, kila mwaka unless lina miaka mitatu tangu liwe jipya vinginevyo kila mwaka lazima likaguliwe na mwenye gari alipie ukaguzi huo kila mwaka. (Ulitaka nani alipie wakati wewe ndiye unatumia hilo gari?) Tmechoka na ajai ambazo hazina mkia.

Nchi haiwezi kutegemea misaada, kwani Watanzania wote ni vilema? Nchi inatakiwa ijiwezeshe yenyewe hatuna mjomba huko nje wa kutusaidia.

Sekta binafsi ilijisahau kwa kufikiria ni lazima Serikali iwape unafuu kufanya shughuli zao. Je, kama sekta binafsi inataka kodi nafuu inafikiria Serikali itapata wapi fedha za kujiendesha? Je, ni nani alipe hiyo gharama? Tanzania ina watu millioni 60 na ushee hatuwezi kuwa wakinga bakuli!

Ni lazima kila sekta ilipe kodi, wafanyakazi wanakatwa kila mwezi kwa nini wafanya biashara wanafikiri wao ni muhimu zaidi kuliko wengine? Kila mahali watu ni lazima walipe kodi stahiki bila kupepesa macho. Nchi haitaendelea kwa sababu kuna watu au kikundi ambacho kinafikiri lazima kihurumiwe kulipa kodi.
Hakuna aliekataa kulipa kodi, ila kodi iendane na kile kinachozalishwa, na hakuna nchi ilioendelea kwa kuwakamua raia wake,bali kwa rasilimali zake,
Leo hii mtu mmoja analundikiwa utitiri wa kodi,tozo mpaka watu wanafunga biashara kwa harasi wanazopatiwa na serikali
Hali imekuwa mbaya sana kwa sasa, unless uwe kula kulala ndio utashabikia haya mambo.
 
Mwaka 2021 umeanza kwa kutangazwa kodi au tozo ambazo awali hazikuwepo. Tumesikia ukaguzi wa magari, garama za kuagiza magari zimepanda mara mia, tozo katika bidhaa nyingi za nje nk.

Hii inaashiria vyanzo vya mapato vilivyomo nchini vikilinganishwa na miradi tunayoanzisha nakusimamia vinakinzana. Gharama za miradi zipo juu kuliko uwezo wetu wa kukusanya. Misaada nayo imeshuka kutokana na covid na diplomasia yetu ya kimataifa kukosa mwelekeo na mtu sahihi wakuisimamia.

Tunachokwenda kuvuna huko tuendako ni ongezeko la watu wasio na ajira kwa sababu sekta binafsi inakwenda kudidimia....Bora Kodi ndogo inayolipwa na watu wengi kuliko kutegemea Kodi kubwa inayolipwa na watu wachache, Wizara ya fedha irudi kwenye maltiplier effects zitokanazo na kila transaction yakibiashara nchini.
Kodi..kodi...kodi..kodi...!
Zimeanza kuua ng'ombe anaye toa maziwa!
 
Kodi za kibiashara zenye mitaji mikubwa Tanzania ni rafiki mno, labda kama unamsikiliza Tundu Lissu au usumbufu wanaopata hapa na pale wenye hizi biashara kutoka kwa wanasiasa clueless katika kuwapangia business strategy zao.

Vinginevyo kiuhalisia mabeberu wanaangalia capital allowances zilizopo (hayo magari na mashine wanazoingiza kwa sababu ya biashara wenzako they claim that cost back over time before paying their income taxes), kuna rebate on incomes losses which they take full advantage off and our income tax is reasonable to global rates; believe me hiyo ni sehemu ambayo wizara ya fedha ime match policies za huko kwao ndio maana kampuni kubwa zinazo tumia proper accountants or firms usikii zikilalamika kodi.

Malalamiko ya kodi Tanzania for the most part ni kwa wafanyabiashara wa kati na wadogo ambao wengi ni watanzania tena wale ambao kodi zao zinafanyiwa estimates na TRA without businesses using their own accountants, biashara ambazo kwa mujibu wa sheria mamlaka ya serikali za mitaa zinaruhusiwa kuweka tozo za vibali, levy and taxes. Biashara ambazo zinasimamiwa na regulatory bodies ambazo hazina vyanzo vya mapato za kulipa mishahara inabidi waanzishe tozo zao za ajabu ajabu, na hizi zote ndio biashara za watanzania wakaiwada kwa asilimia hapo ndio shida ilipo.

Lakini huko kwa mabeberu au watanzania wenye mitaji mikubwa issue yao ipo kwenye contract through ‘terms implied by law’ (stability of our investment laws and policies) pale ambapo sheria inabadilika and it impacts their rights ndio utasikia kelele otherwise kwenye kodi sio tatizo kabisa ni nzuri mno if you use qualified accountants.
Hujui kitu wewe mpumb.vu.
Sisi wafanyabiashara wote tunatatizwa na kodi zisizo rafiki.
Mfanyabiashara mwenye mtaji wa 600 milioni kwenye biashara moja na ambaye ana biashara 5 ni mdogo!?
Huwezi kutengeneza mabilionea bila kuwa na urafiki na wafanyabiashara wenye mitaji midogo.
Mwaka 1998 nilianza kuingiza Kariakoo mzigo wa 260 milioni. Nilikuwa nawapa wafanyabiashara wadogo wapatao 43. Mwaka 2001,wafanyabiashara wadogo 18 kati ya wale 43 wakawa wanaleta wenyewe mizigo ambayo wa kiwango cha chini ilikuwa ni 70 milioni.
Leo hii niambie ni wangapi wanaendelea kutengenezwa kuwa wafanyabiashara wakubwa!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hujui kitu wewe mpumb.vu.
Sisi wafanyabiashara wote tunatatizwa na kodi zisizo rafiki.
Mfanyabiashara mwenye mtaji wa 600 milioni kwenye biashara moja na ambaye ana biashara 5 ni mdogo!?
Huwezi kutengeneza mabilionea bila kuwa na urafiki na wafanyabiashara wenye mitaji midogo.
Mwaka 1998 nilianza kuingiza Kariakoo mzigo wa 260 milioni. Nilikuwa nawapa wafanyabiashara wadogo wapatao 43. Mwaka 2001,wafanyabiashara wadogo 18 kati ya wale 43 wakawa wanaleta wenyewe mizigo ambayo wa kiwango cha chini ilikuwa ni 70 milioni.
Leo hii niambie ni wangapi wanaendelea kutengenezwa kuwa wafanyabiashara wakubwa!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio maana nikasema tatizo lipo kwa wafanya biashara wadogo na kati ambao ni watanzania.

Technically biashara ndogo na za kati ni kuanzia self employment na zile zinazoajiri mpaka watu 100, zipo in one region na mtaji wake auzidi 20 billion shillings; walau in Tanzania standards.

Kwa wenzetu biashara ndogo na za kati ni mpaka zile zinazo ajiri watu 300 na mtaji wake auzidi millioni £50M.
 
Punguzeni manunuzi ya magari ya serikali ya bei za juu sana. Ma VX lukuki yanahitaji kodi za ajabu zilipwe.
 
Kodi za kibiashara zenye mitaji mikubwa Tanzania ni rafiki mno, labda kama unamsikiliza Tundu Lissu au usumbufu wanaopata hapa na pale wenye hizi biashara kutoka kwa wanasiasa clueless katika kuwapangia business strategy zao.

Vinginevyo kiuhalisia mabeberu wanaangalia capital allowances zilizopo (hayo magari na mashine wanazoingiza kwa sababu ya biashara wenzako they claim that cost back over time before paying their income taxes), kuna rebate on incomes losses which they take full advantage off and our income tax is reasonable to global rates; believe me hiyo ni sehemu ambayo wizara ya fedha ime match policies za huko kwao ndio maana kampuni kubwa zinazo tumia proper accountants or firms usikii zikilalamika kodi.

Malalamiko ya kodi Tanzania for the most part ni kwa wafanyabiashara wa kati na wadogo ambao wengi ni watanzania tena wale ambao kodi zao zinafanyiwa estimates na TRA without businesses using their own accountants, biashara ambazo kwa mujibu wa sheria mamlaka ya serikali za mitaa zinaruhusiwa kuweka tozo za vibali, levy and taxes. Biashara ambazo zinasimamiwa na regulatory bodies ambazo hazina vyanzo vya mapato za kulipa mishahara inabidi waanzishe tozo zao za ajabu ajabu, na hizi zote ndio biashara za watanzania wakaiwada kwa asilimia hapo ndio shida ilipo.

Lakini huko kwa mabeberu au watanzania wenye mitaji mikubwa issue yao ipo kwenye contract through ‘terms implied by law’ (stability of our investment laws and policies) pale ambapo sheria inabadilika and it impacts their rights ndio utasikia kelele otherwise kwenye kodi sio tatizo kabisa ni nzuri mno if you use qualified accountants.
Hapa ndipo nabaki kushangaa akili ya mwafrica. Kwa hiyo serikali iko tayari iwape favour wafanyabiashara wakubwa wa nje au wenye mitaji mikubwa ambao hawafiki hata 1% kuliko iwasaidie makapuku walio wengi ambao yenyewe inawaita wanyonge?
 
Serikali lazima itoze kodi ili iweze kufikia malengo yake ya kuwatumikia Watanzania. Tozo za magari kila mwaka hata ulaya zipo, huwezi kuwa na gari barabarani ambalo halijaangaliwa kwamba lipo imara kuwa barabarani na ni salama, kila mwaka unless lina miaka mitatu tangu liwe jipya vinginevyo kila mwaka lazima likaguliwe na mwenye gari alipie ukaguzi huo kila mwaka. (Ulitaka nani alipie wakati wewe ndiye unatumia hilo gari?) Tmechoka na ajai ambazo hazina mkia.

Nchi haiwezi kutegemea misaada, kwani Watanzania wote ni vilema? Nchi inatakiwa ijiwezeshe yenyewe hatuna mjomba huko nje wa kutusaidia.

Sekta binafsi ilijisahau kwa kufikiria ni lazima Serikali iwape unafuu kufanya shughuli zao. Je, kama sekta binafsi inataka kodi nafuu inafikiria Serikali itapata wapi fedha za kujiendesha? Je, ni nani alipe hiyo gharama? Tanzania ina watu millioni 60 na ushee hatuwezi kuwa wakinga bakuli!

Ni lazima kila sekta ilipe kodi, wafanyakazi wanakatwa kila mwezi kwa nini wafanya biashara wanafikiri wao ni muhimu zaidi kuliko wengine? Kila mahali watu ni lazima walipe kodi stahiki bila kupepesa macho. Nchi haitaendelea kwa sababu kuna watu au kikundi ambacho kinafikiri lazima kihurumiwe kulipa kodi.
UMEONGEA FACT MKUU.... .hatuwezi kuwa omba omba miaka yote hayo mambo ya kuomba omba yaliishia aqamu ya nne huko ebu tubadilikeni WATANZANIA ..ila kuna watu wanajua kupinga kweli kweli ....we wasubirie tuu wanakuja kukupakia matusi......
 
Back
Top Bottom