Kitendo cha Museveni na Kagame kutokuja kumuaga hayati Rais Magufuli kinaashiria nini?

Unakuja sehemu kuna kiwanda cha COVID-19...why risk?
 
Naamini watakuwa Chato katika kumalizia shughuli!!
 
Kama ni hivyo, basi ile amri ya usiue Mungu asingetuwekea. Au kusingekuwa na haja ya kuwa huku u waliouwa kwa kuwa wametimiza Mpango wa Mungu..!!
 
Hawa ni majirani wa Marehemu, kutoka nyumbani kwao (Kigali - Kagame, Ankole - Museveni), mpaka Chato ni kama 200 km. Ni Kama Dar-es-salaam na Morogoro. Hivyo wameona ni heri kuhudhuria mazishi Chato na kukaa siku tatu au nne kama majirani wanavyo fanya ukanda ule, wakiwaliwaza wafiwa.
Vuta subira mpaka msiba uishe.
 
Tutakuwa nao chato, siku ya kuzika acha papara mleta mada
 
Kitendo cha hao kutokuja kinaashiria kwamba wanaheshimu taratibu za kupambana na maambukizi ya Covid-19 kwa kuepuka misongamano.
 
Wakenya ndio washirika wetu wa kweli japo tunagombana sana ila wagombanao ndio wapatanao,kwa kuthibitisha hilo nimefuatilia karibu Tv zao zote zimafanya coverage live tukio la kuaga mwili wa jpm toka msiba unaanza lakini uganda na rwanda hamna cha ajabu hadi malawi walikuwa live lakini hao niliotaja walikuwa wanaendelea na mambo yao kama kawaida,asanteni wakenya.
 
Kumbuka museven
Kumbuka museven hata msiba wa Mwl Nyerere maziko ya kitaifa dar hakufika lakini siku ya mazishi rasmi Butiama jamaa alishuka Kwa elkopita na bade tena akaenda Butiama Kwa gari kutoka Uganda Hadi Butiama hivo usiwe na shaka na huyo musera Chato lazima aje.Kagame sina uhakika.
 
Mi nadhanu hiii mada mngeijadili siku ya maziko au baada ya maziko
 
Wanaogopa cvd.kama umemsikiliza uhuru amesema aliona liwalo na liwe lakini lazima aje
Wanaogopa cvd.kama umemsikiliza uhuru amesema aliona liwalo na liwe lakini lazima aje
Kagame si alichanjwa hadharani kumbe chanjo hasizaidii?
JPM katuachia imani na kutupa nje hofu,hakuna cha barakoa wala chanjo tunakanyagana kuliaga Jogoo la dunia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…