Kitendo cha Museveni na Kagame kutokuja kumuaga hayati Rais Magufuli kinaashiria nini?

Kitendo cha Museveni na Kagame kutokuja kumuaga hayati Rais Magufuli kinaashiria nini?

Asilimia 90 ya wanaokutwa na corona kila siku huko Marekani na Uingereza ni wavaaji wazuri Sana wa barakoa!! Na wengine wameshachanjwa tayari!!
Ndiyo maana pamoja na Rais Biden kupokea chanjo zote mbili, bado kila siku anashinda na barakoa maana hata hiyo chanjo haiamini kama ina uwezo wa kumkinga na corona
Kwa kawaida wiki mbili baada ya chanjo ilipaswa mtu awe na Kinga kamili kama chanjo ingekuwa inafanya Kazi vizuri. Lakini watu wana zaidi ya mwezi wakiwa na chanjo lakini bado wanategemea barakoa!! Huu utumwa wa barakoa sisi hatunao, anayependa anatumia lakini si kwa shinikizo!

Hakuna chanjo yenye 100% efficacy hivyo barakoa inakuasaidia kupunguza uwezekano wa kupata maambukizi ambayo yanatokana na msongamano wa watu!!!
 
Viongozi wote wa Afrika wamekuja Dodoma wao waende Chattle kusababisha usumbufu wa kiusalama kwani wao ni sehemu ya familia?

Sidhani kama hata huko Chattle wataenda ikiwa wameshindwa kuja Dodoma. Hawa jamaa ni wanafiki wakubwa, leo ndio nimewagundua.

Mungu hamfichi mnafiki. Wameumbuka mchana kweupe. Walikuwa wanasifia utawala wake kumbe walikuwa wanampaka mafuta kwa mgongo wa chupa? Wanafiq wakubwa!🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄
Huwezi kujua ubaya wa Marehemu Magufuli mpaka u-deal naye. Mu7 na PK wame interact sana na Meko kuliko viingozi wengine wowote. Yaliyowapata wanajuwa yao
 
#HABARI RAIS Yoweri Museveni akiwa na mkewe mama Janet Museveni wameongoza raia wa Uganda katika maombolezo ya Hayati Dk.John Pombe Magufuli kwa kusaini kitabu cha maombolezo kwenye Ubalozi wa Tanzania uliopo mtaa wa Kagera mjini Kampala.

#ripmagufuli💔💔💔 https://t.co/0HAqXETttlView attachment 1731873
Wako safi na barakoa zao na social distancing kabisa. Uhai haununuliwi. Usalama wao wa Rais unajielewa kuwa Rais is always an asset protected out of auctioning.
 
Hiyo ngonjera unayoimba imekosa waitikiaji! Madaktari wake waliomtibu wametoa sababu ya kifo chake ni ugonjwa wa moyo!! Huyo taahira wenu wa ubelgiji ameshaaibika!! Njia ya mwongo ni fupi!!
Of course kwa mtu kama wewe ni lazima utasema hivyo. Sikulaumu kwa sbabu ya upeo wako wa kuchakatua mambo. Kwa kifupi Magufuli alipelekwa Nairobi ikashindikana akarudishwa na kufia Dar. Gazeti la Daily Nation limeelezea kwa kirefu na kwa uhakika ilivyokuwa. Tafuta nakala yake usome kama unajua kiingereza. Liko kwenye mtandao la juzi ile....
 
Kusema ukweli tpaul Tanzania kwa sasa hatuko vizuri ktk sakata la Corona. Na ujue wale jamaa wana investigate kabla ya kuja kwao.

Na viongozi wa Tz wamekuwa careless hata kuhimiza tu barakoa hamna. Wakati tetesi zipo kuwa Corona ni chanzo cha tatizo letu. Tusiwalaumu wengine kwa uangalifu wetu mdogo
Ummy mwalimu alikuwa waziri bora sana kwani alihimiza watanzania kunawa mikono kuvaa barakoa kwa bidii kubwa mpaka corona ikawa siyo Tatizo kubwa Tanzania lakini huyo waziri wa sasa ni mjinga hajui kitu kashindwa hata kuhimiza watu kuvaa barakoa mda wote
 
Museveni ni mzee sana akikamatea na huu uviko habari yake imeisha au labda anaogopa upepo wa boby wine ulivyotapakaa nchi nzima asijefanyiwa ya obote "baki hukohuko"
Kagame ni snitch tu hamna sababu nyingine maana alijifanya rafiki mkubwa sana wa meko enzi za uhai wake, naona leo familia imemtambua vyema
Urafiki wa kagame na magufuli ulikwisha baada ya magufuli kujenga urafiki na Rais wa Congo akagoma kutoa majeshi ya Tanzania kule Congo apishe kagame kuvamia Congo kuiba madini
 
Ummy mwalimu alikuwa waziri bora sana kwani alihimiza watanzania kunawa mikono kuvaa barakoa kwa bidii kubwa mpaka corona ikawa siyo Tatizo kubwa Tanzania lakini huyo waziri wa sasa ni mjinga hajui kitu kashindwa hata kuhimiza watu kuvaa barakoa mda wote
Siioni kama tatizo la waziri. Mi naliona kama tatizo la ofisi kuu. Na sasa vichwani wanajifanya kuenzi na kufuata nyayo . Na hii lazima itupoteze mazima
 
Viongozi wote wa Afrika wamekuja Dodoma wao waende Chattle kusababisha usumbufu wa kiusalama kwani wao ni sehemu ya familia?

Sidhani kama hata huko Chattle wataenda ikiwa wameshindwa kuja Dodoma. Hawa jamaa ni wanafiki wakubwa, leo ndio nimewagundua.

Mungu hamfichi mnafiki. Wameumbuka mchana kweupe. Walikuwa wanasifia utawala wake kumbe walikuwa wanampaka mafuta kwa mgongo wa chupa? Wanafiq wakubwa!🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄
Akili ndogo jifunze kufikiri positive au kaa kimya!
 
Ahaa kumbe! Hii unpredictability ni factor mojawapo nilikuwa naipenda, alishawabadilikia wahuni wengi tu
Urafiki wa kagame na magufuli ulikwisha baada ya magufuli kujenga urafiki na Rais wa Congo akagoma kutoa majeshi ya Tanzania kule Congo apishe kagame kuvamia Congo kuiba madini
 
Ndani ya muungano wa EAC nchi ya Kenya imekuwa mstari wa mbele katika kuleta chokochoko za hapa na pale, hasa ikiichokonoa Tanzania mara kwa mara. Ingawa hivyo, Rais wa Kenya Hon Uhuru Kenyatta amefika yeye mwenyewe mubashara kuja kumuaga hayati Dr Magufuli.

Nchi za Uganda na Rwanda hazijawahi kujiingiza kwenye utata wowote ndani ya EAC mbali na lile tukio ambalo Kenya iliishawishi Uganda kusaini makubaliano ya ujenzi wa reli kutoka Mombasa hadi Kampala pasipo kuishirikisha Tanzania.

Utawala wa hayati Rais Magufuli ulikuwa unafanana sana na ule wa Kagame, hadi watu kufikia hatua ya kudhani kuwa huenda staili yake ya utawala alikuwa ameinakili kutoka kwa Kagame. Pia Museveni amekuwa mara kwa mara akiitembelea Tanzania na amesikika mara nyingi akiufagilia utawala wa hayati Magufuli.

Sasa swali ni ni: Je, kwanini Kagame na Museveni wametuma wawakilishi kuja kuomboleza kifo cha Magufuli lakini Kenyatta amekuja yeye mwenyewe mubashara? Hawa majirani wawili wanaogopa nini kuja Tanzania? Is there any hidden agenda behind their absecnce in this crucial occasion?

Marais wametoka all the way from Southern Africa up to Tanzania lakini hawa jamaa wapo hapa karibu wame-mute tu! Kama nauli ya ndege ni tatizo wangeweza kusafiri hata kwa basi na kufika Dodoma mapema kabisa kumuaga kiongozi mwenzao aliyelala mauti. Hata wangeweza kukodi basi moja wakasafiri wote kwa pamoja ili kuokoa gharama. Lakini wameamua, kwa makusudi kabisa, kutuma wawakilishi. Je, hii ni sawa?
Wote hao wawili wanaogopa kupinduliwa, hawaendagi popote hao kwa sasa, wanatawala kwa mabavu, wala hawamwani mtu nchini mwao. Nkurunzinza aliwah kuja Dar, na kugeuza kwa barabara (Dar - Kigoma - Burundi) saa chache tu baada ya kuwasili kwa kikao na mwenyeji wake JK.
 
Wote hao wawili wanaogopa kupinduliwa, hawaendagi popote hao kwa sasa, wanatawala kwa mabavu, wala hawamwani mtu nchini mwao. Nkurunzinza aliwah kuja Dar, na kugeuza kwa barabara (Dar - Kigoma - Burundi) saa chache tu baada ya kuwasili kwa kikao na mwenyeji wake JK.
Du kumbe wanaogopa wanaweza kurudi wakute viti vimekaliwa na mtu mwingine? Basi ngoja waendelee kukaa nyumbani walinde vitumbua vyao.
 
Ndani ya muungano wa EAC nchi ya Kenya imekuwa mstari wa mbele katika kuleta chokochoko za hapa na pale, hasa ikiichokonoa Tanzania mara kwa mara. Ingawa hivyo, Rais wa Kenya Hon Uhuru Kenyatta amefika yeye mwenyewe mubashara kuja kumuaga hayati Dr Magufuli.

Nchi za Uganda na Rwanda hazijawahi kujiingiza kwenye utata wowote ndani ya EAC mbali na lile tukio ambalo Kenya iliishawishi Uganda kusaini makubaliano ya ujenzi wa reli kutoka Mombasa hadi Kampala pasipo kuishirikisha Tanzania.

Utawala wa hayati Rais Magufuli ulikuwa unafanana sana na ule wa Kagame, hadi watu kufikia hatua ya kudhani kuwa huenda staili yake ya utawala alikuwa ameinakili kutoka kwa Kagame. Pia Museveni amekuwa mara kwa mara akiitembelea Tanzania na amesikika mara nyingi akiufagilia utawala wa hayati Magufuli.

Sasa swali ni ni: Je, kwanini Kagame na Museveni wametuma wawakilishi kuja kuomboleza kifo cha Magufuli lakini Kenyatta amekuja yeye mwenyewe mubashara? Hawa majirani wawili wanaogopa nini kuja Tanzania? Is there any hidden agenda behind their absecnce in this crucial occasion?

Marais wametoka all the way from Southern Africa up to Tanzania lakini hawa jamaa wapo hapa karibu wame-mute tu! Kama nauli ya ndege ni tatizo wangeweza kusafiri hata kwa basi na kufika Dodoma mapema kabisa kumuaga kiongozi mwenzao aliyelala mauti. Hata wangeweza kukodi basi moja wakasafiri wote kwa pamoja ili kuokoa gharama. Lakini wameamua, kwa makusudi kabisa, kutuma wawakilishi. Je, hii ni sawa?
Ndiyo maana Uhuru alisema... Liwalo na liwe. Labda, kuna siri nyuma ya pazia.
 
Back
Top Bottom