Kitendo cha mzazi kukulazimisha uwahi kuoa husababishwa na nini wana jukwaa tusaidiane hapa?!

Kitendo cha mzazi kukulazimisha uwahi kuoa husababishwa na nini wana jukwaa tusaidiane hapa?!

Fabian Vitus

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2022
Posts
5,828
Reaction score
7,532
Hali sio nzuri ni Mwaka sasa tangu nimevunja mahusiano kutokana na sababu za kutokua na amani katka mahusiano.

Leo tangu Mwaka ulivyoanza hata kabla mzazi wangu wa kike amekua akiforce niweze kuchukua mwanamke nakuweka ndani nikajua au kwakua yupo kizamani zaidi pamoja nakumwelewesha yote hayo lakini amekua akiharakisha suala la kuoa.

Tena nami nishajua Raha ya kuwa single ndio kabisa sasa naomba msaada wenu ktk hili Mimi kama mtoto nifanye maamzi au ndio niendelee kutulia zaidi ndani ya usimbe maana naogopa hata kupiga sim kuhofia hayo maneno na akianza kuongea Bi Mkubwa lazima usepe mbali kumpisha🗣️
 
Hali sio nzuri ni Mwaka sasa tangu nimevunja mahusiano kutokana na sababu za kutokua na amani katka mahusiano.

Leo tangu Mwaka ulivyoanza hata kabla mzazi wangu wa kike amekua akiforce niweze kuchukua mwanamke nakuweka ndani nikajua au kwakua yupo kizamani zaidi pamoja nakumwelewesha yote hayo lakini amekua akiharakisha suala la kuoa.

Tena nami nishajua Raha ya kuwa single ndio kabisa sasa naomba msaada wenu ktk hili Mimi kama mtoto nifanye maamzi au ndio niendelee kutulia zaidi ndani ya usimbe maana naogopa hata kupiga sim kuhofia hayo maneno na akianza kuongea Bi Mkubwa lazima usepe mbali kumpisha🗣️
Wazazi wana sababu nyingi kutaka mtoto wao wa kiume aowe.


Ya kwanza kabisa ni kuhakikisha wamezaa na kulea kidume siyo shoga.
 
Hali sio nzuri ni Mwaka sasa tangu nimevunja mahusiano kutokana na sababu za kutokua na amani katka mahusiano.

Leo tangu Mwaka ulivyoanza hata kabla mzazi wangu wa kike amekua akiforce niweze kuchukua mwanamke nakuweka ndani nikajua au kwakua yupo kizamani zaidi pamoja nakumwelewesha yote hayo lakini amekua akiharakisha suala la kuoa.

Tena nami nishajua Raha ya kuwa single ndio kabisa sasa naomba msaada wenu ktk hili Mimi kama mtoto nifanye maamzi au ndio niendelee kutulia zaidi ndani ya usimbe maana naogopa hata kupiga sim kuhofia hayo maneno na akianza kuongea Bi Mkubwa lazima usepe mbali kumpisha🗣️
Mjukuu mtamu shehee
 
Hali sio nzuri ni Mwaka sasa tangu nimevunja mahusiano kutokana na sababu za kutokua na amani katka mahusiano.

Leo tangu Mwaka ulivyoanza hata kabla mzazi wangu wa kike amekua akiforce niweze kuchukua mwanamke nakuweka ndani nikajua au kwakua yupo kizamani zaidi pamoja nakumwelewesha yote hayo lakini amekua akiharakisha suala la kuoa.

Tena nami nishajua Raha ya kuwa single ndio kabisa sasa naomba msaada wenu ktk hili Mimi kama mtoto nifanye maamzi au ndio niendelee kutulia zaidi ndani ya usimbe maana naogopa hata kupiga sim kuhofia hayo maneno na akianza kuongea Bi Mkubwa lazima usepe mbali kumpisha🗣️



1. Anajua mazara ya kutokuoa.
2. Ndoa, pamoja na matatizo inakamilisha mtu.
3. Anataman kuona wajukuu zake, anaweza asiwe na mda mrefu.
 
Back
Top Bottom