Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
1. Uache uzinzi
Ingawaje ndoa haizuii MTU kuwa mzinzi.
2. Waone Wajukuu wao.
Hii ndio wengi huipenda zaidi.
3. Wanahofia labda unamatatizo, hawajiamini. Wanahisi sio mwanaume rijali.
4. Wanaona unaakili mgando, hivyo ukioa; majukumu ya Ndoa yatakubadilisha uta-focus na Maisha na utatulia.
Hii Kwa wanaume wengi hufanya kazi. Wakioa na wakiwa Baba hubadilika na kuacha baadhi ya tabia za kitoto.
5. Wengine hutokana na Ukoo wenu kuwa Mdogo. Hivyo uoe na kuzaa uongeze ukoo.
6. Wengine wamechoka kuchangia harusi za wengine. Wanataka warejeshe Pesa zao kupitia harusi yako, kwani Rafiki zake watakuchangia.
Wewe ndio unajua jibu sahihi Kati ya hayo niliyoandika
Ingawaje ndoa haizuii MTU kuwa mzinzi.
2. Waone Wajukuu wao.
Hii ndio wengi huipenda zaidi.
3. Wanahofia labda unamatatizo, hawajiamini. Wanahisi sio mwanaume rijali.
4. Wanaona unaakili mgando, hivyo ukioa; majukumu ya Ndoa yatakubadilisha uta-focus na Maisha na utatulia.
Hii Kwa wanaume wengi hufanya kazi. Wakioa na wakiwa Baba hubadilika na kuacha baadhi ya tabia za kitoto.
5. Wengine hutokana na Ukoo wenu kuwa Mdogo. Hivyo uoe na kuzaa uongeze ukoo.
6. Wengine wamechoka kuchangia harusi za wengine. Wanataka warejeshe Pesa zao kupitia harusi yako, kwani Rafiki zake watakuchangia.
Wewe ndio unajua jibu sahihi Kati ya hayo niliyoandika