Fabian Vitus
JF-Expert Member
- Jul 18, 2022
- 5,828
- 7,532
Wazazi wana sababu nyingi kutaka mtoto wao wa kiume aowe.Hali sio nzuri ni Mwaka sasa tangu nimevunja mahusiano kutokana na sababu za kutokua na amani katka mahusiano.
Leo tangu Mwaka ulivyoanza hata kabla mzazi wangu wa kike amekua akiforce niweze kuchukua mwanamke nakuweka ndani nikajua au kwakua yupo kizamani zaidi pamoja nakumwelewesha yote hayo lakini amekua akiharakisha suala la kuoa.
Tena nami nishajua Raha ya kuwa single ndio kabisa sasa naomba msaada wenu ktk hili Mimi kama mtoto nifanye maamzi au ndio niendelee kutulia zaidi ndani ya usimbe maana naogopa hata kupiga sim kuhofia hayo maneno na akianza kuongea Bi Mkubwa lazima usepe mbali kumpisha🗣️
Mjukuu mtamu sheheeHali sio nzuri ni Mwaka sasa tangu nimevunja mahusiano kutokana na sababu za kutokua na amani katka mahusiano.
Leo tangu Mwaka ulivyoanza hata kabla mzazi wangu wa kike amekua akiforce niweze kuchukua mwanamke nakuweka ndani nikajua au kwakua yupo kizamani zaidi pamoja nakumwelewesha yote hayo lakini amekua akiharakisha suala la kuoa.
Tena nami nishajua Raha ya kuwa single ndio kabisa sasa naomba msaada wenu ktk hili Mimi kama mtoto nifanye maamzi au ndio niendelee kutulia zaidi ndani ya usimbe maana naogopa hata kupiga sim kuhofia hayo maneno na akianza kuongea Bi Mkubwa lazima usepe mbali kumpisha🗣️
Hali sio nzuri ni Mwaka sasa tangu nimevunja mahusiano kutokana na sababu za kutokua na amani katka mahusiano.
Leo tangu Mwaka ulivyoanza hata kabla mzazi wangu wa kike amekua akiforce niweze kuchukua mwanamke nakuweka ndani nikajua au kwakua yupo kizamani zaidi pamoja nakumwelewesha yote hayo lakini amekua akiharakisha suala la kuoa.
Tena nami nishajua Raha ya kuwa single ndio kabisa sasa naomba msaada wenu ktk hili Mimi kama mtoto nifanye maamzi au ndio niendelee kutulia zaidi ndani ya usimbe maana naogopa hata kupiga sim kuhofia hayo maneno na akianza kuongea Bi Mkubwa lazima usepe mbali kumpisha🗣️
Wanataka kuzini tuu hawa hawana lolote. Kuoa muhimu kijana una miaka 30 bado hujao huo ni ujingaOeni mafala nyie🤣
😂😂😂DuhSasa unanyoa ndevu Hadi kidevu kimekomaa kwann usilazimishwe kuoa