Kitendo cha Profesa Muhongo kusema hatupo tena uchumi wa kati na Waziri Mwigulu kupinga huku Rais akikubali ni ishara kiimani na kisiasa

Kitendo cha Profesa Muhongo kusema hatupo tena uchumi wa kati na Waziri Mwigulu kupinga huku Rais akikubali ni ishara kiimani na kisiasa

FPT

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2017
Posts
1,216
Reaction score
1,848
Katika siasa kuna ishara pia kama ulimwengu wa imani ulivyo, tofauti na ishara za kiimani ambazo ni za kiroho zaidi hivyo kufanya kuwa ' unpredictable' ila ishara za kisiasa ni 'predictable' kwa sababu zinasomeka kupitia mtiririko wa matukio( trend reading)

Kitendo cha Rais ambaye ni mamlaka ya uteuzi wa Waziri wa Fedha kutofautiana na waziri juu ya nchi kuwa bado uchumi wa kati na kukubaliana na mbunge Prof. Muhongo kuwa tumeshushwa na hatupo tena uchumi was kati hiyo ni ishara kubwa sana kisiasa.

Ikiwa mbunge tu ametoa hali ya uchumi halisia na waziri wa fedha hajui hali ya uchumi, hiyo ni ishara mbaya sana kwa waziri ni kama kusema Prof.Muhongo ndio anastahili kuwa waziri was fedha.

Kwa kuwa Prof.Muhongo anaamini hatupo uchumi wa kati na Rais anaamini hatupo uchumi na anapambana ili turejee uchumi wa kati kabla 2025 basi ninaamini Prof. Muhongo ndio anastahili kuwa waziri wa fedha ambaye ana mawazo yanayofanana na ya Rais na sio Dkt. Mwigulu ambaye anaamini bado tupo uchumi wa kati.

Swali : Je, ni kwa nini taarifa ya Mhe. Rais na ya waziri zikatofautiana?

Jibu: Rais ana vyanzo vingi vya kumpatia taarifa ,ana vyanzo vya ndani na vya nje hivyo hali ya uchumi inaangalia vyanzo vingi. Lakini ukweli unabaki palepale taarifa ya Dkt.Mwigulu sio sahihi.

Na kwa kusema hivi itoshe tu kusema kisiasa Prof. Muhongo kapata kibali mbele ya Rais na yeye anaamini Rais anachoamini na ni kitendo cha kusema Prof. katoa halisi ya uchumi na pengine ni yeye anaweza kumsaidia Rais wetu ili tufike uchumi wa kati tena.

Ombi:
Mhe.Rais wa JMT naomba umtazame Prof. Muhongo wa jicho la kipekee kwa nafasi ya juu ya ushauri na utendaji kwa sababu amethibitisha uwezo usiotia shaka.
 
Hizi ndio zama za upigaji hakuna anaezingatia maslahi ya mwananchi ndio maana hata data zao wakizipika wanasahau kupakuliana ili kila mmoja wao ajue nn kinaendelea
 
Hizi ndio zama za upigaji hakuna anaezingatia maslahi ya mwananchi ndio maana hata data zao wakizipika wanasahau kupakuliana ili kila mmoja wao ajue nn kinaendelea
Nina alikwambia kulikuwa hakuna Zama za upigaji huko nyuma!
 
Sasa we unakaa unamsikiliza mwigulu? Uko serious bro?

Yule hata tuwe msituni aniambie Kuna Simba wanataka kunikamata nitabisha tu.

Jamaa Sina hamu nae mie
 
Kwani hao World Bank wenye mamlaka ya kutangaza kuwa nchi fulani ipo katika uchumi fulani wanasemaje?

Majibu sahihi ya uchumi wa nchi yetu kama tupo uchumi wa kati au la yanatoka World Bank.

Je, Serikali ya Samia Suluhu haina ripoti kutoka World Bank kuhusu hali ya uchumi wetu?
 
Katika siasa kuna ishara pia kama ulimwengu wa imani ulivyo, tofauti na ishara za kiimani ambazo ni za kiroho zaidi hivyo kufanya kuwa ' unpredictable' ila ishara za kisiasa ni 'predictable' kwa sababu zinasomeka kupitia mtiririko wa matukio( trend reading)

Kitendo cha Rais ambaye ni mamlaka ya uteuzi wa Waziri wa Fedha kutofautiana na waziri juu ya nchi kuwa bado uchumi wa kati na kukubaliana na mbunge Prof. Muhongo kuwa tumeshushwa na hatupo tena uchumi was kati hiyo ni ishara kubwa sana kisiasa.

Ikiwa mbunge tu ametoa hali ya uchumi halisia na waziri wa fedha hajui hali ya uchumi, hiyo ni ishara mbaya sana kwa waziri ni kama kusema Prof.Muhongo ndio anastahili kuwa waziri was fedha.

Kwa kuwa Prof.Muhongo anaamini hatupo uchumi wa kati na Rais anaamini hatupo uchumi na anapambana ili turejee uchumi wa kati kabla 2025 basi ninaamini Prof. Muhongo ndio anastahili kuwa waziri wa fedha ambaye ana mawazo yanayofanana na ya Rais na sio Dkt. Mwigulu ambaye anaamini bado tupo uchumi wa kati.

Swali : Je, ni kwa nini taarifa ya Mhe. Rais na ya waziri zikatofautiana?

Jibu: Rais ana vyanzo vingi vya kumpatia taarifa ,ana vyanzo vya ndani na vya nje hivyo hali ya uchumi inaangalia vyanzo vingi. Lakini ukweli unabaki palepale taarifa ya Dkt.Mwigulu sio sahihi.

Na kwa kusema hivi itoshe tu kusema kisiasa Prof. Muhongo kapata kibali mbele ya Rais na yeye anaamini Rais anachoamini na ni kitendo cha kusema Prof. katoa halisi ya uchumi na pengine ni yeye anaweza kumsaidia Rais wetu ili tufike uchumi wa kati tena.

Ombi:
Mhe.Rais wa JMT naomba umtazame Prof. Muhongo wa jicho la kipekee kwa nafasi ya juu ya ushauri na utendaji kwa sababu amethibitisha uwezo usiotia shaka.
Nchi hii kwani ina waziri wa fedha!
 
Katika siasa kuna ishara pia kama ulimwengu wa imani ulivyo, tofauti na ishara za kiimani ambazo ni za kiroho zaidi hivyo kufanya kuwa ' unpredictable' ila ishara za kisiasa ni 'predictable' kwa sababu zinasomeka kupitia mtiririko wa matukio( trend reading)

Kitendo cha Rais ambaye ni mamlaka ya uteuzi wa Waziri wa Fedha kutofautiana na waziri juu ya nchi kuwa bado uchumi wa kati na kukubaliana na mbunge Prof. Muhongo kuwa tumeshushwa na hatupo tena uchumi was kati hiyo ni ishara kubwa sana kisiasa.

Ikiwa mbunge tu ametoa hali ya uchumi halisia na waziri wa fedha hajui hali ya uchumi, hiyo ni ishara mbaya sana kwa waziri ni kama kusema Prof.Muhongo ndio anastahili kuwa waziri was fedha.

Kwa kuwa Prof.Muhongo anaamini hatupo uchumi wa kati na Rais anaamini hatupo uchumi na anapambana ili turejee uchumi wa kati kabla 2025 basi ninaamini Prof. Muhongo ndio anastahili kuwa waziri wa fedha ambaye ana mawazo yanayofanana na ya Rais na sio Dkt. Mwigulu ambaye anaamini bado tupo uchumi wa kati.

Swali : Je, ni kwa nini taarifa ya Mhe. Rais na ya waziri zikatofautiana?

Jibu: Rais ana vyanzo vingi vya kumpatia taarifa ,ana vyanzo vya ndani na vya nje hivyo hali ya uchumi inaangalia vyanzo vingi. Lakini ukweli unabaki palepale taarifa ya Dkt.Mwigulu sio sahihi.

Na kwa kusema hivi itoshe tu kusema kisiasa Prof. Muhongo kapata kibali mbele ya Rais na yeye anaamini Rais anachoamini na ni kitendo cha kusema Prof. katoa halisi ya uchumi na pengine ni yeye anaweza kumsaidia Rais wetu ili tufike uchumi wa kati tena.

Ombi:
Mhe.Rais wa JMT naomba umtazame Prof. Muhongo wa jicho la kipekee kwa nafasi ya juu ya ushauri na utendaji kwa sababu amethibitisha uwezo usiotia shaka.
Mkuu umeweka hoja makini sana lakini naona upofu wa uchawa umeifanya ionekane ni ya kupigiana debe.

Unajua hili lililotokea la Prof Muhongo kusema Bungeni kuwa hagupo uchumi wa kati, halafu Mwigulu kumpinga na hata ukimsikiliza Prof. Kitila alisimama kumnanga Prof. Muhongo na hata aspirrant wetu walisimama.akiwaasa wabunge waache kuisema serikali kwa sababu wanajiumbua ni dalili kuna umoja na mgawanyiko usio wa kawaida serikalini.
Sasa Rais amesimama hadharani na kukiri kuwa Tanzania tumeporomoka kutoka uchumi wa kati ni wazi kuwa serikali sasa imegawanyika yaani kila mtu anasimama na lake.
Rais anasimamia ukweli lakini wa chini yake wanaamua kutudanganya.

Kiimani ni kuwa Mungu ameshawaacha. Wametawaliwa na baba wa uongo. Haya ni maandalizi ya kugawanyika huko mbele.

CCM hawazungumzi lugha moja tena. Dalili njema
 
Watu ambao unatakiwa kuwa na mashaka sana wakitoa tamko lolote, ni pamoja na:

Mwigulu

Mwanzo: Asiyetaka tozo ahamie Burundi; baadaye: Serikali imezingatia malalamiko ya wananchi kuhusu tozo, Rais ametuagiza kufanya marekebisho ya tozo.

Majaliwa
Mwanzo: Rais yupo ofisini anachapa kazi, hamumwoni, mlitaka mumwone wapi, Magomeni au sokoni Kariakoo?
Baadaye: Mh. Rais akatangaza, 'kwa masikitiko makubwa nawatangazia watanzania, tumempoteza Rais wetu John Pombe Magufuli'

Kabudi
Mwanzo: Acavia tunawadai trillion zaidi ya 400; baadaye: hatuwadai chochote, ile ilikuwa ni mbinu ya kuwaita tukae mezani. Mwanzoni: Tanzania inahitaji katiba mpya, ndivyo wananchi walivyosema; baadaye: katiba mpya siyo hitaji la wananchi.

Polepole
Mwanzo: wakuu wa wilaya hawana kazi, nafasi zao zifutwe; baada ya kupewa ukuu wa Wilaya, kimya.
Mwanzo: Wananchi wa Tanzania wanahitaji katiba mpya; baadaye: wananchi hawahitaji katiba mpya, wanataka maji, barabara, umeme, n.k.
 
Back
Top Bottom