Kitendo Cha Roma Kusema Hadharani Waziri Makamba anavutia Sigara , ni kuingilia uhuru wake

Kitendo Cha Roma Kusema Hadharani Waziri Makamba anavutia Sigara , ni kuingilia uhuru wake

ubarinolutu

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2012
Posts
2,424
Reaction score
4,954
Wimbo wa Roma ni Mzuri, na umeongea mambo yenye ukweli, ila mambo mengine ameyasema hakupaswa kuyasema. Katika wimbo wake amesema January kugongeana Sigara, sawa sote tunajua January ni Chain Smoker, lakini hajawahi kuvuta Sigara katika hadhara yoyote Wala kumbugudhi mtu, kitendo Cha Roma kuingilia uhuru wa mtu Mimi naona kavunja Sheria.

Roma ambaye anaishi Marekani kama mkimbizi, huku akipigania kupata green card Ili apare uraia na asirudi huku , amekuwa ni mtu wa kuropoka, Roma huyu ametelekeza mke wake na amewakabidhi Wana nzengo , huku yeye na me. Beneficial wakihangaika kutafuta uraia wa Marekani Kwa udi na uvumba.

Namuasa Roma aje , na awe na familia yake, tumechoka kumuhudumia mke wake
 
Wimbo wa Roma ni Mzuri, na umeongea mambo yenye ukweli, ila mambo mengine ameyasema hakupaswa kuyasema. Katika wimbo wake amesema January kugongeana Sigara, sawa sote tunajua January ni Chain Smoker, lakini hajawahi kuvuta Sigara katika hadhara yoyote Wala kumbugudhi mtu, kitendo Cha Roma kuingilia uhuru wa mtu Mimi naona kavunja Sheria.

Roma ambaye anaishi Marekani kama mkimbizi, huku akipigania kupata green card Ili apare uraia na asirudi huku , amekuwa ni mtu wa kuropoka, Roma huyu ametelekeza mke wake na amewakabidhi Wana nzengo , huku yeye na me. Beneficial wakihangaika kutafuta uraia wa Marekani Kwa udi na uvumba.

Namuasa Roma aje , na awe na familia yake, tumechoka kumuhudumia mke wake
Ushauri tu, TAFUTA PESA upunguze chuki.
 
Wimbo wa Roma ni Mzuri, na umeongea mambo yenye ukweli, ila mambo mengine ameyasema hakupaswa kuyasema. Katika wimbo wake amesema January kugongeana Sigara, sawa sote tunajua January ni Chain Smoker, lakini hajawahi kuvuta Sigara katika hadhara yoyote Wala kumbugudhi mtu, kitendo Cha Roma kuingilia uhuru wa mtu Mimi naona kavunja Sheria.

Roma ambaye anaishi Marekani kama mkimbizi, huku akipigania kupata green card Ili apare uraia na asirudi huku , amekuwa ni mtu wa kuropoka, Roma huyu ametelekeza mke wake na amewakabidhi Wana nzengo , huku yeye na me. Beneficial wakihangaika kutafuta uraia wa Marekani Kwa udi na uvumba.

Namuasa Roma aje , na awe na familia yake, tumechoka kumuhudumia mke wake
Mbona umeandika as if wewe ndiyo huyo J. Makamba! Shida ni nini hasa!!
 
Wimbo wa Roma ni Mzuri, na umeongea mambo yenye ukweli, ila mambo mengine ameyasema hakupaswa kuyasema. Katika wimbo wake amesema January kugongeana Sigara, sawa sote tunajua January ni Chain Smoker, lakini hajawahi kuvuta Sigara katika hadhara yoyote Wala kumbugudhi mtu, kitendo Cha Roma kuingilia uhuru wa mtu Mimi naona kavunja Sheria.

Roma ambaye anaishi Marekani kama mkimbizi, huku akipigania kupata green card Ili apare uraia na asirudi huku , amekuwa ni mtu wa kuropoka, Roma huyu ametelekeza mke wake na amewakabidhi Wana nzengo , huku yeye na me. Beneficial wakihangaika kutafuta uraia wa Marekani Kwa udi na uvumba.

Namuasa Roma aje , na awe na familia yake, tumechoka kumuhudumia mke wake
Hata wewe umeingilia uhuru wake wa kuamua ni wapi aishi na hukupaswa kutamka amekabidhi mke kwa wananzengo.
Akiliwa na wananzego wewe unachubuka?
 
Wimbo wa Roma ni Mzuri, na umeongea mambo yenye ukweli, ila mambo mengine ameyasema hakupaswa kuyasema. Katika wimbo wake amesema January kugongeana Sigara, sawa sote tunajua January ni Chain Smoker, lakini hajawahi kuvuta Sigara katika hadhara yoyote Wala kumbugudhi mtu, kitendo Cha Roma kuingilia uhuru wa mtu Mimi naona kavunja Sheria.

Roma ambaye anaishi Marekani kama mkimbizi, huku akipigania kupata green card Ili apare uraia na asirudi huku , amekuwa ni mtu wa kuropoka, Roma huyu ametelekeza mke wake na amewakabidhi Wana nzengo , huku yeye na me. Beneficial wakihangaika kutafuta uraia wa Marekani Kwa udi na uvumba.

Namuasa Roma aje , na awe na familia yake, tumechoka kumuhudumia mke wake
Umetumwa?
 
1683386445666.png
 
Wimbo wa Roma ni Mzuri, na umeongea mambo yenye ukweli, ila mambo mengine ameyasema hakupaswa kuyasema. Katika wimbo wake amesema January kugongeana Sigara, sawa sote tunajua January ni Chain Smoker, lakini hajawahi kuvuta Sigara katika hadhara yoyote Wala kumbugudhi mtu, kitendo Cha Roma kuingilia uhuru wa mtu Mimi naona kavunja Sheria.

Roma ambaye anaishi Marekani kama mkimbizi, huku akipigania kupata green card Ili apare uraia na asirudi huku , amekuwa ni mtu wa kuropoka, Roma huyu ametelekeza mke wake na amewakabidhi Wana nzengo , huku yeye na me. Beneficial wakihangaika kutafuta uraia wa Marekani Kwa udi na uvumba.

Namuasa Roma aje , na awe na familia yake, tumechoka kumuhudumia mke wake

Ushasema anaomba ukimbizi marekani, means hajatekeleza familia yake bali anafata sheria za maombi ya ukimbizi. Huwezi kusafiri kwenda nchi unayoikimbia, Kupata gc kupitia ukimbizi unaeza subiri hadi miaka 7
 
Back
Top Bottom