Kitendo Cha Roma Kusema Hadharani Waziri Makamba anavutia Sigara , ni kuingilia uhuru wake

Kitendo Cha Roma Kusema Hadharani Waziri Makamba anavutia Sigara , ni kuingilia uhuru wake

Ushasema anaomba ukimbizi marekani, means hajatekeleza familia yake bali anafata sheria za maombi ya ukimbizi. Huwezi kusafiri kwenda nchi unayoikimbia, Kupata gc kupitia ukimbizi unaeza subiri hadi miaka 7
Ni 'hajatelekeza' siyo 'hajatekeleza'
 
Wimbo wa Roma ni Mzuri, na umeongea mambo yenye ukweli, ila mambo mengine ameyasema hakupaswa kuyasema. Katika wimbo wake amesema January kugongeana Sigara, sawa sote tunajua January ni Chain Smoker, lakini hajawahi kuvuta Sigara katika hadhara yoyote Wala kumbugudhi mtu, kitendo Cha Roma kuingilia uhuru wa mtu Mimi naona kavunja Sheria.

Roma ambaye anaishi Marekani kama mkimbizi, huku akipigania kupata green card Ili apare uraia na asirudi huku , amekuwa ni mtu wa kuropoka, Roma huyu ametelekeza mke wake na amewakabidhi Wana nzengo , huku yeye na me. Beneficial wakihangaika kutafuta uraia wa Marekani Kwa udi na uvumba.

Namuasa Roma aje , na awe na familia yake, tumechoka kumuhudumia mke wake
Ukimbizi...greencard vimeingiaje na kulelewa wewe kuna kuhusu nini? Why wabongo mna akili za hovyo namna hii?
 
Mi nimeelewa kwa ugumu wa maisha mwezi January alafu unakuja kugongea sigara sio poa
 
Kitendo cha wewe kuanzisha huu uzi, ni kuendelea kuingilia uhuru wake.
Kuna watu hata hiyo nyimbo hawajaisikiliza, ama wengine hawajaisikiliza kwa makini.

Btw, hip pop ni kusema ukweli, kama mtu anavuta haibadilishi kwamba anavuta, na hajamsema kwa ubaya, labda utupe mfano mwingine wa sentence ambayo angeweza kuweka hapo!! Kwamba kugongea madem 🤔, nguo, gari ama nini.
Huyo kama msanii na mwenye information nyingi katumia hiyo, kwa mtazamo wangu ni sawa, nilikuwa sijui jamaa kama ni smoker..now I know...ila haibadilishi any view I had on him...nafahamu watu masmoker maprofesa, mapadri, wazazi, wafanyabiashara,..and they are good.
 
Wimbo wa Roma ni Mzuri, na umeongea mambo yenye ukweli, ila mambo mengine ameyasema hakupaswa kuyasema. Katika wimbo wake amesema January kugongeana Sigara, sawa sote tunajua January ni Chain Smoker, lakini hajawahi kuvuta Sigara katika hadhara yoyote Wala kumbugudhi mtu, kitendo Cha Roma kuingilia uhuru wa mtu Mimi naona kavunja Sheria.

Roma ambaye anaishi Marekani kama mkimbizi, huku akipigania kupata green card Ili apare uraia na asirudi huku , amekuwa ni mtu wa kuropoka, Roma huyu ametelekeza mke wake na amewakabidhi Wana nzengo , huku yeye na me. Beneficial wakihangaika kutafuta uraia wa Marekani Kwa udi na uvumba.

Namuasa Roma aje , na awe na familia yake, tumechoka kumuhudumia mke wake
We ndio umenifumbua macho kipara anavuta fegi nilikuwa sijui, Roma msanii anafanya Sanaa kufikisha ujumbe na kuburudisha jamii, wasikilizaji ndio mnaokuja na tafsiri zenu kama Kipanya akichora.
 
Wimbo wa Roma ni Mzuri, na umeongea mambo yenye ukweli, ila mambo mengine ameyasema hakupaswa kuyasema. Katika wimbo wake amesema January kugongeana Sigara, sawa sote tunajua January ni Chain Smoker, lakini hajawahi kuvuta Sigara katika hadhara yoyote Wala kumbugudhi mtu, kitendo Cha Roma kuingilia uhuru wa mtu Mimi naona kavunja Sheria.

Roma ambaye anaishi Marekani kama mkimbizi, huku akipigania kupata green card Ili apare uraia na asirudi huku , amekuwa ni mtu wa kuropoka, Roma huyu ametelekeza mke wake na amewakabidhi Wana nzengo , huku yeye na me. Beneficial wakihangaika kutafuta uraia wa Marekani Kwa udi na uvumba.

Namuasa Roma aje , na awe na familia yake, tumechoka kumuhudumia mke wake
Ukimchunhuza sana utaelewa maana yake na pia sigara anayoiongelea
 
Wimbo wa Roma ni Mzuri, na umeongea mambo yenye ukweli, ila mambo mengine ameyasema hakupaswa kuyasema. Katika wimbo wake amesema January kugongeana Sigara, sawa sote tunajua January ni Chain Smoker, lakini hajawahi kuvuta Sigara katika hadhara yoyote Wala kumbugudhi mtu, kitendo Cha Roma kuingilia uhuru wa mtu Mimi naona kavunja Sheria.

Roma ambaye anaishi Marekani kama mkimbizi, huku akipigania kupata green card Ili apare uraia na asirudi huku , amekuwa ni mtu wa kuropoka, Roma huyu ametelekeza mke wake na amewakabidhi Wana nzengo , huku yeye na me. Beneficial wakihangaika kutafuta uraia wa Marekani Kwa udi na uvumba.

Namuasa Roma aje , na awe na familia yake, tumechoka kumuhudumia mke wake
Una matatizo ya akili ndugu yangu.
 
Back
Top Bottom